Kisutu: Mahakama yamhukumu Mfanyabiashara Herbinder Seth Kulipa fidia ya Tsh. 26.9 bilioni

Na hasa kwa wazee ni mateso makubwa!😭😭😭
 
Ngoja na Mimi nikaibe bil 300 fidia bil26 daha nitakula bata mpaka kuku akasirike
 
DPP Sylvester Mwakitalu leo amemuachia huru mfanyabiashara Herbinder Seth baada ya kukiri makosa na kulipa faini.

Mzee Ruge bado amekomaa, tusubiri tuone nini kinaendelea.

Source: Darmpya Blog
hata mimi ningelipa nimepiga 309 bilioni halafu nalipa 26.9 bilioni
 
hata mimi ningelipa nimepiga 309 bilioni halafu nalipa 26.9 bilioni
Nchi ya watu wajinga hii kuanzia juu hadi chini, eti mwizi anaenda kuleta mzungo wa pesa mitaani kwa kuachiwa, ni vitabu vipi vya uchumi ambavyo vina sema ukitaka kuleta mzunguko wa pesa ni kuiba ? ndio maana Lowasa alisema nchi yetu inahitaji Elimu kuwa kipaumbele chetu, hii nchi inatobanga kila kitu kwa viongozi wetu na wananchi kuwa na uelewa mdogo .
 
Piga kazi mama tumecheleweshwa mno kama taifa
 
Samia = Magufuli

Mtaelewa tu nyie vivutio vya utalii
Magufuli alimlea Sabaya lakin kwa Samia ananyea ndoo.
Samia si sawa na Magufuli, mtaelewa tu nyie viwavi jeshi.
 
Kakiri kapiga bilioni 300

Adhabu bilioni 29

Nchi ya kusadikika

Banana republic
 
Kaiba 309b harafu anaambiwa arudishe 26b tu!

Dhahiri sasa mwenye visu vikali uwanja wenu.
 
Wee Kweli?

Ni mwenzetu hasa , mtanzania mtafutaji na mhangaikaji katika kutafuta kitu kinaitwa pesa , kambi mahali popote lakini nyumbani Iringa Tanzania


2 Jul 2017 — ... the 1990s like business tycoon Harbinder Singh Sethi. Born and raised in Iringa, a small town in Tanzania's ...
Few people received top dollar construction contracts from the Kenyan government in the 1990s like business tycoon Harbinder Singh Sethi.

Born and raised in Iringa, a small town in Tanzania’s Southern Highlands, Sethi arrived in Nairobi in the 1980s.

At that time, the idea of tenderprenuership was still new in Kenya. But for a man who had founded his first company at 19, he knew at an early age that he could make a fortune from lucrative multi-billion shilling construction contracts from government entities.

Sethi quickly understood the Harambee spirit building up in Kenya and would from time to time show up at public functions to give ‘generous donations’. His donations would grab media headlines and endear him to government officials.

But it was not until after Ruaha Concrete Co Ltd, a firm he founded together with his siblings, was caught in scandals that his business activities in Kenya started receiving attention.

A 1997 report by the Auditor General found that Ruaha irregularly received a contract from Kenya Pipeline Company (KPC) to build a 9km access road. Despite this, the construction was still rocked by serious delays, large cost overruns and poor workmanship.

The project cost shot up two and a half times from Sh197 million in February 1995 to over Sh510 million by June 1998, when the road was finally completed. The auditor recommended that Ruaha Concrete be blacklisted and investigated.

READ MORE : How tycoon with dubious Kenyan past got entangled in Tanzania’s mega scam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…