Subutu..wakileta nitagMwanza na hizo takataka zingine huwezi linganisha na Kisumu. Waambie wakuonyeshe Skyline na barabara za Mwanza uone miujaza.
Siku Mwanza itafika hapa tag me[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]View attachment 1268827View attachment 1268831View attachment 1268833View attachment 1268834View attachment 1268837
Yani nimecheka sana[emoji1787][emoji1787]
Hapo nilichomaanisha kiko wazi.....nimesema hivyo kumaanisha zile zinazotoka nchi mbalimbali....mmeona hapo ndo pakukazia ili mdeviate kwenye ukweli[emoji3]...hiyo hoja hamjaipinga..,inaonekana kuna ukweli hivi..etiWhat are "international planes"? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hizi zimetengenzwa aje?
Subutu=ThubutuSubutu..wakileta nitag
Okay Mr. "international planes". Just in case you didn't know, AirKenya has direct flights between kisumu and Entebe. I hope that's also "international planes" 😂 😂Hapo nilichomaanisha kiko wazi.....nimesema hivyo kumaanisha zile zinazotoka nchi mbalimbali....mmeona hapo ndo pakukazia ili mdeviate kwenye ukweli[emoji3]...hiyo hoja hamjaipinga..,inaonekana kuna ukweli hivi..eti
Also kuna direct flights kati ya Mwanza na Nairobi...tofauti ipo wapi hapo...au labda niulize kwa kiswahili,hivi kuna ndege yoyote kubwa ya kimataifa kama QA imewahi fanya kazi uwanja wa ndege wa kisumu?Okay Mr. "international planes". Just in case you didn't know, AirKenya has direct flights between kisumu and Entebe. I hope that's also "international planes" [emoji23] [emoji23]
So ni lazima iwe QA ndio iwe international?Also kuna direct flights kati ya Mwanza na Nairobi...tofauti ipo wapi hapo...au labda niulize kwa kiswahili,hivi kuna ndege yoyote kubwa ya kimataifa kama QA imewahi fanya kazi uwanja wa ndege wa kisumu?
Ni flights gani hizo hutoka Nairobi to Mwanza? Ju hata ndege zenu Bado Nairobi hazifiki na bado zinahangaika kufika Kampala.Also kuna direct flights kati ya Mwanza na Nairobi...tofauti ipo wapi hapo...au labda niulize kwa kiswahili,hivi kuna ndege yoyote kubwa ya kimataifa kama QA imewahi fanya kazi uwanja wa ndege wa kisumu?
Ni flights gani hizo hutoka Nairobi to Mwanza? Ju hata ndege zenu Bado Nairobi hazifiki na bado zinahangaika kufika Kampala.
Then Nataka utuletee areal view ya Mwanza we compare the residential zones of the two Cities.
#Kisumu City [emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]View attachment 1269416View attachment 1269417
Sa hatuna tofauti kumbe[emoji3][emoji3]So ni lazima iwe QA ndio iwe international?
Hii ni ya usikuNi flights gani hizo hutoka Nairobi to Mwanza? Ju hata ndege zenu Bado Nairobi hazifiki na bado zinahangaika kufika Kampala.
Then Nataka utuletee areal view ya Mwanza we compare the residential zones of the two Cities.
#Kisumu City [emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]View attachment 1269416View attachment 1269417
What do you mean?Subutu=Thubutu
Leta aerial view wewe, au hujaelewaView attachment 1269428View attachment 1269429Precision Air Mwanza to Nairobi flights, book your tickets at discounted rates on Cleartrip
Book Precision Airline Flight Ticket From Mwanza to Nairobi, on Cleartrip and Enjoy instant cashback upto ₹15000. Fast and secure bookings with easy EMI Options.www.cleartrip.com
Residents zipo back ground nikipata picha nzur ntaweka
So what? That space was taken by Tuskys long time ago. They now have two branches in kisumu with plans to open a third one at Lakeside Basin Mall. Unasumbuka kweliStruggling Nakumatt closes its Kisumu branch
Employees of Nakumatt Mega City in Kisumu arrived for work Thursday only to be met with the devastating news via a notice that the outlet had shut down.www.businessdailyafrica.com
Kwani Umesahau kwamba mtanzania na aerial view ni kama maji na mafuta?Leta aerial view wewe, au hujaelewa
Ku divert nn wakati umechemsha,Hapo nilichomaanisha kiko wazi.....nimesema hivyo kumaanisha zile zinazotoka nchi mbalimbali....mmeona hapo ndo pakukazia ili mdeviate kwenye ukweli[emoji3]...hiyo hoja hamjaipinga..,inaonekana kuna ukweli hivi..eti
Kabisa...Kwani Umesahau kwamba mtanzania na aerial view ni kama maji na mafuta?
Eeeh si kama ya KisumuKu divert nn wakati umechemsha,
Unajua maana ya international airport kwanza?
Kwan yake ni Aerial ama oblique?Leta aerial view wewe, au hujaelewa