Kisukari kimenitenda, sasa uume wangu ndembendembe

Kisukari kimenitenda, sasa uume wangu ndembendembe

Mwaka 1995 nikiwa mkoani Kagera tumbo lilianza kujaa gesi na kunguruma sana likiambatana na kuharisha. Niliweza kutumia dawa mbalimbali za hosptali ambazo sizikumbuki kwa vile ni muda murefu umepita.Dawa hizo zilinisaidia sana mpaka nikasahau kama nilikuwa na tatizo hilo.Wakati huo wote sikuweza kupata tatizo lolote la uume.Baada ya miaka 10 hivi kupita nilibadilisha mazingira nikahamia mkoa mwingine ambao unabaridi kali kuliko mkoa wa Kagera.Hapo ndipo tumbo liliibuka upya likarudi kama lilivyo kuwa hapo awali.Nimetumia dawa mbalimbali za hosptali tumbo linatulia baada ya muda mfupi linatibuka tena.Kutokana na dalili nilizokuwa ninazieleza kwa daktari aliamuwa kunipima vidonda vya tumbo na kunikuta navyo.Niliandikiwa dawa ya vidonda vya tumbo ninapo zitumia dawa hizo ninapata nafuu lakini baada ya muda fulani vinatibuka tena sehemu ya Chembe ya moyo.Nikiwa ninatafakari namna ya kumaliza tatizo la vidonda vya tumbo. lilijitokeza tatizo lingine la kukosa nguvu za kiume kiasi ambacho nilianza kulalamikiwa na mke wangu kuwa nimesha anza kutoka nje ya ndoa.kwa vile nijuwa kuwa ninatuhumiwa tuhuma ambazo nilikuwa sina ilibidi nitumie mfumo dume ambao ulinisaidia kuweka mambo sawa.Zaidi ya kukosa nguvu za kiume uume ulianza kusinyaa na kuingia ndani utafikiri panya anataka kutoka kwenye shimo sasa anachungulia ilikujuwa usalama wake ukoje kabla ya kutoka nje.kwa sasa nguvu zimeisha kabisa hata kile kidogo nilichokuwa nacho kimenyang'anywa nina miaka 3 sijafanya tendo la ndoa ninatamani lakini sisimamishi mke wangu namuona kama mama mkwe.Badae miguu ilianza kufa ganzi,vidonda vikaanza kujitokeza vidole vya miguuni,vidole vya mikononi vikaanzakujikunja,nikawa ninapata kiu mara kwa mara na kunywa maji sana na kukojoa sana,mate yakaanza kukauka mdomoni kitu kilicho kuja kunishitua sana macho yaliishiwa nguvu kabisa kidogo yapofuke.Ndipo nilipoamuwa kwenda hosptali na kugunduliwa kuwa na kisukari ambacho kilionyesha kuwa na kiwango cha 24 baada ya kuanza kutumia dawa kikaanza kushuka kwa kiwango cha 17,13,11 kwa sasa kinacheza kati ya 12 mpaka 4-5.wakati wote huo kisukari kipande kisipande kiwe kati hali ya baba tafuta watoto ina kuwa ni kwa heri baba wa Taifa.Samahani kwa kuwachosha.

Pole sana mkuu, kweli hujafa hujaumbika. mungu akusaidie katika hilo
 
Kuna dada mmoja anaitwa Rahabu na dawa ya fiterawa. Mtafute. Nimemsikia kwenye redio.
 
Mwaka 1995 nikiwa mkoani Kagera tumbo lilianza kujaa gesi na kunguruma sana likiambatana na kuharisha. Niliweza kutumia dawa mbalimbali za hosptali ambazo sizikumbuki kwa vile ni muda murefu umepita.Dawa hizo zilinisaidia sana mpaka nikasahau kama nilikuwa na tatizo hilo.Wakati huo wote sikuweza kupata tatizo lolote la uume.Baada ya miaka 10 hivi kupita nilibadilisha mazingira nikahamia mkoa mwingine ambao unabaridi kali kuliko mkoa wa Kagera.Hapo ndipo tumbo liliibuka upya likarudi kama lilivyo kuwa hapo awali.Nimetumia dawa mbalimbali za hosptali tumbo linatulia baada ya muda mfupi linatibuka tena.Kutokana na dalili nilizokuwa ninazieleza kwa daktari aliamuwa kunipima vidonda vya tumbo na kunikuta navyo.Niliandikiwa dawa ya vidonda vya tumbo ninapo zitumia dawa hizo ninapata nafuu lakini baada ya muda fulani vinatibuka tena sehemu ya Chembe ya moyo.Nikiwa ninatafakari namna ya kumaliza tatizo la vidonda vya tumbo. lilijitokeza tatizo lingine la kukosa nguvu za kiume kiasi ambacho nilianza kulalamikiwa na mke wangu kuwa nimesha anza kutoka nje ya ndoa.kwa vile nijuwa kuwa ninatuhumiwa tuhuma ambazo nilikuwa sina ilibidi nitumie mfumo dume ambao ulinisaidia kuweka mambo sawa.Zaidi ya kukosa nguvu za kiume uume ulianza kusinyaa na kuingia ndani utafikiri panya anataka kutoka kwenye shimo sasa anachungulia ilikujuwa usalama wake ukoje kabla ya kutoka nje.kwa sasa nguvu zimeisha kabisa hata kile kidogo nilichokuwa nacho kimenyang'anywa nina miaka 3 sijafanya tendo la ndoa ninatamani lakini sisimamishi mke wangu namuona kama mama mkwe.Badae miguu ilianza kufa ganzi,vidonda vikaanza kujitokeza vidole vya miguuni,vidole vya mikononi vikaanzakujikunja,nikawa ninapata kiu mara kwa mara na kunywa maji sana na kukojoa sana,mate yakaanza kukauka mdomoni kitu kilicho kuja kunishitua sana macho yaliishiwa nguvu kabisa kidogo yapofuke.Ndipo nilipoamuwa kwenda hosptali na kugunduliwa kuwa na kisukari ambacho kilionyesha kuwa na kiwango cha 24 baada ya kuanza kutumia dawa kikaanza kushuka kwa kiwango cha 17,13,11 kwa sasa kinacheza kati ya 12 mpaka 4-5.wakati wote huo kisukari kipande kisipande kiwe kati hali ya baba tafuta watoto ina kuwa ni kwa heri baba wa Taifa.Samahani kwa kuwachosha.

Pole kwa tatizo linalokusumbua. Sasa fanya hivi: AMUA KWA DHATI KUOKOKA NA KUMFANYA YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO na hakika tatizo lako litakuwa HISTORIA. Kama uko Dar karibu FGBF Mwenge, kanisa linaloongozwa na Kamanda Mchungaji Zakaria Kakobe, na kama uko mikoani nitajie mkoa/mahali ulipo nikupe taarifa za makanisa ya FGBF huko uliko au fuata link hii: BRANCH CHURCHES - fgbfchurch.org.
 


Pole kwa tatizo linalokusumbua. Sasa fanya hivi: AMUA KWA DHATI KUOKOKA NA KUMFANYA YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO na hakika tatizo lako litakuwa HISTORIA. Kama uko Dar karibu FGBF Mwenge, kanisa linaloongozwa na Kamanda Mchungaji Zakaria Kakobe, na kama uko mikoani nitajie mkoa/mahali ulipo nikupe taarifa za makanisa ya FGBF huko uliko au fuata link hii: BRANCH CHURCHES - fgbfchurch.org.

Ninashukuru kwa ushauri wako ninaufanyia kazi.
 
AMKAWEWE;pia nimelipokea neno lako.nami nasema AMENI.
 
Pole sana.
Endelea kufuatilia matibabu ya kisukari. Kuhusu suala la ndoa, nakushauri uwe unaenda hospitali na mkeo ili asikie kutoka kwa dr na amuulize maswali. Aunt yangu aliishi na kisukari kwa miaka karibu 30 na kilichomuondoa ni uzee in real sense. Babangu ana sukari mwaka wa 10 huu and he is perfectly fine. Fuata masharti ya daktari na utaishi maisha ya furaha.
 
Pole sana mkuu! That is typical diabetes mellitus type two (DM-II)! ...and it have already gone far to the extent that what you are experiencing now are the complications of DM-II. The key issue now is to control your blood sugar by having your medications on time, watching your food and regular check up. I advise you to attend a near-by diabetic clinic and see a diabetic specialist. Most of the regional hospitals have diabetic clinics but if not then it is important for you to make sure you are seeing one referral/consultant hospitals.

Nashukuru kwa ushauri wako.
 
Pole sana.
Endelea kufuatilia matibabu ya kisukari. Kuhusu suala la ndoa, nakushauri uwe unaenda hospitali na mkeo ili asikie kutoka kwa dr na amuulize maswali. Aunt yangu aliishi na kisukari kwa miaka karibu 30 na kilichomuondoa ni uzee in real sense. Babangu ana sukari mwaka wa 10 huu and he is perfectly fine. Fuata masharti ya daktari na utaishi maisha ya furaha.

Nashukuru sana.
 
wewe ulikuwa na vidonda vya tumbo, ukapata shida ya uume! sasa kwa miaka hiyo mitatu uliyoukuwa hukutani na mkeo, hata kama ulikuwa unafanya ubabe, ilikuwa inakudisturb sana kwa kujua au kutokujua na ikakupelekea kupata diabete. Jaribu herbals za wasabato(sorry kwa kuwaita hivyo) ila, dawa hizo zimesaidia sana watu wengi. Kisha muombe Mungu, jitahidi kuwa na furaha, kumbuka ' happiness is choice not aresult', itakusiadia pia kuwa fine.

Nimekuelewa.
 
pole aisee,halafu nyie watu wa kutoka burundi,waha mbona mna tatizo hili?nimeolewa katumba,most of the people wana kisukari.sio bure kuna kitu aisee.Any way pole aisee.
 
Back
Top Bottom