My city my town. This is where I have grown.
.Kwa wajaluo...Ila Kenya kuna ubaguzi aisee sijawahi kuona.
Hapo kisumu ukifungua biashara kama sio mjaluo hupati wateja labda uweke wafanyakazi wa kabila lao.
Wewe Mfipa umefika Kenya kweli ?Kwa wajaluo...Ila Kenya kuna ubaguzi aisee sijawahi kuona.
Hapo kisumu ukifungua biashara kama sio mjaluo hupati wateja labda uweke wafanyakazi wa kabila lao.
Wewe Mfipa umefika Kenya kweli ?
Hiyo sio bangi ni mjamaa umekolea hadi kwa mifupa.Hajui hata Kisumu ni wapi??? Sijui wanakulaa bhangi gani hawa watu
Kwa wajaluo...Ila Kenya kuna ubaguzi aisee sijawahi kuona.
Hapo kisumu ukifungua biashara kama sio mjaluo hupati wateja labda uweke wafanyakazi wa kabila lao.
Hahaa mimi Mpimbwe sio MfipaWewe Mfipa umefika Kenya kweli ?
Kutoka sehemu gani ya Tz?Hahaa mimi Mpimbwe sio Mfipa
Hahaa mimi Mpimbwe sio Mfipa
Ama ndio kabila la maPimbiSasa umetuonyesha ya kuwa afadhali hata Mfipa kushinda Mpimbwe! Bure kabisa!