Arnold mrass cannambo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 4,067
- 2,640
Mamboleo kisumu City
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi figisu zilianza toka mwezi wa sita ili jengo walilisimamisha, et limekabiliwa na ufisadi pia usanifu wake haujakidhi viwango vya kimataifa, sasa walikuwa wapi kuzuia toka mwanzo?Zime anza porojo tena
Huoni cha maana kwenye kinachozungumzwa? Yaani unajenga airport bila ya ushauri wa engineer wa TAA! Too risky!Zime anza porojo tena
Mkuu kwani wakati wanaanza ujenzi na usanifu wa hilo jengo hao TAA walikuwa wamelala usingiz gizani bila mwanga wa taa.Huoni cha maana kwenye kinachozungumzwa? Yaani unajenga airport bila ya ushauri wa engineer wa TAA! Too risky!
Hapo ndo shida inapoanzia watu wanashindwa kua accountable na wanachokifanyaHizi figisu zilianza toka mwezi wa sita ili jengo walilisimamisha, et limekabiliwa na ufisadi pia usanifu wake haujakidhi viwango vya kimataifa, sasa walikuwa wapi kuzuia toka mwanzo?
Unajua utemi wa Ngosha kaamua kuwapa Wasukuma wenzie ulaji! Katoa mradi chini ya usimamizi wa TAA kapeleka kwa Halmashauri!Mkuu kwani wakati wanaanza ujenzi na usanifu wa hilo jengo hao TAA walikuwa wamelala usingiz gizani bila mwanga wa taa.
Hiv ndo vitu ambavyo hatuvitakiMkuu kwani wakati wanaanza ujenzi na usanifu wa hilo jengo hao TAA walikuwa wamelala usingiz gizani bila mwanga wa taa.
Haya basi huyo engineer wa TAA ameshakuja site?Unajua utemi wa Ngosha kaamua kuwapa Wasukuma wenzie ulaji!
sikiliza maelezo ya Mbarawa kasema lazma usimamizi wa mtu wa TAA uwepo!Haya basi huyo engineer wa TAA ameshakuja site?
Hilo ndo lilikuwa tatizo, naye hayati alikuwa na mapungufu yake japo tulimpenda, ilo jengo ata architecture yake sio nzuri ni kama godown fulani hivi.Unajua utemi wa Ngosha kaamua kuwapa Wasukuma wenzie ulaji! Katoa mradi chini ya usimamizi wa TAA kapeleka kwa Halmashauri!
it was too risky linaweza kuja kukataliwa na ICAO kuruhusu international flights! maana hufuata specifications!Hilo ndo lilikuwa tatizo, naye hayati alikuwa na mapungufu yake japo tulimpenda, ilo jengo ata architecture yake sio nzuri ni kama godown fulani hivi.
Aje wapi hapo kuna figisu, hujuma, roho mbaya na roho ya kwanini ukiachilia mbali ufisadi.Haya basi huyo engineer wa TAA ameshakuja site?
HahaaaaAje wapi hapo kuna figisu, hujuma, roho mbaya na roho ya kwanini ukiachilia mbali ufisadi.