Kisumu vs Mwanza

Wat new about few pic come mention kuna interchange kathaa na uzitaje haina haja ya picha maana picha inachoose one beautiful place ivo haisaidi kitu
[emoji23]Hakuna kitu Kama one beautiful place ju hizi interchange ziko kwa residential areas mbali kiasi na CBD.
 
Nyuma ya Dar kwa Tzn ni Arusha hiyo mwanza ni level ya Dodoma hamna kitu zaidi Lundo la watu hohehahe
 
Alafu hawa mbuzi wanadhani traffic lights ni sifa wakati huo ni ujinga tuu inatumika kwa miji yenye haina barabara za kutosha kuondoa jam,,sasa kama Kisumu kuna interchange kibao,flyover za kutosha overpass na underpass za kuzidi,dual roads traffic lights za nini
Ni aibu jiji kama Dar limekosa miundombinu kama ya kisumu city yenye over 6 mln people,Tzn muachage uzwazwa na akili za ki ldc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…