Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Nimejaribu ku-calculate miradi inayoendelea Mwanza imefika $1.2 bln assuming half of SGR Mwanza-Isaka is to be spent in Mwanza region!Safi sana chief geza ulole tupe maproject yanayoendelea huko Mwanza.
kenya alishaa komaa kitambo!. sisi tulimaliza kujenga kila kitu. int'l airports, sgr, ports, highways, superhighways, expressways, underpass and interchanges, nuclear powerplant etc etcNimejaribu ku-calculate miradi inayoendelea Mwanza imefika $1.2 bln assuming half of SGR Mwanza-Isaka is to be spent in Mwanza region!
kenya alishaa komaa kitambo!. sisi tulimaliza kujenga kila kitu. int'l airports, sgr, ports, highways, superhighways, expressways, underpass and interchanges, nuclear powerplant etc etc
Sijawah kuona mji duniani unaoshindania nafasi ya pili kama mwanzANimejaribu ku-calculate miradi inayoendelea Mwanza imefika $1.2 bln assuming half of SGR Mwanza-Isaka is to be spent in Mwanza region!
bro, hapo umenena kama watu kumi. waTz wenyewe hata ni kama hawajui nchi yaoSijawah kuona mji duniani unaoshindania nafasi ya pili kama mwanzA
Mbona hatujawahi kuskia mabishano ya Mombasa vs Kisumu
It's clear Mombasa is the second city in Kenya and everyone knows that
Back to tz Sasa mwanza mnangangania kitu ambacho hamna
Hamtaki kuachia nafasi π€£π€£mnatumia nguvu kubwa kujitangaza kwamba nyie ni namba mbili mko ahead of arusha lakin wenyewe mnaokaa hapo mnaelewa hamna kitu hapa mji umepoa kama uko bariadi mzunguko ndio huo hamna Yan uwanja mdogo wa arusha una ndege nyingi kuliko one and only wa mwanza
Ts because hamjiamini... there's nothing special in there ndo maana mnapigania nafasi ya pili Kwa jasho Na damu utadhan mmeambiwa Kuna mirathi
Tangu nakua naambiwa Mwanza ni namba 2 but still Hadi leo hamna investment ya maana watakimbilia kukuonesha rockcity mall...sgr... airport building...soko ...stendiπ€£π€£π€£acheni ushamba tukisema investments tunamaanisha private sector ones mje mtuoneshe kiwanda cha sayona sasa π
Kubalini tu without government hands there is nothing in there...mji flani local Sana afadhali morogoro atleast iko karibu Na dar
Nina wasiwasi na wewe kama ni mzima au tunachat na vichaa humu ndani.Cha kukusahidia wenye mamlaka ya kutoa sifa na hadhi za miji,manispaa na majiji Tanzania ni serikali na wataalam wake.Sasa wewe kupiga kalele humu ndani hakukusahidii kitu,chakufanya nenda TAMISEM kwa mama Ummy ukawambie kwamba sasa Arusha imekua kiasi cha Kuizidi Mwanza ili Arusha ichukue nafasi ya Mwanza nadhan ubishi utaisha.Ila kuendelee kupiga kelele za kinafiki wakati taarifa za serikali na za kimataifa zinasema Mwanza ni second city in Tanzania itakuwa ni wendawazimu.Wala usiangaike na mimi,mimi sio nilietangaza Mwanza kuwa second city Tanzania wala sio mimi niliekataa Arusha isiwe second city.Mwanza inataendelee kuwa Second city in Tanzania wala msitegemee ni leo wala kesho kushuka na kama itapata upinzani kwa nafasi yake itatoka Dodoma wala sio Arusha.Arusha itaendelea kuwa SAFARI CITY na wasipokubali kubadilika nakuwa na diverstification economy Mbeya na Iringa itawapita soon.Sifa za midomo hazijengi hata hao wakenya wanapiga kelele tu kwa sababu ya kutetea Ukenya wao ila Mwanza city wanaijua vizuri.Sijawah kuona mji duniani unaoshindania nafasi ya pili kama mwanzA
Mbona hatujawahi kuskia mabishano ya Mombasa vs Kisumu
It's clear Mombasa is the second city in Kenya and everyone knows that
Back to tz Sasa mwanza mnangangania kitu ambacho hamna
Hamtaki kuachia nafasi π€£π€£mnatumia nguvu kubwa kujitangaza kwamba nyie ni namba mbili mko ahead of arusha lakin wenyewe mnaokaa hapo mnaelewa hamna kitu hapa mji umepoa kama uko bariadi mzunguko ndio huo hamna Yan uwanja mdogo wa arusha una ndege nyingi kuliko one and only wa mwanza
Ts because hamjiamini... there's nothing special in there ndo maana mnapigania nafasi ya pili Kwa jasho Na damu utadhan mmeambiwa Kuna mirathi
Tangu nakua naambiwa Mwanza ni namba 2 but still Hadi leo hamna investment ya maana watakimbilia kukuonesha rockcity mall...sgr... airport building...soko ...stendiπ€£π€£π€£acheni ushamba tukisema investments tunamaanisha private sector ones mje mtuoneshe kiwanda cha sayona sasa π
Kubalini tu without government hands there is nothing in there...mji flani local Sana afadhali morogoro atleast iko karibu Na dar
Yeah, mwanza tunajua vizuri. The only town with one road that gets you in and out of the town.Nina wasiwasi na wewe kama ni mzima au tunachat na vichaa humu ndani.Cha kukusahidia wenye mamlaka ya kutoa sifa na hadhi za miji,manispaa na majiji Tanzania ni serikali na wataalam wake.Sasa wewe kupiga kalele humu ndani hakukusahidii kitu,chakufanya nenda TAMISEM kwa mama Ummy ukawambie kwamba sasa Arusha imekua kiasi cha Kuizidi Mwanza ili Arusha ichukue nafasi ya Mwanza nadhan ubishi utaisha.Ila kuendelee kupiga kelele za kinafiki wakati taarifa za serikali na za kimataifa zinasema Mwanza ni second city in Tanzania itakuwa ni wendawazimu.Wala usiangaike na mimi,mimi sio nilietangaza Mwanza kuwa second city Tanzania wala sio mimi niliekataa Arusha isiwe second city.Mwanza inataendelee kuwa Second city in Tanzania wala msitegemee ni leo wala kesho kushuka na kama itapata upinzani kwa nafasi yake itatoka Dodoma wala sio Arusha.Arusha itaendelea kuwa SAFARI CITY na wasipokubali kubadilika nakuwa na diverstification economy Mbeya na Iringa itawapita soon.Sifa za midomo hazijengi hata hao wakenya wanapiga kelele tu kwa sababu ya kutetea Ukenya wao ila Mwanza city wanaijua vizuri.
Hakuna asiyejua mnaongoza kwa umaskini, kujisaidia ziwani na kuishi vichakani πNina wasiwasi na wewe kama ni mzima au tunachat na vichaa humu ndani.Cha kukusahidia wenye mamlaka ya kutoa sifa na hadhi za miji,manispaa na majiji Tanzania ni serikali na wataalam wake.Sasa wewe kupiga kalele humu ndani hakukusahidii kitu,chakufanya nenda TAMISEM kwa mama Ummy ukawambie kwamba sasa Arusha imekua kiasi cha Kuizidi Mwanza ili Arusha ichukue nafasi ya Mwanza nadhan ubishi utaisha.Ila kuendelee kupiga kelele za kinafiki wakati taarifa za serikali na za kimataifa zinasema Mwanza ni second city in Tanzania itakuwa ni wendawazimu.Wala usiangaike na mimi,mimi sio nilietangaza Mwanza kuwa second city Tanzania wala sio mimi niliekataa Arusha isiwe second city.Mwanza inataendelee kuwa Second city in Tanzania wala msitegemee ni leo wala kesho kushuka na kama itapata upinzani kwa nafasi yake itatoka Dodoma wala sio Arusha.Arusha itaendelea kuwa SAFARI CITY na wasipokubali kubadilika nakuwa na diverstification economy Mbeya na Iringa itawapita soon.Sifa za midomo hazijengi hata hao wakenya wanapiga kelele tu kwa sababu ya kutetea Ukenya wao ila Mwanza city wanaijua vizuri.
π€£π€£π€£ You nailed it manYeah, mwanza tunajua vizuri. The only town with one road that gets you in and out of the town.
The only town with one shopping mall.
The only town where airport looks like a godown.
Mwanza has no serious industries.
Economy ya Mwanza is less than that of Kisii.
Mwanza is the only town with pot holes in it's CBD.
πππππhizo ni taarabu tu.Serikali na wataalam wake na takwimu zao wasema Mwanza ndo jiji lenye hadhi kwa kila kitu baada ya Dar.Na rock city mall ndo mall kubwa na mzuri kuliko zote Tanzania na nyingine inajengwa Dodoma city,Saizi Mwanza tunajenga international market,two international bus terminals ,Mwanza ndo ina highest cotral tower east Africa,rada nayo nyingine hiko Mwanza,longest bridge afrika mashariki hiko Mwanza,Mwanza ndo ina mameli makubwa ya abiri afrika mashariki,Arusha size yako ni IringaππππSGR nayo imeanza kujengwa Mwanza na hii SGR inaunganisha majiji makubwa tu (Mwanza,Dodoma na Dar).Arusha ni kelele tu.Sasa nyie endeleeni kuwa matajiri wa Maneno.πππHakuna asiyejua mnaongoza kwa umaskini, kujisaidia ziwani na kuishi vichakani π
Vibarabara vyembamba utadhan wanapita panyaπ₯
Hiyo airport yenu inabeba hadi mbuziπππππhizo ni taarabu tu.Serikali na wataalam wake na takwimu zao wasema Mwanza ndo jiji lenye ardhi kwa kila kitu baada ya Dar.Na rock city mall ndo mall kubwa na mzuri kuliko zote Tanzania na nyingine inajengwa Dodoma city,Saizi Mwanza tunajenga international market,two international bus terminals ,Mwanza ndo ina highest cotral tower east Africa,rada nayo nyingine hiko Mwanza,longest bridge afrika mashariki hiko Mwanza,Mwanza ndo ina mameli makubwa ya abiri afrika mashariki,Arusha size yako ni IringaππππSGR nayo imeanza kujengwa Mwanza na hii SGR inaunganisha majiji makubwa tu (Mwanza,Dodoma na Dar).Arusha ni kelele tu.Sasa nyie endeleeni kuwa majiri wa Maneno.πππ
kuna meli mbili kubwa zinajengwa, PAX terminal Mwanza Airport, cancer ecenter Bugando, Mama na mtoto ward Toure Hospital na gold refineries pia!πππππhizo ni taarabu tu.Serikali na wataalam wake na takwimu zao wasema Mwanza ndo jiji lenye ardhi kwa kila kitu baada ya Dar.Na rock city mall ndo mall kubwa na mzuri kuliko zote Tanzania na nyingine inajengwa Dodoma city,Saizi Mwanza tunajenga international market,two international bus terminals ,Mwanza ndo ina highest cotral tower east Africa,rada nayo nyingine hiko Mwanza,longest bridge afrika mashariki hiko Mwanza,Mwanza ndo ina mameli makubwa ya abiri afrika mashariki,Arusha size yako ni IringaππππSGR nayo imeanza kujengwa Mwanza na hii SGR inaunganisha majiji makubwa tu (Mwanza,Dodoma na Dar).Arusha ni kelele tu.Sasa nyie endeleeni kuwa majiri wa Maneno.πππ
Unawachanganya machalii wafafanulie hiyo PAX kwanza ni nini [emoji2][emoji2][emoji2],kuna meli mbili kubwa zinajengwa, PAX terminal Mwanza Airport, cancer ecenter Bugando, Mama na mtoto ward Toure Hospital na gold refineries pia!
πππninavyojua Airport ya Arusha airbus na boeng haziwezi kutua labda vile vindege panzi vya watalii vinavyobeba abiria 6 au 5.Lakini Mwanza ni international standard ndege aina yoyote inatua.Na route ya airbus na boeng Tanzania ni Mwanza-kilimanjaro-dodoma -Dar kila siku wala Arusha haimo.We endelea kupiga kelele na utajiri wa maneno wakati na dodoma imesha wapiga bao.
Kubeba mbuzi ndo maana ya international Airport.Mwanza kuna maviwanda makubwa ya samaki zinapelekwa ujerumani,canada,austalia,ital,france,portigal,englind pia kuna viwanda vya nyama inapelekwa falme za kiarabu,Dubai,Saud arab na oman ndo maan ulisikia ndege ibeba nyama ya mbuzi inapelekwa uarabuni ukashangaa kwasababu huko Arusha haya mambo hayapo.
π€£π€£π€£Kubeba mbuzi ndo maana ya international Airport.Mwanza kuna maviwanda makubwa ya samaki zinapelekwa ujerumani,canada,austalia,ital,france,portigal,englind pia kuna viwanda vya nyama inapelekwa falme za kiarabu,Dubai,Saud arab na oman ndo maan ulisikia ndege ibeba nyama ya mbuzi inapelekwa uarabuni ukashangaa kwasababu huko Arusha haya mambo hayapo.
Kama hapa ni nakuru kweli basi mkuu levelsView attachment 1764303hope not to spoil the thread.. but ata nakuru ni mambo mbaya. achana na kenya. i ll tell u for free. naxvegas could be documented as kenya's 4th largest city.. but it still rival mwanza and arusha combined!..View attachment 1764304naxvegasView attachment 1764305View attachment 1764308View attachment 1764310View attachment 1764312View attachment 1764313View attachment 1764316View attachment 1764318View attachment 1764319
Hakika kwa haya madini hadipokuekewa atakuwa ni punguwani wa akili.Nina wasiwasi na wewe kama ni mzima au tunachat na vichaa humu ndani.Cha kukusahidia wenye mamlaka ya kutoa sifa na hadhi za miji,manispaa na majiji Tanzania ni serikali na wataalam wake.Sasa wewe kupiga kalele humu ndani hakukusahidii kitu,chakufanya nenda TAMISEM kwa mama Ummy ukawambie kwamba sasa Arusha imekua kiasi cha Kuizidi Mwanza ili Arusha ichukue nafasi ya Mwanza nadhan ubishi utaisha.Ila kuendelee kupiga kelele za kinafiki wakati taarifa za serikali na za kimataifa zinasema Mwanza ni second city in Tanzania itakuwa ni wendawazimu.Wala usiangaike na mimi,mimi sio nilietangaza Mwanza kuwa second city Tanzania wala sio mimi niliekataa Arusha isiwe second city.Mwanza inataendelee kuwa Second city in Tanzania wala msitegemee ni leo wala kesho kushuka na kama itapata upinzani kwa nafasi yake itatoka Dodoma wala sio Arusha.Arusha itaendelea kuwa SAFARI CITY na wasipokubali kubadilika nakuwa na diverstification economy Mbeya na Iringa itawapita soon.Sifa za midomo hazijengi hata hao wakenya wanapiga kelele tu kwa sababu ya kutetea Ukenya wao ila Mwanza city wanaijua vizuri.
Wewe ni SIMBAπππππhizo ni taarabu tu.Serikali na wataalam wake na takwimu zao wasema Mwanza ndo jiji lenye hadhi kwa kila kitu baada ya Dar.Na rock city mall ndo mall kubwa na mzuri kuliko zote Tanzania na nyingine inajengwa Dodoma city,Saizi Mwanza tunajenga international market,two international bus terminals ,Mwanza ndo ina highest cotral tower east Africa,rada nayo nyingine hiko Mwanza,longest bridge afrika mashariki hiko Mwanza,Mwanza ndo ina mameli makubwa ya abiri afrika mashariki,Arusha size yako ni IringaππππSGR nayo imeanza kujengwa Mwanza na hii SGR inaunganisha majiji makubwa tu (Mwanza,Dodoma na Dar).Arusha ni kelele tu.Sasa nyie endeleeni kuwa matajiri wa Maneno.πππ
Arusha airport imeizid adi KIA na bado unaziamini hizi statistics.