😂😂😂😂😂hizo ni taarabu tu.Serikali na wataalam wake na takwimu zao wasema Mwanza ndo jiji lenye hadhi kwa kila kitu baada ya Dar.Na rock city mall ndo mall kubwa na mzuri kuliko zote Tanzania na nyingine inajengwa Dodoma city,Saizi Mwanza tunajenga international market,two international bus terminals ,Mwanza ndo ina highest cotral tower east Africa,rada nayo nyingine hiko Mwanza,longest bridge afrika mashariki hiko Mwanza,Mwanza ndo ina mameli makubwa ya abiri afrika mashariki,Arusha size yako ni Iringa😂😂😂😂SGR nayo imeanza kujengwa Mwanza na hii SGR inaunganisha majiji makubwa tu (Mwanza,Dodoma na Dar).Arusha ni kelele tu.Sasa nyie endeleeni kuwa matajiri wa Maneno.😂😂😂