Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Hilo halina hadhi ya international airport ni bora liwe jengo la kuuzia bidhaa kama soda na juice pamoja na sehemu ya kuuzia vibambala, hakuna kitu pale tulipigwa.Hahaaaa
Wameshazika pesa chini bora waliboreshe tu shughuli iendelee