Kisumu vs Mwanza

TE="The great jay, post: 34042406, member: 447847"]
mwaka jana iliongoza iringa yani always anayeongoza n iringa au moshi afu arusha wa pili ila b4 2012 sijui nani alikuwa wp ila kuendelea 2012 ni iringa au moshi wa pili ni arusha

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Iringa sio jiji mzee baba
 
Kwa hiyo wakivisit celebrities ndo nn yaani... Ndo bora kuliko zote Tanzania au...Au labda hao celebrities wamefunga safari kutoka US kuja kusafisha macho hapo..
Maana yake kuna hospitality facilities za kuwa-accomodate unafikiria Beckham analala 4 star hotel? Au anakula restaurants za kawaida? Mshikaji hii fani kwa Mwanza bado sana! Get a 5 star hotel kwanza then utajua the use of things like culture heritage center!
 
Dah eti get a 5 star hotel first... Umeamua kuwaundermine wana mwanza bhana
Halafu hili battle halina umuhimu wowote ndani ya huu Uzi...let this be the last comment of this kind.. Anayetaka kujionea atatembelea miji yote miwili.. Tuendelee na mada hewani...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kusema Mwanza Hakuna five star hotel? 🙊
 
Umeelewa nn hizo hoteli hapo! Mwanza haina 5 star hotel kama picha inavYoon yesha!
 
Dah Geza hizo nyota si zinatokana na watu wanavyorate na reviews... Kuna wengine wataipa excellent..,wengine very good nk...Angalia tena hiyo screenshot yangu utaona average rating ilikuwa 4.5 hata yako pia... Kwan we hujawahi kutumia kitu wakakuambia ukirate;apps, huduma nk....hivyo hizo nyota hazina uhusiano sana.... Malaika ni five star jomba... Hata hapo juu wamekuonyesha... Au leta current data inayosema malaika ni four star...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…