Kisumu vs Mwanza

So many ndio nini weka hapa tuone sio kupayuka tu..Mwanza hakuna vyuo vingi kupita Arusha na Dar Ndio maana unatapatapa tuu hapa
 
Naona unajitekenya...bwahahaaa..ukwel ni mwanza kuna university mbili pekeake..malls pia ni mbili...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tena hzo university si za serikali...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nyie hata universities hamna....mna vibanda vya kusomea......eti GLUK rank 44 country wise ndo unaringanisha na vyuo vyetu...bwaaaah![emoji3][emoji3] this is cheating...
 
Yani jiji la pili kubwa tanzania lina chkazwa na jiji kubwa la tatu kenya...kwel tanzania ni ldc[emoji1784][emoji1784][emoji1784]
Nyie hata universities hamna....mna vibanda vya kusomea......eti GLUK rank 44 country wise ndo unaringanisha na vyuo vyetu...bwaaaah![emoji3][emoji3] this is cheating...
 
Ndio hivyo kila mwaka ina rank za juu za umaskini huko Tzn sasa hata mall zikijengwa watanunua akina nanj
We kumbe mjinga kwelikweli.....huelewi.... Kuna tofauti kati ya Mwanza region na mwanza jiji upo hapo...... Ndiyo maana dar city ni kubwa kuliko mwanza city but mwanza kama mkoa ni kubwa kuliko mkoa wa dar.....hakika kama umasikini ungetengwa kiwilaya,wilaya ya nyamagana ingepitwa na wilaya tu moja ya ilala.....njoo huku nyamagana ama ilemela unioneshe hao masikini unaowasemea......tatizo lenu nyie mnajikuta mnajua mno kuliko ss wenyeji..... Yaani kubishana na mtu anayejikuta anaelewa jambo wakati halijui ni upumbavu.....ngoja niwaache sababu ninyi mnajua kuliko sisi.....
 
Yani jiji la pili kubwa tanzania lina chkazwa na jiji kubwa la tatu kenya...kwel tanzania ni ldc[emoji1784][emoji1784][emoji1784]
Wewe kunguru toka nianze kubishana na ww nimeona huna akili nzuri.....upo kishabiki sana ww Dada kuliko uhalisia...unajikuta mjanja sana kumbe ni mpumbavu fulani hivi zwazwa zwazwa....tumekupiga kwenye vyuo na vyuo vikuu umehamia kwenye malls,tuna mall kubwa na bora kuliko yenu...halafu conclusion unatoa ya kijinga kama hapo juu....ninyi tumewazidi sekta nyingi hata ya afya.....endeleeni kujisifia na international airport yenu ambayo haijaguswa na international plane yoyote(I.A for nothing).
 
Naona unajitekenya...bwahahaaa..ukwel ni mwanza kuna university mbili pekeake..malls pia ni mbili...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena hzo university si za serikali...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
University yako ya serikali ni IPI..
 
Kawaida ya ccm...ukizidiwa hoja unaanza matusi...km ni malls rock city imepigwa chini na lake basin mall..tunataka data..wala hatutaki maneno ya kukaririshwa majukwaani...
 
Naskia wasukuma kila weekend huenda mtoko rock city mall ili kushambika na vioo...

Ndio manake mji wenywe unashindwa hta na eldoret town
Ndio hivyo kila mwaka ina rank za juu za umaskini huko Tzn sasa hata mall zikijengwa watanunua akina nanj
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Tuletee ya mwanza ya serikali tuione[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haijalishi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…