Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
nani anaelekea shimoni sasa, manake unavyoongea utafikiri mimi ni polisi au mahakama. kwani mimi ndio nimemkamata? sisi sote tumeambiwa ana makosa na kapelekwa mahakamani, sasa mambo yako ya kuaguaagua hayo peleka kwa manabii wa mafuta na chumvi na kwa waganga wa kienyeji. mtoe basi gerezani.Mungu yupo nami , sio KWA mapenzi yangu ,ila yeye Alie niita, sio mchungaji ,Sina kanisa,ila amekua mwaminifu kwangu siku zote, so I speek with confidence maana kabla hamjatenda nayaona ,mnaelekea shimimoni, asema BWANA ,
Sawa hata aliposhwa sumu magufuli kama anavyodai Veronika france nchi imetulia sanaNchi haiwezi chafuka kwa ajili ya Mbowe or CDM, kuna sababu za kuchafua nchi ila siyo hao matapeli wa kisiasa, alitandikwa risasi Lissu na nchi ilisonga mbele sembuse kushtakiwa kwa Mbowe? Maandamano ya kushinikiza Mbowe aachiwe ni lini na wapi kamanda?
unajua maana zake, unajua kama mtu amewekwa polisi zaidi ya muda husika unaweza kwenda mahakamani kuwalazimisha wamtoe au wammpeleke mahakamani? haujaona kibatala na wenzake wamefanya hivyo mwaka jana, unajua unachoongea? ndo maana nikakurahisishia kwamba nenda kwa mwanasheria yeyote akufafanulie, kila kitu kwenye sheria zetu kina remedy, hatujaanza kuishi leo.Sijasema hakuna hizo remedies ila nimezungumzia utekelezaji wake hayo maneno ya kilatini sio utekelezaji na wewe unaonekane ndio walewale tu
Hii nchi imefika mwishoAre they seriously going through with it?
Amandla...
We jamaa hauko sawa unazungumzia vitu ambavyo ukiambiwa uprove huo ugaidi utatoa machoUkamatwaji wa Magaidi ndiyo upo hivyo, na ashukuru nchi yetu imestaarabika, nchi nyingine order ingekuwa ni "Shoot to kill", no mambo ya mahakama.
Tundu alisema hawatawawekea dhamana, na hawatafanya chochote, sasahivi wanalialia kwamba wamenyimwa wakili. wakati anaongea hayo, tundu alikuwa ubelgiji kashika glass ya wine, wenzake wanakula ugali wa mhogo huku bongo. cdm sijuii nani kawaloga.Chadema kupitia wakili koko Lisu makamu mwenyekiti wa Chadema si mlijifanya hamtatoa ushirikiano wala kuweka wakili mlikuwa mnamtishia nyau Nani wakili wa nini tena? Mumeudharau ushauri wa mwanasheria koko Lisu?
ubavu huo hawana, walifikiri jpm amekufa hivyo ngoja wavuruge kabisa hii nchi imegeke ili wapate madaraka. wako tayari kushirikiana ata na maadui wa tz alimradi wapate madaraka.Ingie barabarani kama kweli mna uchungu na Mbowe kazi kijificha Twitter na JF kupiga porojo tu, Chadema kimeishatekwa na wanaharakati uchwara wanakutana space huko Twitter kazi kusifiana huku mitaa kwenye battle wanakimbia, wamebakia kulia lia.
Mwanadamu kaumbwa, na mapungufu mengi , mbona hata wewe ulipo sio msafi? ILA PAKAZIA WATU UGAIDI sio sawa , hata SSH RAIS ,nani kasema Hana mapungufu Kama binadam,? Nasema Kama kweli yupo mtakipata mkitafutacho , binadam mwajitoa ufaham hapa sio kwetu ,vyeo ,madaraka ni nya mda tu, kutengenezee kesho YAKO maana hatujui Kama tuendako Kuna misumali ya moto ,miba n.k ,japo binafsi najua , masikio yangu toweka hapa najua ,KWA njia gani najua,acheni upumbavukwahiyo kwa mahakama yako unaamini mbowe ni msafi? kaulize walio karibu naye, ukiweka siasa pembeni, idadi ya wanawake alionao michepuko, maovu aliyoyafanya hadi wenzake wakakimbia chama, na takataka nyingine nyingi kibao ambazo huzijui, bado kuwasaliti ninyi na kula kwa mgongo wenu wakati ninyi mnapigania na kupigwa virungu yeye anakula bata. Mungu hadhihakiwi na uwimwingize kwenye hii kitu.
Sijakukatalia hayo yote ninacho sema kuwa hizo remedies zipo ila kwa Tanzania zinatekelezwaje ie angalia kesi ya Mbowe unajua kwanini wamempa kesi ya ugaidi? Simply ili asipate hizo remediesunajua maana zake, unajua kama mtu amewekwa polisi zaidi ya muda husika unaweza kwenda mahakamani kuwalazimisha wamtoe au wammpeleke mahakamani? haujaona kibatala na wenzake wamefanya hivyo mwaka jana, unajua unachoongea? ndo maana nikakurahisishia kwamba nenda kwa mwanasheria yeyote akufafanulie, kila kitu kwenye sheria zetu kina remedy, hatujaanza kuishi leo.
Muda mchache uliopita Mwenyekiti wa Chadema Mbowe alikuwa mahakamani Kisutu.
UPDATE:
TAARIFA KWA UMMA JUU YA AFYA YA MWENYEKITI WA TAIFA MHE.FREEMAN MBOWE .
Tumepokea taarifa za hivi punde kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe.Freeman Mbowe amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu na amesomewa Mashitaka ya Ugaidi.
Hii ni pamoja na ukweli kuwa Familia na Mawakili wake walijulishwa kuwa wanampeleka hospitali na hivyo alifikishwa Mahakamani kimyakimya bila kuwa na uwakilishi wa wanasheria wala familia yake.
Taarifa zaidi zitakuja hapo baadaye ili kujua aina halisi ya mashitaka ambayo amefunguliwa (charge sheet) baada ya kuiona hati ya mashitaka .
Imetolewa Leo tarehe 26 Julai,2021
John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje
Hakuwahi kuwa mwerevu hata mara 1Kwahiyo Mweshimiwa Rais ameamua kuwa mjinga kihasi hiki.
Mama anataka ku-practice ya mwenda zake haya yetu macho ila katika hili serikali inaenda kuaibika huyo jamaa hamtamfunga kwa kesi ya kitoto kama hiyo.Kama anaongoza kwa kufuata Sheria je Ukamatwaji wa Mtuhumiwa ulifuata Sheria?
Je Kutuhumiwa bila ushahidi ni Sheria pia?
Kuvunja Mirango ya Hotel usiku nako ni Sheria?
Kuzuia Wanasheria wamtuhumiwa nako ni kufuata Sheria?
Sometimes tusimamie haki na sio uchawi na uzandiki... Kama umeapa Kulinda Katiba kwa kumshrikisha Allah sw... basi fuata la Sivyo huyo Allah Sw akuhukumu aliyevunja kiapo na wale wanaoshabikia maovu pia Inshallah.
Kwa Upeo wa Macho yangu Mama anastahili laana na adhabu ya Mwenyezi Mungu la Sivyo atubu mapema na aache kuonea kama ameudhiwa awe mvumilivu ukikubali kusifiwa basi usikasirike ukizomewa kwani wewe ni Binadamu unakosea lakini una nafasi ya kutubu tubu...
Acha ujinga wewe jamaa na huyo Mungu wako uliyeletewa na wazungu, huyo Lord wako unayesema katengenezwa na waroma, wakamvesha na jua kichwani ili waendelee kuabudu jua lao juu ya kichwa cha huyo lord wakoUpo sawa mkuu KATIBA INAKUJA NA HAKUNA WA KUZUIA ningesema Mara nyingi wi confidence, maana najua who iam in connection with my Lord, kakuna wakuzuia ,wanajidanganya tu , tz ni nchi ya Mungu, na kawaumba watz KWA mfano wake, twende tu
Haya maneno hayana uhsiano na kukamatwa kwa Mbowe kalitafuta mwenyewe.Hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu
Mama anaupiga mwingi na mataga wsnanyookaHakuwahi kuwa mwerevu hata mara 1