Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 921
- 937
Angalia hapoDuh!!jiji lina mpka rais, tena huaga anapigiwa kura...
Jiji lina ofisi zake za uhamiaji..
Chenga hizi walai
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo ramani tu binadamu kaweka...lkn kiukwel zanzibar ni nchi iliyoungana na tanganyika.View attachment 1300437
Angalia hapo
Zanzibar ni city, halafu hyo hyo zanzibar city iko na city yake(stone town)[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zanzibar inajumuisha visiwa viwili Unguja na Pemba, sasa na wewe tafuta huko ujue either Zanzibar city iko Unguja au Pemba! na ndio mji uliobeba jina la muunganiko wa hivyo visiwa viwili, inaonekana walimu wako walipata tabu sana
Tanzania ni muungano wa Tanganyika, Unguja na Pemba,Hyo ramani tu binadamu kaweka...lkn kiukwel zanzibar ni nchi iliyoungana na tanganyika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha! ndio nakuambia walimu wako walipata tabu sana nahisi kuku fundisha 👉1+1=2,maana naona kama ulikuwa una lazimisha iwe 👉1+1=11Zanzibar ni city, halafu hyo hyo zanzibar city iko na city yake(stone town)[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapingana na maandiko ee😱😬😬Hyo ramani tu binadamu kaweka...lkn kiukwel zanzibar ni nchi iliyoungana na tanganyika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maandiko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukwel haufutiki banaUnapingana na maandiko ee[emoji33][emoji51][emoji51]
Hebu nifundishe kidogo,
Hahaha! ndio nakuambia walimu wako walipata tabu sana nahisi kuku fundisha [emoji117]1+1=2,maana naona kama ulikuwa una lazimisha iwe [emoji117]1+1=11
Mbna unataka kupindisha mambo bana[emoji1787][emoji1787]Tanzania ni muungano wa Tanganyika, Unguja na Pemba,
Ishia hapo hapo, swala la Zanzibar +Tanganyika =Tanzania ni gumu sana kwakoHebu nifundishe kidogo,
Mbna cecafa sikuona timu inayojiita mwanza(city) lkn zanzibar "city" ilikuwepo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya tumalize kwa kusema hivi, ukichukua 1+1=2 ndio maana Zanzibar +Tanganyika =Tanzania (zanzibar, tanganyika)Mbna unataka kupindisha mambo bana[emoji1787][emoji1787]
Ukweli mjungu, ndio manake wa zenji wanapinga muungano kw sababu munawafanyia figisu figisu...wapeni nchi yao bana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana hata ndoa nayo ni, woman +man =ndoa (mke na mme)
Ishia hapo hapo, swala la Zanzibar +Tanganyika =Tanzania ni gumu sana kwako
Naona umekua mnyonge kwelHaya tumalize kwa kusema hivi, ukichukua 1+1=2 ndio maana Zanzibar +Tanganyika =Tanzania (zanzibar, tanganyika)
Assembly plants zinakaa hivyo sio? kama garage?
Those are things that Mwanza are just dreaming of.Assembly plants zinakaa hivyo sio? kama garage?
Wacha ushagoo assembly plant haikai hivyo!