Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Maarifa mengi hapa Duniani na ulimwenguni Kwa ujumla yapo katika lugha ya kingereza....Hiyo lugha ilipendekezwa na nani? Na ilipendekezwa na nani na kwa nini?
Hapo sawa, kiswahili ibakie lugha ya mitaaniMaarifa mengi hapa Duniani na ulimwenguni Kwa ujumla yapo katika lugha ya kingereza....
Lugha ya kingereza ndio lugha mama hapa ulimwenguni
NB
NI BORA SOMO LA PHYSICS LIWE KWA LUGHA YA KIINGEREZA.....UKITAFSIRI PHYISCS KWA KISWAHILI UNALIFANYA SOMO KUA GUMU ZAIDI..
Umeona eenh! Watu wengi wanakosa nafasi za kazi kwa mambo hayo hayo, wengine kuaminika nje ya nchi ni shida sababu ya kiswahili.Fikiria mtu kasoma degree, ila akiitwa kwenye interview anatokwa jasho tena jembamba...
Vyeti vyake vizuri tu, ila anaogopa kupigwa maswali ya kingereza...
Wengine wanakosa kazi kwakuwa hawajaelewa maswali...
Maana sio lugha aliyoizoea...
Kiswahili kiwe lugha ya mtaani tu, darasani kingereza...
Afu ni swali la lazima😂✋Jadili 😀😀😀 (marks 5)
Hapa sasa tunaenda sawa.Maarifa mengi hapa Duniani na ulimwenguni Kwa ujumla yapo katika lugha ya kingereza....
Lugha ya kingereza ndio lugha mama hapa ulimwenguni
NB
NI BORA SOMO LA PHYSICS LIWE KWA LUGHA YA KIINGEREZA.....UKITAFSIRI PHYISCS KWA KISWAHILI UNALIFANYA SOMO KUA GUMU ZAIDI..
Utake usitake lazima ulijibu[emoji1787][emoji1787]Afu ni swali la lazima[emoji23][emoji113]
😂😂😂😂Utake usitake lazima ulijibu[emoji1787][emoji1787]
Bila kiswahili tungekua tunatumia lugha gani kuwasiliana!?..au ndiyo Kama Uganda,tangazo la serikali sharti litoke kwa lugha 14 ili ujumbe ufike kwa woteAtakuja mtu mmoja atakwambia shuleni ulienda kusomea ujinga ☺️☺️ maana hujui faida za kiswahili katika taifa lako 😊😊natania tu...
Peace & Love ✌️
Yaani shida na aibuKuna shida kwenye elimu, watu hawajui kiswahili wala kingerezaView attachment 2808511
Acha ujinga,wajerumani na wafaransa wanasoma physics kwa kiingereza!?..wajapan,wachina!?Maarifa mengi hapa Duniani na ulimwenguni Kwa ujumla yapo katika lugha ya kingereza....
Lugha ya kingereza ndio lugha mama hapa ulimwenguni
NB
NI BORA SOMO LA PHYSICS LIWE KWA LUGHA YA KIINGEREZA.....UKITAFSIRI PHYISCS KWA KISWAHILI UNALIFANYA SOMO KUA GUMU ZAIDI..
😀😀😀😀😀kivumbiiAfu ni swali la lazima😂✋
Zingatia maokotoKatika misemo mipya hamna neno ninalo lichukia kama neno maokoto! Sijui lilianzia wapi na sababu ya kuwepo kwake ninini
[emoji1787][emoji1787] unakaziaZingatia maokoto
Mjinga Babu yako alie mzaa babu Ako mzaa babaako...Acha ujinga,wajerumani na wafaransa wanasoma physics kwa kiingereza!?..wajapan,wachina!?
aibu kunwa hii basata wanafnya kazi gani aisee🤣🤣Miaka ya zamani waandishi wa habari walikuwa wanatumia kiswahili kizuri sana,
Waandishi wa sasa inafika wakati anaandika neno " kusubutu" !! na mhariri anaipitisha!?View attachment 2808431
Watu wa stationery hao. Ila nao walitakiwa walikagueKuna shida kwenye elimu, watu hawajui kiswahili wala kingerezaView attachment 2808511