Kama Magufuli ni dikteta watu wasiseme!!! Kama utawala wake ni wa kidhalimu watu wasiseme?Halafu angalia unapoonesha hujui lolote lile! Aogope kuandika jina lake kwani suala la Kabandera kuandikia The Economst lilikuwa siri?! Unatia aibu! Ukabila ndio unaokusumbua! I'm very 100% sure unajitoa ufahamu kwa sababu tu wewe ni MSUKUMA! Yaani unajitoa ufahamu kutetea udhalimu wa Msukuma mwenzako!!! Yaani wewe ni mmoja wa watu wa ajabu kuwahi kuwaona dunia ya leo wakiamini mtu kutupwa jela ni upumbavu!!Yes ni mpumbavu,maana alikuwa anawaweka wanae kwenye hatari,angekuwa hana watoto hapo ningemuelewa.Sasa Tena kuna articles zingine zile zenye kumponda kabisa Magufuli alikuwa anaogopa hata kuweka jina lake that means alikuwa hayupo tayari sema kina Zitto ndo walikuwa wanamtumia kwa kumpa mahela kibao.
Keep it on! You think you're safe kwa sababu tu rais ni Msukuma mwenzako!!!