Kiswahili cha Kenya

joo njoo huku makejani masee tuna veveka, mtoi ana ma haga mazee mi nime mnock mbaya,eeeh buda siututembezeage na sisi iyi mneli....

aish....mneli? Utakuwa na swagg za kikora masee!
 
Aisee nimetokea mashambani,ati kuna nini hapa
 
jf iko na mtu mob madhee ngoja namii nisonge umo labda naweza pata manzi ya ukweli
 
Mi hapa ninabambika na kauganga na skunjee.Njeve 2 ndo mobb at least gafe na mandwang'a za soo rwabe zinasunda haka kaunenge far.Kabla ya kuswach,kumbuka ku-pray alafu morrow ni janta ngware...........phew!That's my sheng ya somethin like 4 yrs bak.Kuna words zozote brand new mnaeza ni-hook up nazo????M-dozz powa wazeiya!
 
Oyaaaaaaaaa masela mnazingua bhaaana dzaini mnaleta lugha gani pande hizi mi cwasomi mjue?mi ngoja nchore zangu, dzain disko limeingia masai niende zangu mdomdo mpka kiebembuzi nikale zangu ngada ama nini mazee???
 
No umekosea, wanasema mtunguyas wakiwa na maana ya 'mtu wangu' sio mtu nguwa bwana. Kwa nyongeza, mtoto anaitwa mtoi na jumamosi wanaiita Sato.

Tiba

Hahahaha! Shukrani sana ndugu yangu, kuna MKenya mmoja alitelemshia hilo nikajua ni la huko...
 
vijana tusare madawa za kulevya...
hii hadi leo sijajua maana yake nisaidieni
 
ee mazee huyu budaa ana goo kwa id ya Judgement c ni mdeadly.umeona vile anabonga swahili poa.namgotea joo.
 
Last edited by a moderator:
dah nilishaanza kusema huyu lazima ni mkenya kumbe...

Hapa Tz kuna lugha za machalii wa Unga Limited nikikusudia wadau wa A-town, nao utawapenda kwa Kiswahili chao.
 
Leo ni Friday,, ganji iliingia ngive jana, wasupa kwa ofisi wamedunga niaje, leo dundaa lazima na naona kabla watu wakue maji sana lazima nipate chips funga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…