KiuyaJibu JF-Expert Member Joined Aug 29, 2007 Posts 848 Reaction score 191 Nov 18, 2020 #201 Mkuu Maxence Melo nakutakia kila la kheri kwenye kila hatua unayoichukua katika kusimamia mambo ya msingi yenye tija kwako, jamii na Taifa kwa ujumla.
Mkuu Maxence Melo nakutakia kila la kheri kwenye kila hatua unayoichukua katika kusimamia mambo ya msingi yenye tija kwako, jamii na Taifa kwa ujumla.
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Sep 19, 2021 #203 Sijui ya lini? Ila hiyo serikali imeona wake wawili ndio changamoto kubwa kwa wananchi wake au?
mugah di matheo JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 6,307 Reaction score 12,410 Sep 19, 2021 #204 Ile siku Mexence melo anahukumiwa na mahakama ya kisutu
L Latvia JF-Expert Member Joined May 2, 2019 Posts 629 Reaction score 4,512 Sep 19, 2021 #205 Mad Max said: Sijui ya lini? Ila hiyo serikali imeona wake wawili ndio changamoto kubwa kwa wananchi wake au? Click to expand... Hahahaha.. Mkuu ukisema ufatilie mambo ya hii nchi unaweza ugua kichaa.
Mad Max said: Sijui ya lini? Ila hiyo serikali imeona wake wawili ndio changamoto kubwa kwa wananchi wake au? Click to expand... Hahahaha.. Mkuu ukisema ufatilie mambo ya hii nchi unaweza ugua kichaa.
L Latvia JF-Expert Member Joined May 2, 2019 Posts 629 Reaction score 4,512 Sep 19, 2021 #206 mugah di matheo said: Ile siku Mexence melo anahukumiwa na mahakama ya kisutu Click to expand... Ahsante kwa kunijuza.
mugah di matheo said: Ile siku Mexence melo anahukumiwa na mahakama ya kisutu Click to expand... Ahsante kwa kunijuza.