Kiswahili is also an international language, no doubt about it. Umoja wa nchi za Africa (AU) wamekwisha pitisha lugha ya Kiswahili kuwa lugha rasmi ya Afrika. Sema tu sisi waafrika bado tuko katika usingizi mzito wa kasumba ya kikoloni, kwa hiyo inakuwa vigumu sana kukubali maswala flani flani hivi!Tz tungelikuwa na mihela walai hii Lugha tungekomaa ingekuwa Lugha ya Africa maana inchi zaidi ya tano wanaongea hii lugha!
leave alone izo international languages kama kifalansa english etc
Kiswahi bomba sana hapa kuna waitaliano waniomba niwafundishe.