NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Mimi ni mmoja wa waliopakua app ya Opera News.
Kinachonishangaza ukisoma vichwa vya habari vya Trending Videos ukiona kiswahili kinachotumika ni broken kupita maelezo nawazaga wanaoandika ni watu wataifa lipi nawazaga pengine Kenya.Ila Kenya kiswahili chao kizuri na kina lafidhi ya kuvutia mno.
Utaona mfano "Nini unaweza kwenda vibaya wakati simba uongo na kondoo"
Au "Genge hili la warthog pamoja ili kupambana na mbali ya Duma
Kinachonishangaza ukisoma vichwa vya habari vya Trending Videos ukiona kiswahili kinachotumika ni broken kupita maelezo nawazaga wanaoandika ni watu wataifa lipi nawazaga pengine Kenya.Ila Kenya kiswahili chao kizuri na kina lafidhi ya kuvutia mno.
Utaona mfano "Nini unaweza kwenda vibaya wakati simba uongo na kondoo"
Au "Genge hili la warthog pamoja ili kupambana na mbali ya Duma