Kiswahili kuchaguliwa kama Lugha ya Taifa ilikuwa kosa?

Kiswahili kuchaguliwa kama Lugha ya Taifa ilikuwa kosa?

Martyr 360

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
433
Reaction score
660
Yaani hapa bongo bhana tuna vipaji vingi sana tena watu wa maana umewahi kufikiria kwanini hatuvumi sana kimataifa na dunia kiujumla.

Hii ni kwasababu ya lungha tunayotumia kama Lungha ya taifa umewahi kufikiria labda ENGLISH ingekuwa ndo lugha yetu ya taifa yaani Kwanza tungekuwa na lafuzi nzuri ya kiingereza kuliko mataifa mengi ya kiafrika yanayozungunza English,

Tena kungekuwa na fursa nyingi kuliko sasa kama umewahi kuchunguza mataifa mengi wanayozungumza kiingereza wazungu huwa Wana antention nayo kuliko Yale yasiyo zungumza lugha hiyo lakin pia hata Yale mataifa yasiyozungumza kiingereza yanapokuja kwenye taifa letu bado unakuta wanaongea kiingereza tena utazani ni waingereza.

Tunamsifia mwalimu Kwa kuliungalinisha ili taifa Kwa luga moja lakin Mimi nasema ilikuwa ni Kwa maslahi yake binafsi kwanini hakutumia kiingereza kutuunganisha ,je umewahi kufikiria kwanini wananchi wa taifa hili ni washamba alafu wanauelewa mdogo wa mambo ukiachillia mbali wale waliosoma soma kidogo ni kwasababu hata sources nyingi zinazofungua uelewa wa watu bado zimeandikwa Kwa kiingereza.MI NA HITIMISHA KWA KUSEMA ILIKUWA MISTAKE KUBWA MNO.
 
Yaani hapa bongo bhana tuna vipaji vingi sana tena watu wa maana umewahi kufikiria kwanini hatuvumi sana kimataifa na dunia kiujumla.Hii ni kwasababu ya lungha tunayotumia kama Lungha ya taifa umewahi kufikiria labda ENGLISH ingekuwa ndo lugha yetu ya taifa yaani Kwanza tungekuwa na lafuzi nzuri ya kiingereza kuliko mataifa mengi ya kiafrika yanayozungunza
Umeongea jambo la maana Sana! Alitaka watu wawe mambumbu! Wengi tukiangalia cnn wala hatuelewi, tbc 1 na tv za umbea umbea tu! Taarifa za hovyo hovyo, siasa uchwara za vyama vya hovyo, miaka 60 watu hawana maji wala umeme lakini misafara ya mav8 ya mil 400+! Laana kabisa!
 
Nchi hii itaendelea siku English itakuwa medium of instruction kuanzia chekechea , kwasasa hatuko full katika global economy na hatuhusiki na international transfer of capital and technology sababu hatuongei lugha ya dunia.

Nchi nyingi kuna fursa za ajira ila sisi hatumo na kiswahili chetu!

Katika mikutano ya uchumi ya dunia sisi ni wasindikizaji tu hatuchangii chochote hatujui English na hatupati madili makubwa ya uwekezaji mikutano ikiisha tunarudisha masuti yetu home na per diem!

Kazi za mashirika makubwa ya kimataifa zenye mishahara minono sisi hatumo! Hatujui lugha!

Diaspora wa nchi zingine wanakuza uchumi wa nchi zao kwa kutuma nyumbani kwao mabilioni ya kuanzisha viwanda na biashara ila sisi hatumo tunabanana hapa hapa bongo na bado tunafungua tu vyuo na tatizo la ajira linazidi kukua tusubiri tufike milioni mia vijana wasio na ajira wafike milioni 30 waanze fujo! Bongo hapatakalika!

Kukamilika SGR na Nyerere Dam kutapunguza makali ya shida!

Jambo zuri baada ya miaka 50 wazee wengi wabishi wanaweza kuwa wamefutika katika uso wa dunia na kuzikwa na kiswahili chao!
Allahu Aalam.
 
Yaani hapa bongo bhana tuna vipaji vingi sana tena watu wa maana umewahi kufikiria kwanini hatuvumi sana kimataifa na dunia kiujumla.Hii ni kwasababu ya lungha tunayotumia kama Lungha ya taifa umewahi kufikiria labda ENGLISH ingekuwa ndo lugha yetu ya taifa yaani Kwanza tungekuwa na lafuzi nzuri ya kiingereza kuliko mataifa mengi ya kiafrika yanayozungunza English,tena kungekuwa na fursa nyingi kuliko sasa kama umewahi kuchunguza mataifa mengi wanayozungumza kiingereza wazungu huwa Wana antention nayo kuliko Yale yasiyo zungumza lugha hiyo lakin pia hata Yale mataifa yasiyozungumza kiingereza yanapokuja kwenye taifa letu bado unakuta wanaongea kiingereza tena utazani ni waingereza.Tunamsifia mwalimu Kwa kuliungalinisha ili taifa Kwa luga moja lakin Mimi nasema ilikuwa ni Kwa maslahi yake binafsi kwanini hakutumia kiingereza kutuunganisha ,je umewahi kufikiria kwanini wananchi wa taifa hili ni washamba alafu wanauelewa mdogo wa mambo ukiachillia mbali wale waliosoma soma kidogo ni kwasababu hata sources nyingi zinazofungua uelewa wa watu bado zimeandikwa Kwa kiingereza.MI NA HITIMISHA KWA KUSEMA ILIKUWA MISTAKE KUBWA MNO.
Hamna kitu kingebadilika kwny kuongea,uyo mkurya angeuachanga kwa accent yake bila kumsahau msukuma, muhimu tubak na kiswahili chetu afu kila mtu abak na juhudi binafsi za kuzisaka lugha nyngne anazoona zinamanufaa kwake
 
Yaani hapa bongo bhana tuna vipaji vingi sana tena watu wa maana umewahi kufikiria kwanini hatuvumi sana kimataifa na dunia kiujumla.Hii ni kwasababu ya lungha tunayotumia kama Lungha ya taifa umewahi kufikiria labda ENGLISH ingekuwa ndo lugha yetu ya taifa yaani Kwanza tungekuwa na lafuzi nzuri ya kiingereza kuliko mataifa mengi ya kiafrika yanayozungunza English,tena kungekuwa na fursa nyingi kuliko sasa kama umewahi kuchunguza mataifa mengi wanayozungumza kiingereza wazungu huwa Wana antention nayo kuliko Yale yasiyo zungumza lugha hiyo lakin pia hata Yale mataifa yasiyozungumza kiingereza yanapokuja kwenye taifa letu bado unakuta wanaongea kiingereza tena utazani ni waingereza.Tunamsifia mwalimu Kwa kuliungalinisha ili taifa Kwa luga moja lakin Mimi nasema ilikuwa ni Kwa maslahi yake binafsi kwanini hakutumia kiingereza kutuunganisha ,je umewahi kufikiria kwanini wananchi wa taifa hili ni washamba alafu wanauelewa mdogo wa mambo ukiachillia mbali wale waliosoma soma kidogo ni kwasababu hata sources nyingi zinazofungua uelewa wa watu bado zimeandikwa Kwa kiingereza.MI NA HITIMISHA KWA KUSEMA ILIKUWA MISTAKE KUBWA MNO.
Hii ni kweli kabisa, kiswahili kinatufelisha Sana. Tunakosa fursa nyingi za kimataifa kwa sababu ya lugha
 
Kwasasa hali inaendelea kubadilika, maarifa yanatafsiliwa kwa kiasi kikubwa, tech imeongezeka walau kwa sasa watu wanapata maarifa na habari za ughaibuni.

Kiswahili sio kibaya ila ni vile tu viongozi wetu ni wabinafsi kupita kiasi, wanapenda wananchi wabaki na ujinga ili waendelee kuwatawala vizuri.

Na ni kweli maarifa mengi yapo kwenye lugha ya kiingereza.
 
Yaani hapa bongo bhana tuna vipaji vingi sana tena watu wa maana umewahi kufikiria kwanini hatuvumi sana kimataifa na dunia kiujumla.Hii ni kwasababu ya lungha tunayotumia kama Lungha ya taifa umewahi kufikiria labda ENGLISH ingekuwa ndo lugha yetu ya taifa yaani Kwanza tungekuwa na lafuzi nzuri ya kiingereza kuliko mataifa mengi ya kiafrika yanayozungunza English,tena kungekuwa na fursa nyingi kuliko sasa kama umewahi kuchunguza mataifa mengi wanayozungumza kiingereza wazungu huwa Wana antention nayo kuliko Yale yasiyo zungumza lugha hiyo lakin pia hata Yale mataifa yasiyozungumza kiingereza yanapokuja kwenye taifa letu bado unakuta wanaongea kiingereza tena utazani ni waingereza.Tunamsifia mwalimu Kwa kuliungalinisha ili taifa Kwa luga moja lakin Mimi nasema ilikuwa ni Kwa maslahi yake binafsi kwanini hakutumia kiingereza kutuunganisha ,je umewahi kufikiria kwanini wananchi wa taifa hili ni washamba alafu wanauelewa mdogo wa mambo ukiachillia mbali wale waliosoma soma kidogo ni kwasababu hata sources nyingi zinazofungua uelewa wa watu bado zimeandikwa Kwa kiingereza.MI NA HITIMISHA KWA KUSEMA ILIKUWA MISTAKE KUBWA MNO.
Andiko lako ungeliweka kwenye kiinglish huenda ungeeleweka vizuri.
Mie hata sijaelewa unachomaanisha!
😃😃🙌
 
moja kati ya kosa kubwa alilofanya nyerere,ambalo linagharimu vizazi,ni hili la kuruhusu lugha ya kiswahili iwe ya taifa na itumike kufundishia kuanzia chekechea mpaka sekondari.

sitokuja kumsamehe ktk hili bila kujari faida za kiswahili.
 
Andiko lako ungeliweka kwenye kiinglish huenda ungeeleweka vizuri.
Mie hata sijaelewa unachomaanisha!
😃😃🙌
Mi siyo artist mzur na uwo udhifu wangu nautambua pia lakin haujanizuia kupost kwakuwa najua wapo watakaoelewa
 
Ni upuuzi kuamini kiingereza kuwa lugha ya taifa letu, nchi nyingi duniani hawatumii km lugha kuu na wanapiga hatua nenda nchi za Asia
 
Ka
Ni upuuzi kuamini kiingereza kuwa lugha ya taifa letu, nchi nyingi duniani hawatumii km lugha kuu na wanapiga hatua nenda nchi za Asia
Kama ni upuuzi kwanini viongozi wanapeleka watoto international school na English medium school
 
Wakenya na Waganda waliikumbatia hiyo lugha ya Kiingereza! Lakini kwa sasa na wenyewe wanarudi kwenye Kiswahili! Sasa utasemaje lilikuwa kosa?

Jivunie lugha yako ya Kiswahili wewe! Achana na mambo ya ukoloni mamboleo.
Mi naona hata mataifa ya kigen ambayo hayazungumzi kizungu unaeza okota Tu MTU randomly ukamuoji kiingereza na akazungumza fresh lakin APA bongo hata Yule aliye fika form iv anasikia tena baadhi ya vocabulary lakin kuongea ni mziki kwahiyo Sisi tumeasarika Kwa kiwango kikubwa kikubwa
 
English Ni lugha ya kibishara inazungumzwa na wengi duniani lkn hakuna ulazima wa kuifanya lugha Yetu kuu, inatakiwa Watu wajifunze iwasaidie ktk muingilano na mataifa mengine na bado kiswahili ikabaki lugha ya taifa Ndio identity Yetu

China wanaongea Chinese km lugha Yao kuu lkn hujifunza kiingereza kwa kusaka masoko ya nje.

Shida ya bongo hatujatilia mkazo kujifunza kiingereza bado tuwe serious, broken sana
 
English Ni lugha ya kibishara inazungumzwa na wengi duniani lkn hakuna ulazima wa kuifanya lugha Yetu kuu, inatakiwa Watu wajifunze iwasaidie ktk muingilano na mataifa mengine na bado kiswahili ikabaki lugha ya taifa Ndio identity Yetu

China wanaongea Chinese km lugha Yao kuu lkn hujifunza kiingereza kwa kusaka masoko ya nje.

Shida ya bongo hatujatilia mkazo kujifunza kiingereza bado tuwe serious, broken sana
Lakin huon ingetuwia vyepesi kuliko kujifunza luga mpya ukubwani na kushindwa kunatokana na mazingira tuliyonayo
 
Mi siyo artist mzur na uwo udhifu wangu nautambua pia lakin haujanizuia kupost kwakuwa najua wapo watakaoelewa
Basi ndio maana huoni umuhimu wa lugha ya kiswahili, maana inaweza kuwa hukifahamu vema!
Bila kiswahili hata hii thread usingeweza kuiandika. Kongole kwa baba wa taifa kwa kuasisi na kuendeleza lugha tamu ya kiswahili
 
asili ni asili! mmmuhumba leo umezungumzia suala la kujiamini, unayaona mawazo kama haya??

ni mataifa mengi mno hayaongei kiinglish na yamepiga hatua

tuanze na china
 
Lakin umewahi kufikiria msanii kama diamond angekuwa amekulia nchi inayongea English pure hata SASA anaongea lakin hawezi kukitumia kwenye nyimbo na akaweka vionjo kama anavyofanya kwenye Kiswahili ingekuwa angekuwa msanii mkubwa kuliko tunavyomjua saiv
 
Mkuu kiingereza kinaweza kufanya vzr km kikatiliwa mkazo ktk kujifunza kuzungumza na kuandika
SEMA hatujawa serious Sana kwa kweli kwenye kujifunza tunaichukulia Kama lugha ya ziada, lkn haimaanishi Watu wakiache kiswahili Kama national cultural identity maana tumejitengenezea toka enzi na kusema Kweli sijaona ubaya wake kuwa lugha ya taifa maana inafahamika mahali pengi nchini na nje ya Afrika inazidi kushika Kasi Sana
Kiswahili hakizuui nchi kuendelea Mkuu
 
Lakin umewahi kufikiria msanii kama diamond angekuwa amekulia nchi inayongea English pure hata SASA anaongea lakin hawezi kukitumia kwenye nyimbo na akaweka vionjo kama anavyofanya kwenye Kiswahili ingekuwa angekuwa msanii mkubwa kuliko tunavyomjua saiv
asili ni asili! mmmuhumba leo umezungumzia suala la kujiamini, unayaona mawazo kama haya??

ni mataifa mengi mno hayaongei kiinglish na yamepiga hatua

tuanze na china
Mkuu ngoja nikuambie kitu Sisi hatuwezi kujifananisha na China moja Kwa moja au ujerumani we unazani kwann Sisi bhado maskini kama wengi ukiwauliza watakuambia vita ya Tanzania na idiamini ujerumani amepigana vita ngapi tena akashindwa akafilisiwa na kufilisiwa lakin Leo nitaifa linaloongoza kiuchumi ulaya nzima kama ni ukolony hata China imewahi kuwa kolony tena la mataifa tofauti tofauti lakini ni wapili kiuchumi duniani mi nakuambia hatulingani kama mwanamke alivo halingani mwanaume hata msaada utakao mpa mwanamke siyo ndo utakao mpa mwanaume na vice versa ni kweli
 
Back
Top Bottom