Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Mungu yupo nami , sio KWA mapenzi yangu ,ila yeye Alie niita, sio mchungaji ,Sina kanisa,ila amekua mwaminifu kwangu siku zote, so I speek with confidence maana kabla hamjatenda nayaona ,mnaelekea shimimoni, asema BWANA ,
nani anaelekea shimoni sasa, manake unavyoongea utafikiri mimi ni polisi au mahakama. kwani mimi ndio nimemkamata? sisi sote tumeambiwa ana makosa na kapelekwa mahakamani, sasa mambo yako ya kuaguaagua hayo peleka kwa manabii wa mafuta na chumvi na kwa waganga wa kienyeji. mtoe basi gerezani.
 
Chadema kupitia wakili koko Lisu makamu mwenyekiti wa Chadema si mlijifanya hamtatoa ushirikiano wala kuweka wakili mlikuwa mnamtishia nyau Nani? wakili wa nini tena? Mumeudharau ushauri wa mwanasheria koko Lisu? Aliyetoa tamko rasmi la Chadema?
 
Sawa hata aliposhwa sumu magufuli kama anavyodai Veronika france nchi imetulia sana
 
Sijasema hakuna hizo remedies ila nimezungumzia utekelezaji wake hayo maneno ya kilatini sio utekelezaji na wewe unaonekane ndio walewale tu
unajua maana zake, unajua kama mtu amewekwa polisi zaidi ya muda husika unaweza kwenda mahakamani kuwalazimisha wamtoe au wammpeleke mahakamani? haujaona kibatala na wenzake wamefanya hivyo mwaka jana, unajua unachoongea? ndo maana nikakurahisishia kwamba nenda kwa mwanasheria yeyote akufafanulie, kila kitu kwenye sheria zetu kina remedy, hatujaanza kuishi leo.
 
Ukamatwaji wa Magaidi ndiyo upo hivyo, na ashukuru nchi yetu imestaarabika, nchi nyingine order ingekuwa ni "Shoot to kill", no mambo ya mahakama.
We jamaa hauko sawa unazungumzia vitu ambavyo ukiambiwa uprove huo ugaidi utatoa macho
 
Chadema kupitia wakili koko Lisu makamu mwenyekiti wa Chadema si mlijifanya hamtatoa ushirikiano wala kuweka wakili mlikuwa mnamtishia nyau Nani wakili wa nini tena? Mumeudharau ushauri wa mwanasheria koko Lisu?
Tundu alisema hawatawawekea dhamana, na hawatafanya chochote, sasahivi wanalialia kwamba wamenyimwa wakili. wakati anaongea hayo, tundu alikuwa ubelgiji kashika glass ya wine, wenzake wanakula ugali wa mhogo huku bongo. cdm sijuii nani kawaloga.
 
Ingie barabarani kama kweli mna uchungu na Mbowe kazi kijificha Twitter na JF kupiga porojo tu, Chadema kimeishatekwa na wanaharakati uchwara wanakutana space huko Twitter kazi kusifiana huku mitaa kwenye battle wanakimbia, wamebakia kulia lia.
 
Ingie barabarani kama kweli mna uchungu na Mbowe kazi kijificha Twitter na JF kupiga porojo tu, Chadema kimeishatekwa na wanaharakati uchwara wanakutana space huko Twitter kazi kusifiana huku mitaa kwenye battle wanakimbia, wamebakia kulia lia.
ubavu huo hawana, walifikiri jpm amekufa hivyo ngoja wavuruge kabisa hii nchi imegeke ili wapate madaraka. wako tayari kushirikiana ata na maadui wa tz alimradi wapate madaraka.
 
Mwanadamu kaumbwa, na mapungufu mengi , mbona hata wewe ulipo sio msafi? ILA PAKAZIA WATU UGAIDI sio sawa , hata SSH RAIS ,nani kasema Hana mapungufu Kama binadam,? Nasema Kama kweli yupo mtakipata mkitafutacho , binadam mwajitoa ufaham hapa sio kwetu ,vyeo ,madaraka ni nya mda tu, kutengenezee kesho YAKO maana hatujui Kama tuendako Kuna misumali ya moto ,miba n.k ,japo binafsi najua , masikio yangu toweka hapa najua ,KWA njia gani najua,acheni upumbavu
 
Sijakukatalia hayo yote ninacho sema kuwa hizo remedies zipo ila kwa Tanzania zinatekelezwaje ie angalia kesi ya Mbowe unajua kwanini wamempa kesi ya ugaidi? Simply ili asipate hizo remedies
 
Hiki cheo kimewekwa lini taarifa hizi zilipaswa kutolewa na katibu mkuu
 
Mama anataka ku-practice ya mwenda zake haya yetu macho ila katika hili serikali inaenda kuaibika huyo jamaa hamtamfunga kwa kesi ya kitoto kama hiyo.
 
Upo sawa mkuu KATIBA INAKUJA NA HAKUNA WA KUZUIA ningesema Mara nyingi wi confidence, maana najua who iam in connection with my Lord, kakuna wakuzuia ,wanajidanganya tu , tz ni nchi ya Mungu, na kawaumba watz KWA mfano wake, twende tu
Acha ujinga wewe jamaa na huyo Mungu wako uliyeletewa na wazungu, huyo Lord wako unayesema katengenezwa na waroma, wakamvesha na jua kichwani ili waendelee kuabudu jua lao juu ya kichwa cha huyo lord wako
 
Marinda ya dj gaidi huenda yakatatuliwa na nyampara huko segedance! 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…