Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Ukisikia kwenye vipindi vya Radio na Tv na mijadala mbalimbali jinsi Kiswahili kinavyokuzwa na huku Wakikiponda Kiingereza, utadhani Kiswahili ni lugha moja iliyoenea sana
Ila Kumbe ukienda nchi ambayo tunapakana nayo kabisa, Malawi hapo licha ya kuwa tume interact kwa miaka zaidi ya 55 sasa bado Kiswahili hakieleweki huko, Ushahidi ni hapo TBC, wanaongea English na kilugha chao, Magufuli mwenyewe ilibidi aongee Kiingereza na rais wao jana, na hata leo alipoona kuongea Kiingereza muda mrefu pengine itakuwa changamoto akaongea Kiswahili ilibidi kuwepo na mkalimani ili awatafsirie watu wa Malawi kwa Kiingereza..!
Kiingereza kinapondwa sana kuwa ni lugha ya wakoloni haifai lakini ndio lugha inayotuunganisha Waafrika, yaani sisi Majirani wetu wa karne nyingi hapo Malawi hatuwezi kuwasiliana pasipo Kiingereza, ukienda majirani wengine pia hapo Uganda, Zambia, Rwanda bado hutaeleweka na wengi usipozungumza Kiingereza
So tusijidanganye Kiswahili eti ni lugha kubwa wakati inazungumzwa na nchi moja na nusu tu..! Yaani Tanzania na Kenya, Kenya wanaongea English zaidi kuliko Kiswahili, habari zao na mijadala inaongelewa kwa Kiingereza kuliko Kiswahili, Wakenya kwenye mitandao ya kijamii, Magazeti, Tv n.k wanatumia English kuliko Kiswahili
So Kiswahili kwa sasa ni kama lugha ya Tanzania tu na wala sio Afrika Masahariki achilia mbali Afrika ambako ndio baadhi ya watu wanasema
Tuachane na pride, tujifunze English.. Tukikuza Kiswahili chetu ni muhimu japo sijaona ushaishi wa Tanzania Kiuchumi au kiutamaduni utakaofanya Waafrika wengine wengi wakihitaji na kujifunza...
Sana sana wanaojifunza wanajifunza sio kwa kuwa wanakihitaji bali wanajifunza tu kwa udadisi kama amabavyo wazungu wanavyoweza kujifunza Ki Yoruba au Kichewa au Ki Twa
Ila Kumbe ukienda nchi ambayo tunapakana nayo kabisa, Malawi hapo licha ya kuwa tume interact kwa miaka zaidi ya 55 sasa bado Kiswahili hakieleweki huko, Ushahidi ni hapo TBC, wanaongea English na kilugha chao, Magufuli mwenyewe ilibidi aongee Kiingereza na rais wao jana, na hata leo alipoona kuongea Kiingereza muda mrefu pengine itakuwa changamoto akaongea Kiswahili ilibidi kuwepo na mkalimani ili awatafsirie watu wa Malawi kwa Kiingereza..!
Kiingereza kinapondwa sana kuwa ni lugha ya wakoloni haifai lakini ndio lugha inayotuunganisha Waafrika, yaani sisi Majirani wetu wa karne nyingi hapo Malawi hatuwezi kuwasiliana pasipo Kiingereza, ukienda majirani wengine pia hapo Uganda, Zambia, Rwanda bado hutaeleweka na wengi usipozungumza Kiingereza
So tusijidanganye Kiswahili eti ni lugha kubwa wakati inazungumzwa na nchi moja na nusu tu..! Yaani Tanzania na Kenya, Kenya wanaongea English zaidi kuliko Kiswahili, habari zao na mijadala inaongelewa kwa Kiingereza kuliko Kiswahili, Wakenya kwenye mitandao ya kijamii, Magazeti, Tv n.k wanatumia English kuliko Kiswahili
So Kiswahili kwa sasa ni kama lugha ya Tanzania tu na wala sio Afrika Masahariki achilia mbali Afrika ambako ndio baadhi ya watu wanasema
Tuachane na pride, tujifunze English.. Tukikuza Kiswahili chetu ni muhimu japo sijaona ushaishi wa Tanzania Kiuchumi au kiutamaduni utakaofanya Waafrika wengine wengi wakihitaji na kujifunza...
Sana sana wanaojifunza wanajifunza sio kwa kuwa wanakihitaji bali wanajifunza tu kwa udadisi kama amabavyo wazungu wanavyoweza kujifunza Ki Yoruba au Kichewa au Ki Twa