KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #21
Sawa kaka, asante kwa maboreshoAmefia nyumbani kwao Sengerema, Tafadhali fanyia marekebisho hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kaka, asante kwa maboreshoAmefia nyumbani kwao Sengerema, Tafadhali fanyia marekebisho hilo.
Unatetea haki za weusi Sweden!?Pale unapoamini mtu maarufu kijijini kwenu ni maarufu tanzania
Ni kweli mkuu.... na ni kwa sababu alishindwa kuweka miundombinu ya kumwezesha yeye na watanzania wengine kutibiwa hapa nyumbani.RIP Mwamba.
Mkuu,
Si hata Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alifia Hospitali ya St. Thomas London Uingereza?
Hana tofauti na prince katega wa piliAnatetea haki za weusi ili wajitambue ila kafia nchi ya weupe. Tunaomba wenyezi Mungu amfanyie wepesi katika maisha yake mapya aliyoanza.
Hizo dini za asili zilishindwa kutuokoa dhidi ya wakoloni na utumwa huoni kwamba huyo mungu waliyemuabudu alikuwa ni dhaifuKissendi alikuwa akifundisha mafundisho ya watu kuachana na dini za Uislamu na Ukristo na warudi kwenye dini za asili za mtu mweusi, dini za mababu na mizimu.
Always African leaders dies in foreign hospitalRIP Mwamba.
Mkuu,
Si hata Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alifia Hospitali ya St. Thomas London Uingereza?
Kufia majini kwenda ulaya,vijana bize kuzurura kulilia viza za kuzamia utumwani huoni kwamba uhuru lilikuwa ni jambo la kukurupuka.Kwa hii logic inabidi wote twende Ulaya tukatetee haki za weusi huko!
Hivi Hapa Afrila haki za hao weusi zinaheshimiwa hadi useme kwa weupe ndiko kwenye wabaguzi na watetezi wa weusi wanapaswa kuwa huko?
Mnaenda kutetea haki za weusi kwa weupe kwa sababu mazingira ya hapa hayajuruhusu hata watetezi wenyewe kuishi kwa usalama
Ni kweli anabaguliwa kwa sababu yeye mwenyewe kwanza anajidharaulisha na kujidhalilisha mbele ya dunia. Hebu imagine watu maelfu kwa maelfu wana risk kufa kwenye maji ili tu afike Ulaya....halafu piga picha kiongozi mmoja wa Serikali ya kiafrica kaiba hela ameficha Swiss au Isle of Man ili tu yeye aneemeke and millions of his countrymen wateseke.
Una qualities zote ulizozitaja. Nakurudishia mpira.
Mbona hajavaa ngozi za wanyama
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾Anatetea haki za weusi ili wajitambue ila kafia nchi ya weupe. ...
Umesoma huku umezibwa macho?.... Mpandagoya amefariki dunia huko Sengerema mkoani Geita 🇸🇪.
Wazungu walileta dini kwanza kabla ya ukoloniHizo dini za asili zilishindwa kutuokoa dhidi ya wakoloni na utumwa huoni kwamba huyo mungu waliyemuabudu alikuwa ni dhaifu
Hakuishi au kuhubiri Dini za Asili, ila kila mtu atambue, aheshimu na kuishi Ukuu wa Chimbuko na Asili yake. Na hiyo sio Dini, ni maisha halisi.Kissendi alikuwa akifundisha mafundisho ya watu kuachana na dini za Uislamu na Ukristo na warudi kwenye dini za asili za mtu mweusi, dini za mababu na mizimu.
NyahuniHakuishi au kuhubiri Dini za Asili, ila kila mtu atambue, aheshimu na kuishi Ukuu wa Chimbuko na Asili yake. Na hiyo sio Dini, ni maisha halisi.
Ustaarabu wa kuvaa nguo za kitambaa ulianzia Kemet, je unalijua hilo?Mbona hajavaa ngozi za wanyama
Usipotafuta pesa na elimu utabaguliwa hata na mbwa wa nyumbani kwakoSasa utateteaje haki za weusi. Ukiwa kwa weusi wenzio!?
Unatetea haki za weusi ukiwa kwa wazungu manake huko kwao
Mtu mweusi anabaguliwa.
Pls recharge your art of reasoning.
Upo low sana