Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Well people like him are the reason why colonialism ended, they stood up without fear. Sawa shit happens, na anatafutiwa kesi kijinga, its ok, at the end of the day the story is out. Unaweza tumia nguvu ila at the end of the day you can't kill the idea, ikishatoka imetoka. In the end the truth wins no matter the cost.
Wapo walio fight colonialism bila kukamatwa wakiwa uhamishoni na colonialism wakaimaliza, wasingehama wangeishia kuuawa tu na ukoloni ukaendelea

Sipingi watu wanaopinga ukandamizaji, pinga ukandamizaji lakini kuwa smart, epuka kukamatwa kama kunaepukika
Sasa case ya Kabendera alikuwa anaweza kuepuka kukamatwa, sasa sijui ni confidence au ali under estimate serikali sijui
 
Yes ni mpumbavu,maana alikuwa anawaweka wanae kwenye hatari,angekuwa hana watoto hapo ningemuelewa.Sasa Tena kuna articles zingine zile zenye kumponda kabisa Magufuli alikuwa anaogopa hata kuweka jina lake that means alikuwa hayupo tayari sema kina Zitto ndo walikuwa wanamtumia kwa kumpa mahela kibao.
Jinga sana wewe
 
Duuh wanamuundia kesi isiyo na dhamana...Halafu haiwezekani mashtaka yote yaanzie 2015 hadi 2019.. Kwani enzi za JK alikuwa wapi? Hayo mashtaka ni ya kupika! Halafu mbona hakuna uchochezi badala yake amehusishwa na magenge ya kihalifu? Hao wenzake mbona hawajakamatwa kama wamejiridhisha kuwapo hayo magenge?
Mbona ishu rahisi sana hapo.
Siku ya kesi:
Jaji: Kati ya january 2015 hadi julai 2019 katika maeneo ya Dar ulijihusisha na uundaji wa genge la uhalifu?

Kabendera: Hapana

Jaji: Ilikuwaje?

Kabendera: Mimi nilitumwa na mabosi zangu?

Jaji: Mabosi zako akina nani?

Kabendera: Makonda, Musiba, Muro na Mutuz.

Jaji: Una uhakika?

Kabendera: Ndiyo asilimia mia.

Jaji: Kesi imeahirishwa ili kukamilisha uchunguzi.

Kesho yake! "Kabendera aachiwa huru kwani mahakama imejiridhisha hana kesi ya kujibu"

Baada ya siku kadhaa.

"KABENDERA YUKO ZAKE UK"

NDO DAWA YA WAOVU
 
Ushabiki mwingine unapitiliza mipaka,serikali sio wajinga kama wengi wetu humu tunavyotoa mapovu,wacha mahakama ndio iamue,kuna siku mtamtetea mlipuaji mabomu ambaye kaja kuwalipua na baadae mtalalamikia serikali kwa kutofanya kazi zake.Humu wote tunabwabwaje tu na hakuna anayejua Kabendera kama ana makosa au la,wengi tumekimbilia kuwa ah kwa kuwa anaikosoa serikali basi ndio anaandamwa,wangapi wanaikosoa serikali na wapo tu?
 
Usimfananishe Maxence Melo na waandishi uchwara kama Kabendera.

Max anaendesha JF na imesimama kwelikwekli na kila mara yupo tayari kukabiliana na misukosuko yoyote ile.

Kama Kabendera angakuwa mwandishi makini na anaejiamini basi asingetumiwa na watu kama Zitto na hilo Jarida la "The Economist".

Kuwa mwandishi makini ni pamoja na kuwa na vyanzo vya habari zako na vigezo au facts zote ili siku ys siku uwe tayari kupambana hoja kwa hoja facts kwa facts.

Wengine wamegusia kwamba pia usiwe na makandokando maana kuna watanzania wengi tu wanabeba pasi za kusafiria za nchi zingine ilhali wana pasi za kitanzania.

Erick Kabendera kwa sasa ni mtuhumiwa ambae anakabiliana na kesi ngumu sana itayomweka ndani kwa muda mrefu kidogo, kutokana na ujinga wake wa kutumika na hata maadui wa nje wa serikali ya awamu ya tano.

Watu wa aina ya Kabendera wanaishusha sana hadhi ya uandishi wa habari khasa zile za kiuchunguzi kwa kuendekeza bahasha za haki au "Chequebook Journalism."

Mtu mzima na akili yako tena una familia na wategemezi wengi bado unakuwa waendekeza ubahau bila kufikiri kwanza madhara ya matendo yako.

Now, he has to face the consequences of his actions.
Wewe utakuwa mmoja wapo wa wale waliokuwa wameagizwa kwenda kumteka. Haya matapishi uliyotapika hapa yanaonyesha hasira uliyonayo baada ya Mungu kuwaumbua na kazi hiyo kuwashinda. Unabahati hatuonani, ningekuwa nakuona ningekutemea hata mate, maana unatia kinyaa. Hivi kwa akili yako hiyo hiyo uliyonayo ya kuazima, unaona Erick anakosa gani kwa aliyo yaandika? Ebu tuwekee hapa uchambuzi wako ukituonyesha makosa yanayopatikana katika machapisho yake.
 
Duuh wanamuundia kesi isiyo na dhamana...Halafu haiwezekani mashtaka yote yaanzie 2015 hadi 2019.. Kwani enzi za JK alikuwa wapi? Hayo mashtaka ni ya kupika! Halafu mbona hakuna uchochezi badala yake amehusishwa na magenge ya kihalifu? Hao wenzake mbona hawajakamatwa kama wamejiridhisha kuwapo hayo magenge?

Hapa mtu lazima utumie general rule...Kama unashutumu wengine wewe mwenyewe you have to be clean..yaani unalazimika kuwa msafi....makosa ya crime hayana muda maalum, kama ulifanya kosa mmwaka 1990 unaweza ukashitakiwa sasa (labda mjuzi wa sheria anisahihishe hapa)....Halafu inawezekana makosa ya uchochezi yakafuatia baadaye baada ya uchunguzi kukamilika..ila sasa mhusika bila shaka anashitakiwa kwa makosa au tuseme tuhuma ambazo upelelezi wake umekamilika...Hilo la uchochezi litafuatia ...Ushauri wangu kwa wanaJF wenzangu ..don't play na dola...State ni kitu kingine kabisa...Sijui mnaojidanganya na the so called freedom of expression/opinion...there is no absolute freedom of the press or freedom of expression/opinion anywhere in this planet/world....Hata Marekani au Uingereza au kokote kule ukiichezea dola utashughulikiwa tu...
 
Ushabiki mwingine unapitiliza mipaka,serikali sio wajinga kama wengi wetu humu tunavyotoa mapovu,wacha mahakama ndio iamue,kuna siku mtamtetea mlipuaji mabomu ambaye kaja kuwalipua na baadae mtalalamikia serikali kwa kutofanya kazi zake.Humu wote tunabwabwaje tu na hakuna anayejua Kabendera kama ana makosa au la,wengi tumekimbilia kuwa ah kwa kuwa anaikosoa serikali basi ndio anaandamwa,wangapi wanaikosoa serikali na wapo tu?
Unazungumzia serikali ipi hiyo?

Hii hii inayowashtaki wakina Melo kisa tu wamegoma kutoa taarifa za Siri ambazo zingewatia matatizoni baadhi ya member humu JF?
 
Mkuu mbona unaacha kujielekeza kwenye hoja, badala yake unaanza kunipa vidonge vyangu isivyo haki!!?
Ukifuatilia nilichoandika ni kuwa mimi pamoja na wengine ambao hatuna taarifa kamili kuhusu hili tusijielekeze kulaumu Bali tujipe Muda ili haki itendeke.

Ukifuatilia kuanzia kukamatwa, taarifa za vyombo vya ulinzi na usalama na mkanganyiko uliogubika hili tukio unaona kuna hoja hapo?
 
Wewe utakuwa mmoja wapo wa wale waliokuwa wameagizwa kwenda kumteka. Haya matapishi uliyotapika hapa yanaonyesha hasira uliyonayo baada ya Mungu kuwaumbua na kazi hiyo kuwashinda. Unabahati hatuonani, ningekuwa nakuona ningekutemea hata mate, maana unatia kinyaa. Hivi kwa akili yako hiyo hiyo uliyonayo ya kuazima, unaona Erick anakosa gani kwa aliyo yaandika? Ebu tuwekee hapa uchambuzi wako ukituonyesha makosa yanayopatikana katika machapisho yake.

Kwa hiyo,

1. Umesoma matapishi yangu na umeamua kujibu.
2. Ungenitemea mate eti natia kinyaa.
3. Nina akili ya kuazima

🙂🙂

Halafu, mimi ungefahamu si mtu wa kuagizwaagizwa tu ila nna uwezo wa hata kukuagiza wewe na ukatekeleza agizo langu.

Huna haja ya kutoa povu jingi kiasi hicho, mimi nimeandika maoni yangu ambayo wewe kama walivyo wengine unakimbilia kutukana.

Sitegemei binti mzuri kama weye kutoa povu jingi kiasi hichi kwa ajili tu ya mtu aitwae Kabendera.
 
Hii mbinu anaitumia MO sasa amekuwa huru zaidi
Akipewa nafasi ya kujitetea akumbuke kusema yafuatayo, "Naipongeza serikali ya awamu ya tano maana inafanya kazi kwa uadilifu, tumepata raisi ambae hajawai kutokea na hatokaa atokee kama huyu, hii ni zawadi tumepewa na mwenyezi Mungu, serikali sikivu, serikali ya wanyonge, inayojali maslahi mapana ya wananchi wake, isiyopenda rushwa, na tumuombee Mh akae madarakani hata miaka mia ili atuletee maendeleo, maana hakuna kama huyu, CCM oyeee..baada ya wiki anafutiwa mashtaka yote
 
Back
Top Bottom