COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Arusha ati town ni 1 kmsqr lolArusha ulinganishe na huu ujinga ujinga!!
muache kuidharau Arushs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha ati town ni 1 kmsqr lolArusha ulinganishe na huu ujinga ujinga!!
muache kuidharau Arushs
He! Nawe unatoaga maneno hayaUtamchukiaje mme na bado usiku unakuwa wakwanza kumpandishia Marinda!!
wewe humchukii unampenda tu
Usilinganishe Arusha na vitu vyakijinga jingaArusha ati town ni 1 kmsqr lol
Arusha ni nini sasa..usilinganishe kisumu na maviUsilinganishe Arusha na vitu vyakijinga jinga
Kila mji mkubwa Africa kuna slums, hata S. Africa kuna slums. Ni kujipotosha sana pale nyinyi watz mnapopinga kuwepo kwa slums kwenye miji yenyu mikuu!Kwahiyo kila mji Kenya kuna Slum!!?
Kila mji mkubwa Africa kuna slums, hata S. Africa kuna slums. Ni kujipotosha sana pale nyinyi watz mnapopinga kuwepo kwa slums kwenye miji yenyu mikuu!
kha!!Arusha ni nini sasa..usilinganishe kisumu na mavi
Kwa ukubwa, mitaa, barabara na mpangilio Arusha haifikii Kisumu!Arusha ulinganishe na huu ujinga ujinga!!
Muache kuidharau Arushs
Basi Jaribu kuleta mada tuoneKwa ukubwa, mitaa, barabara na mpangilio Arusha haifikii Kisumu!
Si umeona kisumu kuna hadi interchange tuma za arusha...tuna suburbsBasi Jaribu kuleta mada tuone
Ndio uwanja huu wa mpila!!
Hovyo
Kabisapamoja na picha zote hizo mlizoweka,kisumu bado uwezi linganisha na Arusha au mwanza.Kisumu labda tuilinganishe na Iringa Tz.
pamoja na picha zote hizo mlizoweka,kisumu bado uwezi linganisha na Arusha au mwanza.Kisumu labda tuilinganishe na Iringa Tz.
Kuna slums kadhaa tu ambako hali ni afadhali. Usidhanie kila slum inakaa Kibera. Annael na Motochini ni mahasidi wetu, kwa hivyo bila shaka watatilia chumvi suala hilo
hyo picha ni ya kitambo sana.Arusha vs Kisumu
Arusha!
![]()
this city cant compete with Kisumu, Nakuru or Eldoret cities at all!
Leta picha latest basi. Kila mara nyinyi husema hivyo.hyo picha ni ya kitambo sana.