Hilo halina hadhi ya international airport ni bora liwe jengo la kuuzia bidhaa kama soda na juice pamoja na sehemu ya kuuzia vibambala, hakuna kitu pale tulipigwa.Hahaaaa
Wameshazika pesa chini bora waliboreshe tu shughuli iendelee
ππHilo halina hadhi ya international airport ni bora liwe jengo la kuuzia bidhaa kama soda na juice pamoja na sehemu ya kuuzia vibambala, hakuna kitu pale tulipigwa.
Unplanned city, city kama vile village halina mpangilio kabisa, Urban settlement is very very poor.
Hakuna miundo mbinu bora ya barabara, hakuna landscaping, yaan ni zig zag tu, au mnapagawishwa na tuvigorofa uchwara ambato hatuna mpangilio mzuri, nawashauri muwe na plan nzuri ya jiji lenu muige mifano ya majiji mengine yalivyo hii kisumu is like a big villageπππ
Hakuna miundo mbinu bora ya barabara, hakuna landscaping, yaan ni zig zag tu, au mnapagawishwa na tuvigorofa uchwara ambato hatuna mpangilio mzuri, nawashauri muwe na plan nzuri ya jiji lenu muige mifano ya majiji mengine yalivyo hii kisumu is like a big villageπππ
Magorofa ndo yanakutoa ushamba, uzuri wa jiji sio magorofa, ebu angalia vizuri huo mji wenu ulivyo na poor urban settlemen, majiji bora huwa yanaongozwa na master plan, angalia nchi za scandinavia hazina magorofa marefu lakini mpangilio wa mji upo well organized.Kitombi, hebu cheki tu venye majumba kisumu vilivyo jengwa kiutaratibu hadi huku. kama ingekua mwanza, by the tyme unafika huku estates, yani bro huku sahizi ingekua uswazi mtupu!!. ptoh!!. matope tupu!
Hapo ni residential estate, yaani makazi ya watu, sio town kilaza, makazi ya Mwanza ya watu wa kawaida kama wewe ni hovyo.., yaani in kisumu estate is bigger na iko na magorofa mengi than your Mwanza town centre.., π π π π ., na hiyo sio ile ya watu matajiri kama akina Milimani, Mt. view., Riat etc..,Unplanned city, city kama vile village halina mpangilio kabisa, Urban settlement is very very poor.
Ebu weka Mwanza mitaani uone kituko kama ya Dar, poor looking housing zimetapakaa.., yaani mtanzania hafai kuongea ikija urban planning, mko hovyo nani π π π π π π π πMagorofa ndo yanakutoa ushamba, uzuri wa jiji sio magorofa, ebu angalia vizuri huo mji wenu ulivyo na poor urban settlemen, majiji bora huwa yanaongozwa na master plan, angalia nchi za scandinavia hazina magorofa marefu lakini mpangilio wa mji upo well organized.
Hawa watu nchi imejaa ufukara na wako na kiburi sana, hawaperndi ukweli, wakiona kizuri Kenya inawauma sana, lazima watafute pakuponda, wivu inawanyonga π π π π π π π πKitombi, hebu cheki tu venye majumba kisumu vilivyo jengwa kiutaratibu hadi huku. kama ingekua mwanza, by the tyme unafika huku estates, yani bro huku sahizi ingekua uswazi mtupu!!. ptoh!!. matope tupu!
Makazi ya hovyo mwanza yapo kwenye baadhi ya milima, lakini kwenye maeneo yote ambayo ni tambarare makazi yapo well planne and well organized, ni vigumu kuwapanga watu milimani.Ebu weka Mwanza mitaani uone kituko kama ya Dar, poor looking housing zimetapakaa.., yaani mtanzania hafai kuongea ikija urban planning, mko hovyo nani π π π π π π π π
Mwanza alone ina vessels nyingi kuliko Kunyaland nzima!
pia ndo nimegundua tu ivo, yani hio ni tabia ya waTz karibu wote. they can never give a credit where its due. they must! just get a reazon to criticise somethng, however perfect it could beHawa watu nchi imejaa ufukara na wako na kiburi sana, hawaperndi ukweli, wakiona kizuri Kenya inawauma sana, lazima watafute pakuponda, wivu inawanyonga π π π π π π π π