Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) ingilieni KIswahili cha kichaga wakiongea wanapotezea watu muda sana hawawezi ongea sentensi imenyooka hawana kazi au?
Hebu ona hapa mifano michache katika mingi wanavyopotezea watu muda
Mfano
Nikaenda anasema nika nikaenda
Nikala anasema nika nikala
Nikarudi anasema Nika nikarudi
Nikamwambia anasema Nika nikamwambia
Hivi ni ukosefu wa ajira au wateja kwenye biashara au tatizo nini? Mtu anarudia rudia maneno hadi msikilizaji unatamani umtandike rungu kwa kukupotezea muda
Mwenyezi Mungu angetoa idadi ya maneno maximum kuwa ukiongea mfano maneno elfu kumi ukimaliza unakuwa bubu wachaga wangeongoza kwa kuwa mabubu haraka sana kwa maneno wanayoongea kufikia limit
Hebu ona hapa mifano michache katika mingi wanavyopotezea watu muda
Mfano
Nikaenda anasema nika nikaenda
Nikala anasema nika nikala
Nikarudi anasema Nika nikarudi
Nikamwambia anasema Nika nikamwambia
Hivi ni ukosefu wa ajira au wateja kwenye biashara au tatizo nini? Mtu anarudia rudia maneno hadi msikilizaji unatamani umtandike rungu kwa kukupotezea muda
Mwenyezi Mungu angetoa idadi ya maneno maximum kuwa ukiongea mfano maneno elfu kumi ukimaliza unakuwa bubu wachaga wangeongoza kwa kuwa mabubu haraka sana kwa maneno wanayoongea kufikia limit
