Zigi Rizla
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 1,064
- 1,107
Roberto 20 is so dumb, he believes estates can only be built by organisations. Thats poverty mentality.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The guy is super stupid.Roberto 20 is so dumb, he believes estates can only be built by organisations. Thats poverty mentality.
Sent using Jamii Forums mobile app
Define estate you super genius...
Define itRoberto 20 is so dumb, he believes estates can only be built by organisations. Thats poverty mentality.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwn kw estates watu huaga hawamiliki hzo nyumba...Leta nyumba za watu binafsi ww.... Kwan yy kakuletea estates..
Wacha kupagawa na roofing jomba, hyo inaendana na mipango hapoHizo nyumba ni za mashirika....halafu ww ukatuitia hizi nyumba zetu za huku tulizojenga slums...leta hizo zenu ambazo sio slums....sababu hata ss za mashirika tushaweka humu...
Kenya kuna maeneo hta km kiwanja ni chako unapangiwa, huwezi jijengea tu unayotaka..Kumbe estates zinajengwa na individuals na si organizations...
Hilo suala lipo kwenye miji na majiji yote....huwezi jenga mbavu za mbwa mjini kati...Kenya kuna maeneo hta km kiwanja ni chako unapangiwa, huwezi jijengea tu unayotaka..
Na km hutaki uzia mwenywe uwezo ajenge kitu cha mana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumiliki wanamiliki.... Hata bongo,watumishi housing wanajenga nyumba zao na kuuza...Kwn kw estates watu huaga hawamiliki hzo nyumba...
Unafikiria hzo ni nyumba za NHC tanzania unakodi tu mwanzo mwisho...
Hku ukijiskia unainunua kabisa na inakua ya kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya kuna estates kibao kila mtu kajijengea, mfano km nyali..Kumiliki wanamiliki.... Hata bongo,watumishi housing wanajenga nyumba zao na kuuza...
Lakini hizi nyumba zinajengwa na mashirika au kampuni za watu binafsi...halafu baadaye wanazipangisha au kuziuza kwa watu.... Japo hao ndugu zako wanabisha kana kwamba mi mgeni kwenye hili....
Wacha mjini kati, huku kuna mpaka mitaa huwezi jenga kitandale tandaleHilo suala lipo kwenye miji na majiji yote....huwezi jenga mbavu za mbwa mjini kati...
Hata huku pia kuna mitaa huwezi jenga vibanda vya kibera....Wacha mjini kati, huku kuna mpaka mitaa huwezi jenga kitandale tandale
Sent using Jamii Forums mobile app
If it is so,mwanza inazo za kutoshaKenya kuna estates kibao kila mtu kajijengea, mfano km nyali..
Hku sio lazima mashirika au serikali ndio eti estate iwepo...kw mfano:
Angalia sehemu km utange(bamburi) zamani kulikua ni msitu lkn kw sasa jamaa wamepanunua na kupaendeleza hku makampuni nayo pia hayakusazwaView attachment 1305839View attachment 1305840View attachment 1305841View attachment 1305842View attachment 1305844View attachment 1305845
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol kwao hata slums ni estates ilimradi tu ipitiwe na barabaraIf it is so,mwanza inazo za kutosha
Hahaha unaambiwa wana estates mji mzima...Lol kwao hata slums ni estates ilimradi tu ipitiwe na barabara
Wanayo definition yao pekee ya estate
Another dunder headLol kwao hata slums ni estates ilimradi tu ipitiwe na barabara
Wanayo definition yao pekee ya estate
A wapi...Hata huku pia kuna mitaa huwezi jenga vibanda vya kibera....
Karibu jomba..naona umekuja ku comment utumbo tuLol kwao hata slums ni estates ilimradi tu ipitiwe na barabara
Wanayo definition yao pekee ya estate
Kenya ukitoka slums huwez kuta makaazi mabovu, ndio manake watanzania wakija kenya hukimbilia kupiga picha slums...Hahaha unaambiwa wana estates mji mzima...
Hizi sera hazifanyi kazi sehemu zote ndani ya jiji....hata Nairobi,Mombasa,kisumu kuna maeneo watu wananunua kiwanja wanajenga watakavyo...A wapi...
Km dar nzima inakaa kabul, kila mtu akinunua kiwanja anajenga atakavyo
Sent using Jamii Forums mobile app