Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Inawezekana kisungura ikawa ni gongo Ile wanatuficha tu ....Jana nimekikataa kisungura nikamix na energy kwanza nilikosa usingizi nilihangaika Sana kitandani wakti mda huo tumbo linauma sana...
Naishauri serikali waondoe kisungura,cuca na double kick kwa sababu baada ya miaka 25 vijana watakuwa na matatizo ya Figo.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Naishauri serikali waondoe kisungura,cuca na double kick kwa sababu baada ya miaka 25 vijana watakuwa na matatizo ya Figo.
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app