Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Wewe umeyaona??
 
Ukifuatilia kuanzia kukamatwa, taarifa za vyombo vya ulinzi na usalama na mkanganyiko uliogubika hili tukio unaona kuna hoja hapo?

Mkanganyiko gani Ndugu yangu unauzungummzia hapa??!!!
 
Jinga sana wewe, kama mimi binti njoo umefungua bottom butt yako uone kama sijaifumua. Lione, akili ndogo kama nyumbu.
 
Jinga sana wewe, kama mimi binti njoo umefungua bottom butt yako uone kama sijaifumua. Lione, akili ndogo kama nyumbu.

Mbona una hasira sana ndugu, nini tatizo?

Au wataka kuwa kama wale wadudu watoao vimulimuli nyakati za usiku?
 
Mkanganyiko gani Ndugu yangu unauzungummzia hapa??!!!

Habari za kutekwa na kupotea kwa huyu jamaa unakumbuka zilivyoleta utata na vyombo husika kuoishana?

Unakumbuka uhamiaji walitoa maelezo gani na kamanda wa kanda maalum alitoa maelezo gani?

Iishiie hapo kwa sasa. Ila watanzania sio wajinga kiasi hicho.
 
Kwa stament hii unaungana na wote wanaosema mliemchagua huyu mtu mmeiletea laana kubwa nchi hii kiasi kwamba vizazi vyenu vitaiishi hii dhambi so kwa mtazamo wako watu wawe wapole waunge juhudi za mateso Mimi nadhani ikiwa unakubali now tuna watawala dhalimu naww huna ujasiri wakusema kitu nivyema uka Support wenye huo ujasiri huo naww ubakie kwenye keyboard ukiamini iko siku dhulma itakoma bila kujali ni lini maana doctors wengi kutoka mamlakani nivile Mungu aamue refer hotuba ya uzinduzi wa Terminal 3
 

Kwahiyo Mandela alikuwa mjinga mpaka kuwekwa miaka 27 jela. Alitakiwa akimbie nchi yake!
 
Mbona una hasira sana ndugu, nini tatizo?

Au wataka kuwa kama wale wadudu watoao vimulimuli nyakati za usiku?
Umeandika nini sasa wewe pimbi? Wewe mchawi nini? Usiniloge tafadhali!!
 

Unajifanya unapanga pointi wakati ni dhahiri hizo ni hujuma. Shabikia uovu kwa kujifanya muelewa na kutunga hadithi za kufikirika.
 
Umeandika nini sasa wewe pimbi? Wewe mchawi nini? Usiniloge tafadhali!!

Mimi mtu poa sana na sina hayo unayofikiria.

Ila nasisitiza nimetoa maoniyangu na maoni yanaweza kuwa ya aina tofauti.

Haya tusiende mbali nje ya mada.
 

Ok...sawa...Hapa kuna vyombo vvya dola vingi...Kuna usalama wa taifa, polisi, JW, Magereza na kadhalika...Through my experience naamini kuna chombo kilimkamata kisheria ingawa siyo Magereza...Soma sheria zinazoongoza vyombo hivi vya dola..Kwa mfano soma sheria ya TISS ya mwaka 1996..ACT No. 15 of 1996.
 

Sijasoma makala zake zote lakini zile nilizosoma niliona ni za kawaida tu ingawa ni critical kiasi. Labda tatizo lake ni kuandikia wasomaji wa nchi za nje!
 

Hawa huitwa "auxiliary force" na hufanya kazi na wote TISS, Polisi na Uhamiaji.

Sisi twawaita "watu wasojulikana" na wengi tunao mitaani wakipewa taarifa za mlengwa basi hujiandaa kukuzungushia wigo.

Kama umemsikiliza kwa makini jamaa ya Uhamiaji amesema kwamba ilibidi wavae kiraia ili kuweza kumkamata mhusika.
 

Elewa hiyyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…