Zigi Rizla
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 1,064
- 1,107
Kama dunia huchukuliwa yote kwa picha moja kwani Mwanza ni kubwa kiasi cha Jupiter?Unalazimisha kupingana na nature!! uje upige mwenyewe picha ya Mwanza CBD then cover sehemu zote na tuone clear images [emoji3][emoji41][emoji41]
Mkurupukaji mwingine huyu, kwa hiyo dunia inapochukuliwa kwenye picha moja huwa unaona vitu duniani clearly? i. e nyumba, etc au hujawahi kutumia Google Earth!! use your common sense bwana wengine mnachosha mbona mwenzenu Komora096 anajielewa 😇😬Kama dunia huchukuliwa yote kwa picha moja kwani Mwanza iko Jupiter.
Ghasia stop glorifying your 2nd largest fishing village[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie atuletee kuna nanga mmoja anajiita Zigi zaga 😂😂😂😂Mfano mzuri tu mwambie akuletee picha ya rockcity mall halafu hapohapo yaonekane maghorofa yale ya city center....
Tupe picha kutoka angle zote,tuseme nne zikionyesha majengo tofauti tofauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unalazimisha kupingana na nature!! uje upige mwenyewe picha ya Mwanza CBD then cover sehemu zote na tuone clear images [emoji3][emoji41][emoji41]
Mfano ebu tuletee picha ya Nairobi CBD usiache hata kona mojaKama dunia huchukuliwa yote kwa picha moja kwani Mwanza iko Jupiter.
Ghasia stop glorifying your 2nd largest fishing village[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta angle km nne tofauti zikionyesha cbd yenu..Mfano mzuri tu mwambie akuletee picha ya rockcity mall halafu hapohapo yaonekane maghorofa yale ya city center....
Mbona unaogopa kuni quote, au wewe zile aerial photos za jana zimeshakutia kiwewe...Hajawahi fika hata sehemu mojawapo kati ya hizo...... Hapo ni kama unapika mawe...
Km vile mbeya city[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uwage tu muelewa sometime, [emoji23]out of Nairobi inayoweza pambana na Mwanza ni Mombasa pekee!! Sio vile vijiji vyenye ghorofa nne vikapewa na hadhi ya jiji [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ni hivi, ukiwa upande wa mwanza south ukachukua picha ya CBD hutayaona maeneo yanayofuata ukitoka Sahara, ukichukua picha kutokea Lango Lango Sahara hutapaona, ukichukulia kutokea ziwani kamanga poster na Sahara hazitaonekana wala Nera hivyo hivyo kila kona utakayoenda tatizo milimaTupe picha kutoka angle zote,tuseme nne zikionyesha majengo tofauti tofauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂ndio na wewe usiwe mbishi
Sehemu zingine zinapewa hadhi ya jiji sababu tu kuna population kubwa the same case goes to Kisumu and Mbeya, Kisumu ina population kubwa if I'm not mistaken!
We endelea kutapatapa kama bata. Huna hojaMkurupukaji mwingine huyu, kwa hiyo dunia inapochukuliwa kwenye picha moja huwa unaona vitu duniani clearly? i. e nyumba, etc au hujawahi kutumia Google Earth!! use your common sense bwana wengine mnachosha mbona mwenzenu Komora096 anajielewa [emoji56][emoji51]
Kisumu haina population kubwa, labda tuseme mwanzaSehemu zingine zinapewa hadhi ya jiji sababu tu kuna population kubwa the same case goes to Kisumu and Mbeya, Kisumu ina population kubwa if I'm not mistaken!
Picha ziko uzi wa Dar vs Nai.Mfano ebu tuletee picha ya Nairobi CBD usiache hata kona moja
Mbeya bana[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndio na wewe usiwe mbishi
Naomba hizo picha basi mkuuHapo ni hivi, ukiwa upande wa mwanza south ukachukua picha ya CBD hutayaona maeneo yanayofuata ukitoka Sahara, ukichukua picha kutokea Lango Lango Sahara hutapaona, ukichukulia kutokea ziwani kamanga poster na Sahara hazitaonekana wala Nera hivyo hivyo kila kona utakayoenda tatizo milima
Sijaona kule picha ya Nairobi inayocover area yote ya CBD, (old cbd +upper Hill +Kilimani +etc) but zipo zinazo cover more than 3/4 ya Dar CBD na ninazani kwa sababu Dar CBD iko bondeni kama ilivyo Mombasa ko ni rahisi kupata oblique photo inayo chukua karibu eneo lote la CBD ndugu!!Picha ziko uzi wa Dar vs Nai.
Yani ata kuangalia kitu kwa hii hii forum ni shida? No wonder literacy iko chini bongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Your reasoning is wanting. Take books and read it might help you. GoodbyeSijaona kule picha ya Nairobi inayocover area yote ya CBD, (old cbd +upper Hill +Kilimani +etc) but zipo zinazo cover more than 3/4 ya Dar CBD na ninazani kwa sababu Dar CBD iko bondeni kama ilivyo Mombasa ko ni rahisi kupata oblique photo inayo chukua karibu eneo lote la CBD ndugu!!
Kwa sasa Kisumu population yake sio 1.2 millions?