Kiss ya mdomo (denda)

Kiss ya mdomo (denda)

Kuna madenda mengine mtu anakuwa kama analamba koni yaani lijiulimi hadi kwenye pua na pumzi mnazibana. Mbona kazi mnayo!!
hahahaahahaaaaa, mwengine liulimi LIGUMUUUUU kama MSASA!!!!.
 
Kuna madenda mengine mtu anakuwa kama analamba koni yaani lijiulimi hadi kwenye pua na pumzi mnazibana. Mbona kazi mnayo!!

deh deh deh umenikumbusha mshamba mmoja alimwambia bwana wake " ee bwana kama unanitaka nifanye nende zangu ,usinilambe kama jibwa"
 
gonga senksi basi na wewe mpwa!!, Loh.
halafu,
kwenye DENDA hapo napo inabidi utueleze vizuri wewe Mama Mchungaji,
kwa utafiti mdogo nimegundua inawezekana humjui namna ya kulana denda!!(msicheke, this is serious wapwa!).
kuna bibie mmoja alinipa denda, ile nimempa ulimi mama yangu, ALIUVUTA KWA NDANI ALMANUSRA UNG'OKE,Lol.

nimegonga mpwa nawe kaka iribini senks zangu niliweka za krismas sasa unapunguza!!!

eeeh kweli mpwa hiyo kitu nayo sanaa u might end up loosing such an important organ etiii!!!

duh saa hii mpwa sijui ungekua aje??
 
nimegonga mpwa nawe kaka iribini senks zangu niliweka za krismas sasa unapunguza!!!

eeeh kweli mpwa hiyo kitu nayo sanaa u might end up loosing such an important organ etiii!!!

duh saa hii mpwa sijui ungekua aje??
nimeiona senksi!.
ingekua hatari bila ulimi tena ni zaidi ya BUBU!!.
DENDA bana lahitaji maufundi, kama mtu domo lake linatoa uvundo use something SWEETY like CHOCOLATES or CANDIES, then u will enjoy sana, yu noo wot ai miin??.
 
Kuna tatizo zaidi ya hilo mama mchungaji, kuna maswali najiuliza hapa, ila ni too personal e.g huyu ni mpenzi wako wa ngapi? hao wengine(kama walikuwepo walikuwa hio kitu hawali?). Pia size ya kinywa cha mumeo kikoje? kama ni kikubwa kinaweza kuwa kinafunika hata pua na kukupa unpleasant smell.

Solution.

Jaribu kuwa unampa chocolate au ice cream wakati mnaanza libeneke.Au pipi zenye ladha nzuri.
 
Kuna madenda mengine mtu anakuwa kama analamba koni yaani lijiulimi hadi kwenye pua na pumzi mnazibana. Mbona kazi mnayo!!
nashukuru jamani wote nimewasoma, ila huyu kagusa ukweli na hali halisi ilivyo, yaani hali ndo iko hivi kama huyu alivyosema , mwenzangu si mvuta ugolo jamani, na wewe uliyesema sacrifice unatudanganya.. mi nikisema nijisacrifice kwahili, aisee basi ntakua siinjoi ile kazi maisha yangu yote, kwa sababu akishaanza hio kazi ya kutafuta mdomo wangu basi...mizuka yote kwaooooo...kama ningekua mwanaaume basi maumbile yangu yote yangesinzia..hivi ndo nilivyo.
 
nashukuru jamani wote nimewasoma, ila huyu kagusa ukweli na hali halisi ilivyo, yaani hali ndo iko hivi kama huyu alivyosema , mwenzangu si mvuta ugolo jamani, na wewe uliyesema sacrifice unatudanganya.. mi nikisema nijisacrifice kwahili, aisee basi ntakua siinjoi ile kazi maisha yangu yote, kwa sababu akishaanza hio kazi ya kutafuta mdomo wangu basi...mizuka yote kwaooooo...kama ningekua mwanaaume basi maumbile yangu yote yangesinzia..hivi ndo nilivyo.
mnhhh, pole sana.
THIS IS SERIOUS, mlete hapa JF wapwa tumpe somo.
 
🙄jamani..huyu ni mpenzi wa tatu, na niyeye tu ndo hii hali najiskia...ila wengine ilikuwa kawaida i real enjoyed their kisses, naomba mnielewe kuwa hii hali inayonisumbua imetokea kwake tu..yaani sijifeel kabisa..
Kuna tatizo zaidi ya hilo mama mchungaji, kuna maswali najiuliza hapa, ila ni too personal e.g huyu ni mpenzi wako wa ngapi? hao wengine(kama walikuwepo walikuwa hio kitu hawali?). Pia size ya kinywa cha mumeo kikoje? kama ni kikubwa kinaweza kuwa kinafunika hata pua na kukupa unpleasant smell.

Solution.

Jaribu kuwa unampa chocolate au ice cream wakati mnaanza libeneke.Au pipi zenye ladha nzuri.
 
jamani nisaidieni,,mi mwenzenu nina allegy na denda...ila kazinayoipata huyu mwenzangu anapenda, kila napomwambia mi sitaki utaona huyo kaja...bwana we sipendi mimi...lakini bado ananijia sehemu ya mdomo..hasa tunapokuaga kwenye ile kazi** ndo utamuona huyo kwa hio nafanya kazi ya kumkwepa..hebu nisaidieni nafanya sawa..na je nifanyaje aache kunikera maana imekua kero..si mnajua mtu anapokufanyia kitu kinachokuboa inavyokuaga.. nyie acheni.

wewe bado mtoto wenzako wananyonyana mpaka Mk*nd* taratibu utazowea na utapendelea
 
🙄jamani..huyu ni mpenzi wa tatu, na niyeye tu ndo hii hali najiskia...ila wengine ilikuwa kawaida i real enjoyed their kisses, naomba mnielewe kuwa hii hali inayonisumbua imetokea kwake tu..yaani sijifeel kabisa..

Kama tayari mmeoana mh! omba Mungu sana na mimi nitakuwa sambamba kukuombea ndoa yako Idumu. Hili jibu ndio limenipa wasix2
 
nashukuru jamani wote nimewasoma, ila huyu kagusa ukweli na hali halisi ilivyo, yaani hali ndo iko hivi kama huyu alivyosema , mwenzangu si mvuta ugolo jamani, na wewe uliyesema sacrifice unatudanganya.. mi nikisema nijisacrifice kwahili, aisee basi ntakua siinjoi ile kazi maisha yangu yote, kwa sababu akishaanza hio kazi ya kutafuta mdomo wangu basi...mizuka yote kwaooooo...kama ningekua mwanaaume basi maumbile yangu yote yangesinzia..hivi ndo nilivyo.
kwa maelezo haya inabidi jamaa akafanyiwe sajeri ya domo spesifikali ulimi, kuwa mwangalif sana, sisi wanasayansi tumekubaliana kwamba ma ulimi marefu yanakuwa na acid nyingi. pia ni nafasi nzuri ya kuponesha vipele vya uso ,kwasababu acid ya ma ulimi marefu imegundulikana kuwa ni dawa nzuri ya vipele vya uso. fuatilia mabandiko yangu kwa umakini sana. karibuni nitalijadili hili kule kwenye JF doctor.
 
nashukuru jamani wote nimewasoma, ila huyu kagusa ukweli na hali halisi ilivyo, yaani hali ndo iko hivi kama huyu alivyosema , mwenzangu si mvuta ugolo jamani, na wewe uliyesema sacrifice unatudanganya.. mi nikisema nijisacrifice kwahili, aisee basi ntakua siinjoi ile kazi maisha yangu yote, kwa sababu akishaanza hio kazi ya kutafuta mdomo wangu basi...mizuka yote kwaooooo...kama ningekua mwanaaume basi maumbile yangu yote yangesinzia..hivi ndo nilivyo.
Hivi wewe umeolewa au huyo ni mshikaji tu mpita njia? kama uliolewa si ulisema katika shida na raha.Sasa kama kiss inakushinda yakija matatizo makubwa utasemaje?Kila kitu huwa kinatokana na uamuzi na mawzo yako mwenyewe,unaweza change situation ukitaka.
Kama wewe utashindwa kumpa hiyo kiss basi subiri wasioona karaha wakusaidie na usilalamike.Na kwa taaarifa yako no body is perfect,atakuacha/utamuacha huyo wa kiss utakutana na wa Tigo sijui utasemaje.Unaruka mkojo unakanyaga m......
 
mai waifu wangu nilipomtongoza ile nasubiri anipe jibu ilkua kama ifuatavyo:
MIMI: 'sasa dear ni kuhusu last three month ulivyonipromise utanipa jibu la kama nilivyokueleza what I feels bout you(na kibluurei mtu mzima kilinitoka, Lol!!.)
YEYE: ...(kwanza akanitizama usoni kwa macho angavu kama dakika 2 hadi mtu mzima mapigo ya moyo yakaanza kwenda mbio nikajua mtu mzima nishamwagwa!), ghafla akanivuta kwake na kunipa DENDA, Loh!, tangu siku ile DENDA lake naona kama uhai wangu!!.

Af we George_Porjie unambwembwe sana unajua... hahahaha...

Kama muvi vile ahhahahhah...upo juu!
 
jamani nisaidieni,,mi mwenzenu nina allegy na denda...ila kazinayoipata huyu mwenzangu anapenda, kila napomwambia mi sitaki utaona huyo kaja...bwana we sipendi mimi...lakini bado ananijia sehemu ya mdomo..hasa tunapokuaga kwenye ile kazi** ndo utamuona huyo kwa hio nafanya kazi ya kumkwepa..hebu nisaidieni nafanya sawa..na je nifanyaje aache kunikera maana imekua kero..si mnajua mtu anapokufanyia kitu kinachokuboa inavyokuaga.. nyie acheni.


yani we mimi hata bure au nipewe kama gift sikutaki....u dont want the so called romance????? aisee...it seams even during the game u dont know how to go down and loll the pop or 2wine us shit on top of the d@@@K...!!!! aisee we nenda tu ukaolewe na Morani huko loliondo...
 
Back
Top Bottom