Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Hahaha...... Za uso umempa...Ila Teargass naona unahara leo
TAMALE RUNWAY GHANA imehamia Kunyaland
View attachment 1292655
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mkuu sometimes mnatuwekeaga data za uwongoππππ.....kubalianeni na uhalisia.... Msijikweze..Mambo ya Kisumu huyawezi so keep quiet.
View attachment 1292629
Kama vile traffic lights huko Kisumu!
Dar es salaam Mkipata barabara Kama za Kisumu njoo tujadili mambo ya traffic lights.Wekeni kwanza traffic lights za kutosha Kisumu!
Ndege yenu iliokamatwa iliregeshwa?
Hivi runway lights za Kisumu airport zimepona?
Naxvegas254 Kafrican Depay Zigi Rizla n Edward Wanjala
Kumbe hili jambo ni kweli....traffic lights..... Kwa hiyo matrafiki wenu wanasimama kila junction kuongoza magari...π«Dar es salaam Mkipata barabara Kama za Kisumu njoo tujadili mambo ya traffic lights.
Ila Teargass naona unahara leo
TAMALE RUNWAY GHANA imehamia Kunyaland
View attachment 1292655
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrs Bagamoyobado unakazana tu.β¦.Fact remains Mwanza is a baby compared to Kisumu city.....Jengeni miji acha utoyoyoNdege yenu iliokamatwa iliregeshwa?
Ni Kama mlevi vile hujisifu Yuko na pesa lakini wapi Hana kitu.Mrs Bagamoyobado unakazana tu.β¦.Fact remains Mwanza is a baby compared to Kisumu city.....Jengeni miji acha utoyoyo
Ndio nikamwambia mwenzako Dar es salaam ikifikia hadhi ya barabara za Kisumu aje tujadili traffic lights. Si unaona hajanijibu Hadi Sasa...Sindano ilimwingia vizuri.Kumbe hili jambo ni kweli....traffic lights..... Kwa hiyo matrafiki wenu wanasimama kila junction kuongoza magari...π«
The projects Mwanza alone has launched can not be found in the whole of Kenya! I mean it nowhere to be seen in the whole of Kenya;Ni Kama mlevi vile hujisifu Yuko na pesa lakini wapi Hana kitu.
If Launching projects was to be considered development then you guys beat Kenya long time ago eg Bagamoyo πππThe projects Mwanza alone has launched can not be found in the whole of Kenya! I mean it nowhere to be seen in the whole of Kenya;
Miradi Mwanza
BTW JPM kazindua miradi ya zaidi ya Tshs 800 bln ila ukijumlisha miradi ya upanuzi wa hospitali mbili Seko Toure na ya wilaya ya Nyamagana iliyozinduliwa na Rais Shein na Makamo wa Rais Mama Samia na ule wa Waziri Mkuu Majaliwa wa uwanja wa ndege (cargo, passengers terminals plus runway extension) JPM na serikali yake imezindua miradi isiyopungua $500 mln Mwanza alone! Hapo miradi ya Hospitali ya Mara Kwangwa na ya wilaya ya Chato haijaguswa. Ule uwanja wa Chato pia haujaguswa!
Mwananyamala ,vingunguti ni dar.taja slums Za mwanza. Unaonekana huijui mwanza ata kidogoWhat we call slums are what you call dream houses That's where the difference is. Hiyo manyatta anayosena ni slum huwezilinganisha na Mwananyamala or Vungunguti, your middle income estates