Kisonono (Gonorrhea) huchukua siku ngapi kuonesha dalili?

Kisonono (Gonorrhea) huchukua siku ngapi kuonesha dalili?

Full charge

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
1,678
Reaction score
1,617
Washikaji,nini sasa naskia kama kuna vichomi kwenye tundu la mkojo.Sasa nashindwa kujua nini tatizo kwa mtu ambaye ni mtalam au amewahi kukutana na ugonjwa huu anisaidie ili nikapime.Asante
 
Washikaji,nini sasa naskia kama kuna vichomi kwenye tundu la mkojo.Sasa nashindwa kujua nini tatizo kwa mtu ambaye ni mtalam au amewahi kukutana na ugonjwa huu anisaidie ili nikapime.Asante
Incubation period: usually 1-14 days for symptomatic disease. Most become symptomatic in 2-5 days after exposure. dalili hiyo siyo specific kwa gono, kamuone dakitari, ukapime and other diagnosis.... na kwanini unahofu na gono? Au ulizini? hata ukizini , kuna magonjwa mengine yenye dalili kama hizo.... ugonjwa ukizidi muone daktari
 
Pole mzeee, nenda hospitali fasta, humu wapiga ramli wamezidi mda si w mrefu utatumwa mchele na kuku mweusi,

Ila utulie mzee baba haya yote ya nini?
Magonjwa hayaepukiki, ila aina ya magonjwa mara nying tunajitakia.
 
Kama mtu akithibitika Ana gono, tiba yake ni dawa gani?
 
Washikaji,nini sasa naskia kama kuna vichomi kwenye tundu la mkojo.Sasa nashindwa kujua nini tatizo kwa mtu ambaye ni mtalam au amewahi kukutana na ugonjwa huu anisaidie ili nikapime.Asante
Nyama kwa Nyama ni tamu mkuu, ila sio salama kabisa,
Pole sana
 
Siku moja tu,utaanza kuona dalili zisizo za kawaida...
 
Duh ulipiga etutana yango na yango! nenda kwa wataalamu bado mapema dude hilo la hovyo sana
 
Back
Top Bottom