Kisukari kimenitenda, sasa uume wangu ndembendembe

Kisukari kimenitenda, sasa uume wangu ndembendembe

Hello wanajamii! Nimekuwa nikipokea simu na ujumbe mwingi kuwa hii huduma bado ipo ama laa maana wanasoma post za tangu mwaka 2013. Napenda kuwajulisha huduma inaendelea na kuwapo kimya humu ni kutokana na kazi kuwa nyingi sana. Mtu akiwa na shida yoyote asisite kuendelea kunitumia ujumbe katika email ya ishealthy@hotmail.com au kunipigia kwa namba 0776491294/0713889162. Karibuni sana kwa moyo wa ukarimu sana nipo kuwahudumia
 
Hiyo sukari ya 4 nayo ni ya kuangalia sana isije kushuka zaidi.pole sana kamanda.Kisukari ni hatari sana na kinasumbua.
 
Pole sana mkuu, mbegu za mlonge huweza kushusha sukari kwa kiasi kikubwa. Tafuna mbegu moja kila siku huku ukiendelea kupima sukari mara kwa mara mpaka itakapokuwa normal na hapo ndipo utakapoacha kutafuna. Mungu akuponye
 
Hiyo sukari ya 4 nayo ni ya kuangalia sana isije kushuka zaidi.pole sana kamanda.Kisukari ni hatari sana na kinasumbua.

Asante sana,sasa hivi kisukari kinakuwa kati ya 6 na 7 kabla ya kula kitu chochote.

Kinacho ni sumbua kwa sasa ni Bp ya kupanda na vidonda vya tumbo.
 
Mkuu acha kunitisha,siku yangu ya kufa anaijua mungu peke yake!

aisee wewe ni binadamu au myama, kwa mtu yeyote mwenye akila timamu hawezi kusema maneno unayomtakia huyu kaka, kumbuka hapo ulipo wewe ni sawa na ua mda wowote waweza nyauka. shukuru Mungu kwa neema na upendo alionao kwako na uwe na upendo kwa watu wanaokuzunguka
 
Mkuu hupo peke yako, ila maumivu makubwa zaidi yapo kwenye hiyo gharama ya dawa na vipimo tu. Watu mmemwambia asiache kutumia dawa kwa wakati. Jamani, Serekali sikivu hii, iwatambue watu wa kisukari. Tunabaamizwa kweli kweli kwenye dawa na vipimo.
Hebu zingatia kuwa huna njia bali lazima unywe dozi mara mbili au tatu kwa siku. Kidonge kimoja cha Metfomin ni shs 1000/= mara 5kwa siku ni shs 5000/=. Hujaweka vunavyi enenda nazo, na za BP. Ni Mungu tu anatuwezesha kwani sijui napata wapi hiyo hela. Serekali, kama uliwakumbuka wa Ukimwi, hawa wa kisukari mbona umefumba macho??
 
Mkuu acha kunitisha,siku yangu ya kufa anaijua mungu peke yake!
haujafanya vizuri, mtu yuko kwenye tatizo hapo. kwasababu una kiburi cha uzima, hujafa hujaumbika. wewe muda si mrefu yatakupata mkubwa kuliko ya huyo mwenzio, na kiburi cha kutafuna wanawake ulichonacho utakisikia kwa jirani tu, na pengine mkeo naye atatafunwa mbele yako. jiandae kwa hilo kuanzia sasa. na yakikukuta usiache kuja kuomba msaada hapa wa mawazo.
 
Asante sana,sasa hivi kisukari kinakuwa kati ya 6 na 7 kabla ya kula kitu chochote.

Kinacho ni sumbua kwa sasa ni Bp ya kupanda na vidonda vya tumbo.
Nimefurahi kujua unaendekea vyema, pole na kila lakheri mkuu.
 
jamani tatizo lako ukija neptnus limekwisha kabisa, c sulari tu bali tuna dawa za takriban magonjwa yote sugu na virutubisho, vyote hivo vimetengenezwa kwa miti shamba lakin kwa njia ya kisasa. neptunus ndo mkomboz wa afya yako
 
Tutafute kwa namba 0717 998703/0759425257 au fika ofisini kwetu Sinza Africa Sana Plot no 36 nyuma ya soko. Tutakusaidia sana
 
Neptunus mnapatikana wapi hapa DSM?
jamani tatizo lako ukija neptnus limekwisha kabisa, c sulari tu bali tuna dawa za takriban magonjwa yote sugu na virutubisho, vyote hivo vimetengenezwa kwa miti shamba lakin kwa njia ya kisasa. neptunus ndo mkomboz wa afya yako
 
Mwaka 1995 nikiwa mkoani Kagera tumbo lilianza kujaa gesi na kunguruma sana likiambatana na kuharisha. Niliweza kutumia dawa mbalimbali za hosptali ambazo sizikumbuki kwa vile ni muda murefu umepita.Dawa hizo zilinisaidia sana mpaka nikasahau kama nilikuwa na tatizo hilo.Wakati huo wote sikuweza kupata tatizo lolote la uume.Baada ya miaka 10 hivi kupita nilibadilisha mazingira nikahamia mkoa mwingine ambao unabaridi kali kuliko mkoa wa Kagera.Hapo ndipo tumbo liliibuka upya likarudi kama lilivyo kuwa hapo awali.Nimetumia dawa mbalimbali za hosptali tumbo linatulia baada ya muda mfupi linatibuka tena.Kutokana na dalili nilizokuwa ninazieleza kwa daktari aliamuwa kunipima vidonda vya tumbo na kunikuta navyo.Niliandikiwa dawa ya vidonda vya tumbo ninapo zitumia dawa hizo ninapata nafuu lakini baada ya muda fulani vinatibuka tena sehemu ya Chembe ya moyo.Nikiwa ninatafakari namna ya kumaliza tatizo la vidonda vya tumbo. lilijitokeza tatizo lingine la kukosa nguvu za kiume kiasi ambacho nilianza kulalamikiwa na mke wangu kuwa nimesha anza kutoka nje ya ndoa.kwa vile nijuwa kuwa ninatuhumiwa tuhuma ambazo nilikuwa sina ilibidi nitumie mfumo dume ambao ulinisaidia kuweka mambo sawa.Zaidi ya kukosa nguvu za kiume uume ulianza kusinyaa na kuingia ndani utafikiri panya anataka kutoka kwenye shimo sasa anachungulia ilikujuwa usalama wake ukoje kabla ya kutoka nje.kwa sasa nguvu zimeisha kabisa hata kile kidogo nilichokuwa nacho kimenyang'anywa nina miaka 3 sijafanya tendo la ndoa ninatamani lakini sisimamishi mke wangu namuona kama mama mkwe.Badae miguu ilianza kufa ganzi,vidonda vikaanza kujitokeza vidole vya miguuni,vidole vya mikononi vikaanzakujikunja,nikawa ninapata kiu mara kwa mara na kunywa maji sana na kukojoa sana,mate yakaanza kukauka mdomoni kitu kilicho kuja kunishitua sana macho yaliishiwa nguvu kabisa kidogo yapofuke.Ndipo nilipoamuwa kwenda hosptali na kugunduliwa kuwa na kisukari ambacho kilionyesha kuwa na kiwango cha 24 baada ya kuanza kutumia dawa kikaanza kushuka kwa kiwango cha 17,13,11 kwa sasa kinacheza kati ya 12 mpaka 4-5.wakati wote huo kisukari kipande kisipande kiwe kati hali ya baba tafuta watoto ina kuwa ni kwa heri baba wa Taifa.Samahani kwa kuwachosha.

Sijasoma yoote ila kama hujawahi kutumia mayai ya kwale ncheki upate dose kwa 13000 trey moja na dose ni.mayai 240 0712691155
 
Sijasoma yoote ila kama hujawahi kutumia mayai ya kwale ncheki upate dose kwa 13000 trey moja na dose ni.mayai 240 0712691155

Mayai ya kwale yanatibu ugonjwa gani?.
 
Nimesikitika sana ila ulivyomalizia imebibidi nichecke tu...pole sana boss
 
Back
Top Bottom