Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Ndo maana nasema unapofanya hayo hakikisha upo tayari,kujitoa na kuitoa muhanga familia yako. Life is too sweet jamani.Hope Erick yupo tayari. Acha apiganie haki yake.Kwa huu utawala ukiwa against na ukazidisha basi unapotezwa na au ukikoswa koswa jiandae kwa mashtaka ya uhujumu uchumi.