Azory was feed to crocodiles hapo river rufiji, what saved this gentleman ni zile kelele watu walipiga wakati anatekwa otherwise angekuwa maiti by now, i dont know many many people ccm will kill to get okay and well with human blood sacrife in order to silence those with diffrent viwes and so, lakini kusidwa kumumaliza lissu ndiko kunauma jiwe sana kabisa kabisaKabudi ametuthibitishia hili
At least unatambua kuwa CHADEMA wanapigania haki za wahanga wa utawala huu. Kilangila.Chadema toeni tamko.
Mbona toka kitambo sana,tangu wageuzwe kuwa tawi la ccm,wananchi hatuna imani nao kabisaMaviii!polisi haiaminiki tena...
Mkuu mtu anayedili na hela chafu kuna evidence nyingi sana tena za kuanzia za uwazi achana na hizo hiden ambazo ziko monitored kwa kiasi kikubwa na taasisi za fedha zenyewe na FIU.Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Utakuwa mtu wa ajabu sana karma huelewi hili. Yaani waje watu na silaha na hawataki kujitambulisha kisha wamchukue ndugu yako kinguvu bila kuwapa sababu na uishie kusema hizo ni hisia tupu? Huu ndio mwisho wa ubinadamu wako? Taratibu za kumkamata mtu si zinaeleweka wazi kisheria?
Huu uonevu unaumiza mnoHatimaye, Erick Kabendera kukosa dhamana kwa kosa la kutakatisha fedha. Kisheria, kosa la utakatishaji fedha halina dhamana. Ni kusubiri kusikilizwa na kuamuliwa kwa kesi yake tu mahakamani. Yajayo yako vyema sana...
YOUR REASONING CAPACITY IS TOO LOW PLS,He was too stupid/naive kuandika makala kama zile halafu unaishi bongo na unaona kinachoendelea..He had it coming to him
Nawewe unaamini huo ujinga? kuna mtu anaekataa wito wa polis?kwa nini alikaidi alivyoitwa.....
Wamesema ametakatisha fedha 173m hapo na amekwepa kodi ya 173m, kwa uelewa wa kawaida tu utagundua hapa wamepika maana km kakwepa kodi iweje fedha hizo hizo ziwe ndo alitakatisha?
Brave and patriotic? angeweza kuandika makala kama zile under a false ID, pia unaweza kufuatilia kila kitu bongo ukiwa nje, dunia ni kijiji hiki, zile makala zake zilikuwa zinachambua tu hotuba za magufuli, miradi anayoifanya na sera zake ambazo hata ukiwa Australia huko ukifuatilia utafahamu tu, au unaweza kuniambia ni vitu gani aliandika ambavyo mtu ukiwa nje huwezi kuvijua? vyote vipo wazi tu, sema yeye ameandika katika kuvikosoakwa hiyo angehamia Uchina halafu awe anaandika ya Bongo, angeyajuaje na yangemhusu nini wakati kahama?
wewe ni coward, mwoga, mwenzako ni brave and patriotic...
Teh teh teh Mimi nangoja viwanda tu.Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Mkuu mtu anayedili na hela chafu kuna evidence nyingi sana tena za kuanzia za uwazi achana na hizo hiden ambazo ziko monitored kwa kiasi kikubwa na taasisi za fedha zenyewe na FIU.
Issue ya huyu jamaa imekuwa ya utata sana,toka polisi wenyewe kusemea juu ya uraia hadi kuibuka na kesi ya uhujumu uchumi...what a u turn?
Somali land salama labda somaliaNaombeni mniombee
Nyooo !!
Siku nikitekwa mazee mnitunzie swalehe maana jamaa angu huyu hataki kukosolewa kabisa ani tunaishi kiuoga uoga utafikiri tupo somaliland
ONLY IDIOTS LIKE HIM, he has no humanity in himJiwe ndio maana hakubaliki miongoni mwa watu wenye akili na wasio na ubinafsi wa kuangalia vyeo na maisha yao wao kanma wao na familia zao.
Yuko jela mi nipo uraiani, mtu mwenye ku reason vizuri lazima awe practical, unaandika vitu unajua kesho utakamatwa na bado unaandika tu, wakati ungeweza kuandika ukiwa nje au kutumia fake IDYOUR REASONING CAPACITY IS TOO LOW PLS,
Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Mwandishi wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera amefikishwa Mahakama ya Kisutu leo
Anashtakiwa kwa makosa matatu chini ya sheria uhujumu Uchumi ambayo ni...
1. Kujihusisha na mtandao wa uharifu, 2015-2019 katika maeneo ya Dar Es Salaam aliongoza kundi la uhalifu kwa lengo la kupata faida au manufaa mengine
2. Kukwepa kulipa kodi. Katika tarehe tofauti kati ya 2015 hadi 2019 katika jiji la Dar es Salaam alikwepa kulipa kodi zaidi ya Tsh milioni 173
3. Kutakatisha fedha haramu.
View attachment 1172905
View attachment 1172906
View attachment 1172907
Wewe mbona kigeugeu kama govi, mara uunge mkono juhudi mara ugeuke yaani hueleweki kama mkojo wa punda, shubamittt