KIswahili cha kichaga wakiongea wanapotezea watu muda sana hawawezi ongea sentensi imenyooka hawana kazi au?

KIswahili cha kichaga wakiongea wanapotezea watu muda sana hawawezi ongea sentensi imenyooka hawana kazi au?

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) ingilieni KIswahili cha kichaga wakiongea wanapotezea watu muda sana hawawezi ongea sentensi imenyooka hawana kazi au?

Hebu ona hapa mifano michache katika mingi wanavyopotezea watu muda

Mfano

Nikaenda anasema nika nikaenda

Nikala anasema nika nikala

Nikarudi anasema Nika nikarudi

Nikamwambia anasema Nika nikamwambia

Hivi ni ukosefu wa ajira au wateja kwenye biashara au tatizo nini? Mtu anarudia rudia maneno hadi msikilizaji unatamani umtandike rungu kwa kukupotezea muda

Mwenyezi Mungu angetoa idadi ya maneno maximum kuwa ukiongea mfano maneno elfu kumi ukimaliza unakuwa bubu wachaga wangeongoza kwa kuwa mabubu haraka sana kwa maneno wanayoongea kufikia limit
 
Baraza la Kiswahili Tanzania ingilieni KIswahili cha kichaga wakiongea wanapotezea watu muda sana hawawezi ongea sentensi imenyooka hawana kazi au?

Hebu ona hapa mifano wanavyopesea watu muda

Mfano

Nikaenda anasema nika nikaenda

Nikala anasema nika nikala

Nikarudi anasema Nika nikarudi

Nikamwambia anasema Nika nikamwambia

Hivi ni ukosefu wa ajira au biashara au tatizo nini? Mtu anarudia rudia maneno hadi msikilizaji unatamani umtandike rungu kwa kukupotezea muda

Mwenyezi Mungu angetoa idadi ya maneno maximum kuwa ukiongea mfano maneno elfu kumi ukimaliza unakuwa bubu wachaga wangekuwa mabubu muda mrefu sana
Jukwaa la siasa siku hizi ndio mnaposti hizi pumba?
 
Wachagaaaa mnaitwaaa hukuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baraza la Kiswahili Tanzania ingilieni KIswahili cha kichaga wakiongea wanapotezea watu muda sana hawawezi ongea sentensi imenyooka hawana kazi au?

Hebu ona hapa mifano wanavyopesea watu muda

Mfano

Nikaenda anasema nika nikaenda

Nikala anasema nika nikala

Nikarudi anasema Nika nikarudi

Nikamwambia anasema Nika nikamwambia

Hivi ni ukosefu wa ajira au biashara au tatizo nini? Mtu anarudia rudia maneno hadi msikilizaji unatamani umtandike rungu kwa kukupotezea muda

Mwenyezi Mungu angetoa idadi ya maneno maximum kuwa ukiongea mfano maneno elfu kumi ukimaliza unakuwa bubu wachaga wangekuwa mabubu muda mrefu sana
Semenya unaitwa huku.

Maghayo.
 
Baraza la Kiswahili Tanzania ingilieni KIswahili cha kichaga wakiongea wanapotezea watu muda sana hawawezi ongea sentensi imenyooka hawana kazi au?

Hebu ona hapa mifano wanavyopesea watu muda

Mfano

Nikaenda anasema nika nikaenda

Nikala anasema nika nikala

Nikarudi anasema Nika nikarudi

Nikamwambia anasema Nika nikamwambia

Hivi ni ukosefu wa ajira au wateja kwenyevbiashara au tatizo nini? Mtu anarudia rudia maneno hadi msikilizaji unatamani umtandike rungu kwa kukupotezea muda

Mwenyezi Mungu angetoa idadi ya maneno maximum kuwa ukiongea mfano maneno elfu kumi ukimaliza unakuwa bubu wachaga wangekuwa mabubu muda mrefu sana
athari za lahaja haziwezi kurekebishwa na kitu chochote ispokua mazingira tu🐒
 
Kuna rafiki yake na mzee wangu alikuwa anaongea hivyo hivyo alikuwa mchaga, alikuwa anapenda sana kuja nyumbani, yaani anakusimulia jambo halafu hamalizii neno umalizie wewe, "basi nikafika pa...." unamalizia "pale".. sasa kuna siku nipo nawasikia wanapiga story na mzee, sasa jamaa anamuachia mzee amalizie senstensi 🤣

Nikasikia mzee anamwambia "uwe unamalizia mwenyewe aisee" 🤣🤣
 
Labda wewe ndîo Huna Elimu ya Lugha.

Kwenye lugha kuna Mitindo ya Lugha kama Misimu na rejesta, kuna lafudhi, kûna Lahaja n.k
Haya kûna maneno au sentensi Zenye Ukariri, kûna sentensi au maneno yenye tashtiti, kûna sentensi Zenye unyume.

NI Bora ungeuliza Kwanza ili upewe Elimu.
 
Wakutane na wanyakyusa sasa wanaosema tuliendaga-tulienda, ujage-uje, Tulage-tule, tukumbatianage-tukumbatiane n.k
Kikao cha robo saa wakikaa mchaga na mnyakyusa na mchaga hapo chaweza chukua masaa manne sababu ya kutoongea sentensi iliyonyooka kwa kurudia maneno na kuongeza maneno sentensi moja shortcut

BAKITA waende huko pia
 
Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) ingilieni KIswahili cha kichaga wakiongea wanapotezea watu muda sana hawawezi ongea sentensi imenyooka hawana kazi au?

Hebu ona hapa mifano wanavyopotezea watu muda

Mfano

Nikaenda anasema nika nikaenda

Nikala anasema nika nikala

Nikarudi anasema Nika nikarudi

Nikamwambia anasema Nika nikamwambia

Hivi ni ukosefu wa ajira au wateja kwenye biashara au tatizo nini? Mtu anarudia rudia maneno hadi msikilizaji unatamani umtandike rungu kwa kukupotezea muda

Mwenyezi Mungu angetoa idadi ya maneno maximum kuwa ukiongea mfano maneno elfu kumi ukimaliza unakuwa bubu wachaga wangeongoza kwa kuwa mabubu haraka sana
Baada ya kuvimbiwa tumbo naona hadi akili nayo imevimbiwa unashindwa kufikiri vizuri. Hoja ya hovyo iliyojaa chuki.
 
Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) ingilieni KIswahili cha kichaga wakiongea wanapotezea watu muda sana hawawezi ongea sentensi imenyooka hawana kazi au?

Hebu ona hapa mifano wanavyopotezea watu muda

Mfano

Nikaenda anasema nika nikaenda

Nikala anasema nika nikala

Nikarudi anasema Nika nikarudi

Nikamwambia anasema Nika nikamwambia

Hivi ni ukosefu wa ajira au wateja kwenye biashara au tatizo nini? Mtu anarudia rudia maneno hadi msikilizaji unatamani umtandike rungu kwa kukupotezea muda

Mwenyezi Mungu angetoa idadi ya maneno maximum kuwa ukiongea mfano maneno elfu kumi ukimaliza unakuwa bubu wachaga wangeongoza kwa kuwa mabubu haraka sana
Mbona umewastahi au umewapotezea (huwasemi/huwataji) wale ndugu wanaojazilia sentensi zao na neno "Naniliuu" e.g. mtu anaanza kutoa habari hivi "nemekutana na naniliuu hapo anasema eti .... ..."? au anasema "Ok; hii kwa kawaida unatakiwa uanze kwa kunaniliuu eee, kutikisa chupa kabla hujananiliu, hujamimina kwenye kijiko au kikombe .... :FeelsSadDitch:
 
Back
Top Bottom