Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #201
😆😆😆Mungu anayajua yote na akaweka utaratibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Mungu anayajua yote na akaweka utaratibu.
Hayo ni maoni na mtazamo wako,pia inaonyesha wewe ni mbaguzi,me au ke inaingiaje hapa. Zaidi hizo ni propaganda uchwara Bila shaka za mwanakijani mmoja.Wewe ni mee or kee maana nakushangaa hujitambui.
Hivi kwa mtu mwenye akili zake anaweza kumtenganisha mbowe na serikali?
Mnaingizwa cha kike mnakubsri kicha mnasahau matatizo mliyokuwa nayo
Acha propaganda uchwara.Mshana hata wewe unashindwa kumuona mbowe kuwa ni kibaraka wa serikali na yupo kazini?
Sisemi mengi!!!!!
Committal - a hearing where magistrates work out if there is enough evidence of a serious crime to justify a trial by jury
hii nchi kuna laana flani, hawa jamaa wa kijani kuna damu zinacchuruzika mikononi mwao mpaka kizazi cha 4, siwataji majina ila wanajijua.Hivyo ndivyo ilivyokuwa leo Mahakamani, ambapo Wadau wa Maendeleo wa Tanzania kutoka kwenye Taasisi za Kimataifa wameshiriki kesi hiyo ya Ugaidi kwa lengo la kujua kinachoendelea, Maofisa hao wengi wao wamefika ili kujiridhisha na mwenendo wa kesi hiyo.
Ugaidi katika nchi ni jambo baya linaloweza kuwatisha wawekezaji , hivyo ilikuwa ni lazima wadau wa maendeleo kuhudhuria kesi hiyo ili kupima kiwango cha ugaidi kwa lengo la kulinda wawekezaji kutoka kwenye nchi zao, maana ni hatari kuwekeza kwenye nchi yenye Ugaidi.
umenena Mkuu.Hii ni ishara ya mbowe kutumiwa kufanya Ugaidi
Jaji wa Divisheni Maalum ya Mahakama Kuu amehairisha kesi mpaka kesho tarehe 1 September 2021 baada ya kusikia hoja za upande wa utetezi na ule wa upande wa serikali ili kujiridhisha kama Divisheni ya Mahakama Kuu ina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo kisheria au la.

Kutokana na hoja hizo, Luvanda anayesikiliza shauri hilo, alipanga kutoa uamuzi leo.Tanzania (2016)
Tanzania’s Economic, Corruption and Organised Crime Court was established by the 2016 Economic and Organised Crime Control Act. Source : Anti-corruption court legislation for 27 countries
conspiring to attack a public official, and of giving 600,000 Tanzanian shillings ($260/220 euros) towards blowing up petrol stations and public gatherings and cutting down trees to block roads.Mashitaka wanayokabiliwa ni kupanga kumshambulia kiongozi, kutoa Tshs. 600,000 kufadhili ulipuaji wa vituo vya mafuta na mikutano ya hadhara na kukata miti kuitandika barabarani kuvuia magari kupita.
MaCCM akili zao hazina akili.Tulipokuwa tunaleta taarifa hizi hapa tulipuuzwa , lakini sasa mambo yameiva
Wanatuharibia nchi,something has to be done!MaCCM akili zao hazina akili.
Mama gani mchawi na mwanga, analeta visasi vya mitala kwenye demokrasia, ameshindwa kabla ya kuanza.Mama muachie huyu mtu! Maana anakubalika hayo ya ugaidi yasikusumbue,utatia doa utawala wako.