wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
DAAH WATU WANA MASKHARA SANA YANI WAMEZUSHA WAZIRI MKUU AMEVUJISHA VIDEO AKIYAKATA MAUNO!!!??
Afu anakata Uno huku amevaa miwani yake safi kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DAAH WATU WANA MASKHARA SANA YANI WAMEZUSHA WAZIRI MKUU AMEVUJISHA VIDEO AKIYAKATA MAUNO!!!??
Hata hivyo hapa hamna kesi kwakuwa washitakiwa hawakutaja jina la waziri mkuu yoyote ni juu ya washitaki kuthibitisha kuwa waziri mkuu anayezungumziwa ni wa nchini mwaoMambo kama haya ndio serikali inakuwa nayo serious tofauti na mambo ya msingi ambayo wanayapuuza
Walitaja jina la Waziri Mkuu,au kiashiria chochote kumaanisha ni Majaliwa?
Afu anakata Uno huku amevaa miwani yake safi kabisa.
hiyo haikubalikiWaliweka picha yake na nyingine wame edit kama anakula mzigo..
Nafikiri hilo ndio tatizo
Vipi Gwajima na Ile porn yake?Hata Kama tunaichukia ccm kumgusa waziri mkuu was unfair Tena kwa mambo personal ambayo hayana ushahidi hapana
Hakuna waziri mkuu yeyeto atakuja kuwa raisi elewa iloWanamchafua the future president,Mungu amlinde na amkumbatie rais wetu ajae
Nani mwenye akili yenye utulivu kule!!Hivi Rais hatakaa atoke upinzani?
Hujaiona picha yake?Hata hivyo hapa hamna kesi kwakuwa washitakiwa hawakutaja jina la waziri mkuu yoyote ni juu ya washitaki kuthibitisha kuwa waziri mkuu anayezungumziwa ni wa nchini mwao
Hujasikiliza hiyo clip? Wametaja tena mara nying tu! Wana bahati hawajapigwa ML!Walitaja jina la Waziri Mkuu,au kiashiria chochote kumaanisha ni Majaliwa?
Wametaja sana! Ingekuwa enzi zile wangepigwa ML!Hata hivyo hapa hamna kesi kwakuwa washitakiwa hawakutaja jina la waziri mkuu yoyote ni juu ya washitaki kuthibitisha kuwa waziri mkuu anayezungumziwa ni wa nchini mwao