Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kiswahili ni lugha changa bado, bado haijaenea sana. tofauti na Tanzania, inazungumzwa tu ikiwa kwa kukosewa kosewa sababu haifahamiki vizuri,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee,makasiriko ya nini broo,we kama huna chako usifikiri kila nchi haina chake,ni wazi inajulikana worldwide kiswahili asili yake ni Tz,hutaki acha,nyie msio na identity yenu kazi yenu kurukia vya wenzenu halafu mnajifanya vya kwenu,ongeeni kiswahili fasaha sio mkikosolewa na wenye lugha yao mnaona nongwaLugha yako ulipewa na nani? Uliinunua wapi? Unaweza kumkataza mtu asitumie lugha kwa kuwa ni "ya kwako"?
Huu ushamba wa kiwango cha juu sana
Inakosewa kosewa na wasio wa lugha hiyo sio waswahili wenyeweKiswahili ni lugha changa bado, bado haijaenea sana. tofauti na Tanzania, inazungumzwa tu ikiwa kwa kukosewa kosewa sababu haifahamiki vizuri,
Makosa ya kisarufi siyo kimaanaKishwahili ndo nini?
we jamaa ni msambaa au
Lugha kama inazungumzwa eneo kubwa lazima iwe na variations tofauti tofauti, ndio hatua ya kwanza lugha inapoanza kuenea haiwezi kuenea ikiwa vilevileInakosewa kosewa na wasio wa lugha hiyo sio waswahili wenyewe
Bakenya bhana,wanatamani kusema kiingereza ni lugha yao,ila wakiwaza kuwa ni ya beberu wanabaki kusonya tu,🤣🤣🤣🤣🤣
Matamshi yatabadilika kulingana na maeneo ila sio msingi wa maneno ya kisarufi,yaani huwezi ita fruit vinginevyo halafu mwenye lugha yake(native speaker)aseme ipo poaLugha kama inazungumzwa eneo kubwa lazima iwe na variations tofauti tofauti, ndio hatua ya kwanza lugha inapoanza kuenea haiwezi kuenea ikiwa vilevile
Mfano Spanish ya Chile haiwezi kufanana na Spanish ya Mexico au Spain
Hivi unajua hata maana ya sarufi? Maana unatoa mfano ambao hata sio wa kisarufiMatamshi yatabadilika kulingana na maeneo ila sio msingi wa maneno ya kisarufi,yaani huwezi ita fruit vinginevyo halafu mwenye lugha yake(native speaker)aseme ipo poa
Sijafahamu ambacho hujakielewa ni nini nipate kukuelekezaHivi unajua hata maana ya sarufi? Maana unatoa mfano ambao hata sio wa kisarufi