Kwetu Kwao
Member
- Jun 7, 2012
- 16
- 3
Ni kawaida ktk shule zetu mwalimu hata wa somo la english aingiapo darasan kuamkiwa "shikamoo mwalimu" naye huitikia "marahaba kaeni chini" na somo la dakika 80/40 litaendeshwa kwa kiswahili na kingereza juu juu, imezoeleka mwalimu awe wa history,geography, civics,math n.k kufundisha kwa lugha ya kiswahili na mwalimu anayeongea english muda wote huchukiwa na wanafunzi wake lakini tuelewa mitihani hujibiwa kwa kingereza. Hivi unategemea mwanafunzi ataandika nn kwny mtihan? anakuwa na kazi ya kuhamisha concept aliyofundishwa na mwalimu kwa kiswahili to kingereza "ifike hatua tutambue kuwa kingereza ni cha waingereza"