Kiswahili kinabanagwa

Kiswahili kinabanagwa

Shaban robert aliwahi kusema"msema kweli hukimbiwa na rafiki zake.nikipatwa na ajali kama hiyo,siwezi kuikana kweli na kuchelea upweke wa kitambo unaotarajiwa kutokea baada ya kushindwa kwa uongo".wadau niliyoyasema hapo juu ni ukweli mtupu lakini nadhan tatizo ni muda.huwenda labda cku za usoni mkaelewa.huwezi tu kulenga ujumbe tu na ukatumbilia mbali njia ya kufikisha ujumbe huo ambayo ni lugha.lugha ni nyenzo ya kufikisha ujumbe,hvyo lazima tutumie nyenzo sahihi ili kumfanya msikilizaji apate ujumbe sahihi.nasisitiza tena SIKATAI KUCHANGA LUGHA,ILA IFANYIKE HVYO IKIBIDI,na kama yapo maneno yanayoweza kutumika bila kuchanganya lugha basi hilo ni bora zaidi.tuache kasumba ya kutawaliwa kifikra.FIKRA SAHIHI HUJA KWA LUGHA SAHIHI.
 
Shaban robert aliwahi kusema"msema kweli hukimbiwa na rafiki zake.nikipatwa na ajali kama hiyo,siwezi kuikana kweli na kuchelea upweke wa kitambo unaotarajiwa kutokea baada ya kushindwa kwa uongo".wadau niliyoyasema hapo juu ni ukweli mtupu lakini nadhan tatizo ni muda.huwenda labda cku za usoni mkaelewa.huwezi tu kulenga ujumbe tu na ukatumbilia mbali njia ya kufikisha ujumbe huo ambayo ni lugha.lugha ni nyenzo ya kufikisha ujumbe,hvyo lazima tutumie nyenzo sahihi ili kumfanya msikilizaji apate ujumbe sahihi.nasisitiza tena SIKATAI KUCHANGA LUGHA,ILA IFANYIKE HVYO IKIBIDI,na kama yapo maneno yanayoweza kutumika bila kuchanganya lugha basi hilo ni bora zaidi.tuache kasumba ya kutawaliwa kifikra.FIKRA SAHIHI HUJA KWA LUGHA SAHIHI.

Mkuu quotation ya Shaban Robert sijui unataka kuitumiaje hapa. Kweli inawezekana tatizo ni muda. Kwa kuwa time is so precious nowdays, sioni umuhimu wowote wa kutumia dakika moja kueleza kitu wakati ungeweza kutumia sekunde 20 tuu na ujumbe ukafika. Hapo tayari umesha-save sekunde 40, muda ambao unaweza kuutumia kwa shughuli nyingine muhimu. Lakini kama mtu hu-mind muda, then kwako haitakuwa shida. Kwa upande mwingine tatizo linaweza wala lisiwe muda hasa pale mhusika anapolenga zaidi kufikisha ujumbe badala ya kuonyesha kuwa anaijua lugha.

Mkuu siku zipi tena za usoni tutaelewa wakati dunia inasonga mbele huku BAKITA imekaa kimya tuu? No one is gong backward my friend. Unavyosema ni "lazima tutumie nyenzo sahihi ili kumfanya msikilizaji apate ujumbe sahihi" una maana ujumbe haufiki pale tunapo-mix? Mimi naona unarudi kule kule. The very simple fact katika mawasiliano ni kuhakisha kuwa ujumbe umefika, regardless of how you convey the message. Hicho ndio kitu kinacho-matter zaidi.

Mkuu nimesema tokea mwanzoni kuwa wewe ni idealistic. Sasa nakupa a practical example. Kwenye dunia hii ya customer oriented, unaweza kupoteza wateja wengi kwa kujifanya unatumia lugha fasaha. Kama umeshatembelea nchi zilizoendelea, siku hizi kwenye maduka ya shopping huwa wanaajiri watu wanaongea lugha inayoendana na ile ya wateja wanao-shop hapo ili ku-create connections na hatimaye kufanya biashara. Hii ime-raise sana issue kuwa makampuni hawaajiri tena ma-graduate. Makampuni yame-respond kuwa lugha wanayotumia ma-graduate inawafanya washindwe ku-create connections na wateja. Wanatumia lugha ambayo ni too formal. Matokea yake customers wanasepa wakidhani kuwa hawaeleweki. Ndio maana hayo makampuni wanaajiri tuu watu wa mtaani b'se hao sio kuwa wanaijua lugha, bali pia wanajua jinsi ya kuitumia ili kuvutia wateja.

Kwa hiyo cha maana read your audience/customers, then convey the message not only in a way which you think they will understand it better but they way they would like to receive it. Look for the audience/ customer point of view, not from your own point of view.
 
nimeipenda hii
kiswahili hakina wataalam walio makini kuhakikisha kinaenea kwa watu na kinatumika kwa usahihi wake.
wataalam wamekalia kufundisha tu chuoni basi ilhali wamesahau kuwa sio kila mtu amefika/atafika UDSM
sekondari kile sikiiti kiswahili fasaha mana ni vitabu na kujibia mtihani basi...

kwa ufupi mie kiswahili sifaham mana iyo heading yako tu nilishindwa kuelewa!!:smiling::confused2:
 
Pole AZA,heri wewe umekubali kua ubado mwanamkembe ktk kisw na una taashwishi ya angalau kutaka kukijua.wengi kwa vle hawakijui basi hukitia ila.jaman kiswahili ni tamthili ya tende,weusi wa rangi yake c sawa na utamu wake.kisw kitamu japo machoni pa weng chaonekana kimeshitadi weusi.tukipende,tukienzi na tukijali kisw.
 
Back
Top Bottom