Kiswahili kumbe hakieleweki hata hapo kwa jirani Malawi, tunakikuza kuliko uhalisia, ni ajabu

Kiswahili kumbe hakieleweki hata hapo kwa jirani Malawi, tunakikuza kuliko uhalisia, ni ajabu

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Ukisikia kwenye vipindi vya Radio na Tv na mijadala mbalimbali jinsi Kiswahili kinavyokuzwa na huku Wakikiponda Kiingereza, utadhani Kiswahili ni lugha moja iliyoenea sana

Ila Kumbe ukienda nchi ambayo tunapakana nayo kabisa, Malawi hapo licha ya kuwa tume interact kwa miaka zaidi ya 55 sasa bado Kiswahili hakieleweki huko, Ushahidi ni hapo TBC, wanaongea English na kilugha chao, Magufuli mwenyewe ilibidi aongee Kiingereza na rais wao jana, na hata leo alipoona kuongea Kiingereza muda mrefu pengine itakuwa changamoto akaongea Kiswahili ilibidi kuwepo na mkalimani ili awatafsirie watu wa Malawi kwa Kiingereza..!

Kiingereza kinapondwa sana kuwa ni lugha ya wakoloni haifai lakini ndio lugha inayotuunganisha Waafrika, yaani sisi Majirani wetu wa karne nyingi hapo Malawi hatuwezi kuwasiliana pasipo Kiingereza, ukienda majirani wengine pia hapo Uganda, Zambia, Rwanda bado hutaeleweka na wengi usipozungumza Kiingereza

So tusijidanganye Kiswahili eti ni lugha kubwa wakati inazungumzwa na nchi moja na nusu tu..! Yaani Tanzania na Kenya, Kenya wanaongea English zaidi kuliko Kiswahili, habari zao na mijadala inaongelewa kwa Kiingereza kuliko Kiswahili, Wakenya kwenye mitandao ya kijamii, Magazeti, Tv n.k wanatumia English kuliko Kiswahili

So Kiswahili kwa sasa ni kama lugha ya Tanzania tu na wala sio Afrika Masahariki achilia mbali Afrika ambako ndio baadhi ya watu wanasema

Tuachane na pride, tujifunze English.. Tukikuza Kiswahili chetu ni muhimu japo sijaona ushaishi wa Tanzania Kiuchumi au kiutamaduni utakaofanya Waafrika wengine wengi wakihitaji na kujifunza...

Sana sana wanaojifunza wanajifunza sio kwa kuwa wanakihitaji bali wanajifunza tu kwa udadisi kama amabavyo wazungu wanavyoweza kujifunza Ki Yoruba au Kichewa au Ki Twa
 
Kinazungumzwa Mpakani, hata msumbiji kinazungumzwa Mpakani...ndani hakipo
Yaani nchi ambazo angalau 30% ya wananchi wake wanazungumza Kiswahili ni Tanzania na Kenya tu, wengine hata 5% hawafiki japo ni majirani zetu
 
Ukisikia kwenye vipindi vya Radio na Tv na mijadala mbalimbali jinsi Kiswahili kinavyokuzwa na huku Wakikiponda Kiingereza, utadhani Kiswahili ni lugha moja iliyoenea sana

Ila Kumbe ukienda nchi ambayo tunapakana nayo kabisa, Malawi hapo licha ya kuwa tume interact kwa miaka zaidi ya 55 sasa bado Kiswahili hakieleweki huko, Ushahidi ni hapo TBC, wanaongea English na kilugha chao, Magufuli mwenyewe ilibidi aongee Kiingereza na rais wao jana, na hata leo alipoona kuongea Kiingereza muda mrefu pengine itakuwa changamoto akaongea Kiswahili ilibidi kuwepo na mkalimani ili awatafsirie watu wa Malawi kwa Kiingereza..!

Kiingereza kinapondwa sana kuwa ni lugha ya wakoloni haifai lakini ndio lugha inayotuunganisha Waafrika, yaani sisi Majirani wetu wa karne nyingi hapo Malawi hatuwezi kuwasiliana pasipo Kiingereza, ukienda majirani wengine pia hapo Uganda, Zambia, Rwanda bado hutaeleweka na wengi usipozungumza Kiingereza

So tusijidanganye Kiswahili eti ni lugha kubwa wakati inazungumzwa na nchi moja na nusu tu..! Yaani Tanzania na Kenya, Kenya wanaongea English zaidi kuliko Kiswahili, habari zao na mijadala inaongelewa kwa Kiingereza kuliko Kiswahili, Wakenya kwenye mitandao ya kijamii, Magazeti, Tv n.k wanatumia English kuliko Kiswahili

So Kiswahili kwa sasa ni kama lugha ya Tanzania tu na wala sio Afrika Masahariki achilia mbali Afrika ambako ndio baadhi ya watu wanasema

Tuachane na pride, tujifunze English.. Tukikuza Kiswahili chetu ni muhimu japo sijaona ushaishi wa Tanzania Kiuchumi au kiutamaduni utakaofanya Waafrika wengine wengi wakihitaji na kujifunza...

Sana sana wanaojifunza wanajifunza sio kwa kuwa wanakihitaji bali wanajifunza tu kwa udadisi kama amabavyo wazungu wanavyoweza kujifunza Ki Yoruba au Kichewa au Ki Twa
Tukisema KIZUNGU kinampiga chenga mnakataa na mwenyewe anakataa. Ukikumbuka presentation shuleni, utatambua kama mzungumzaji anaelewa lugha au amekariri tu
 
Mbaya zaidi wakati wakingangania kiswahili kifundishwe hadi chuo kikuu, viongozi hao hao wanapeleka watoto wao English Medium school, na International schools,, wakati watoto wa walalahoi wapo Kayumba.


Nahisi huu ni makakati watoto wa walalahoi waendelee kuwa hoi.

Otherwise kwann tusifanye English kuwa ndo media ya kufundishia masomo yote kuanzia primary mpaka chuo kikuu?
 
Takwimu zimeongopa?

Niliangalia BBC kipindi kilichoonesha wazungu huko Marekani wakiwa darasani wanajifunza Kiswahili.

Kiswahili kimeonekana kwenye Muvi inaitwa Vishwatma.

Kimesikika kwenye Nemesis 2 Nebula.

Kimesikika kwenye wimbo wa Michael Jackson.

Kimesikika kwenye American Pie.

Kimesikika kwenye Primeval.

Kimesikika kwenye Get Out.

Last time I checked Kiswahili ni lugha ya pili kuzungumzwa na watu wengi kwa Afrika lugha Ya kwanza ni kiarabu.
 
Kachek tena fact zakoo mkuu
Takwimu zimeongopa?

Niliangalia BBC kipindi kilichoonesha wazungu huko Marekani wakiwa darasani wanajifunza Kiswahili.

Kiswahili kimeonekana kwenye Muvi inaitwa Vishwatma.

Kimesikika kwenye Nemesis 2 Nebula.

Kimesikika kwenye wimbo wa Michael Jackson.

Kimesikika kwenye American Pie.

Kimesikika kwenye Primeval.

Kimesikika kwenye Get Out.

Last time I checked Kiswahili ni lugha ya pili kuzungumzwa na watu wengi kwa Afrika lugha Ya kwanza ni kiarabu.
 
Mkuu naheshimu sana maoni yako. Kiswahili kinazungumzwa katika nchi nyingi ingawa sio kama Kiingereza, Kifaransa na Kiarabu. Kutafsiri lugha moja kwenda nyengine ina maana zaidi ya kwamba lugha hiyo haieleweki, hivyo na Kiswahili ni vivyo hivyo. Lugha ya Taifa Malawi si Kiswahili wala Kiswahili sio lugha nchini humo, hivyo wananchi wanatafsiriwa ama kwa lugha ya taifa au lugha rasmi. Nakipenda Kiswahili. Hongera uncle kwa hili hata kama lugha ya mama inakupiga chenga, hapa umeonesha njia.
 
Takwimu zimeongopa?

Niliangalia BBC kipindi kilichoonesha wazungu huko Marekani wakiwa darasani wanajifunza Kiswahili.

Kiswahili kimeonekana kwenye Muvi inaitwa Vishwatma.

Kimesikika kwenye Nemesis 2 Nebula.

Kimesikika kwenye wimbo wa Michael Jackson.

Kimesikika kwenye American Pie.

Kimesikika kwenye Primeval.

Kimesikika kwenye Get Out.

Last time I checked Kiswahili ni lugha ya pili kuzungumzwa na watu wengi kwa Afrika lugha Ya kwanza ni kiarabu.
Mzee Kiswahili hakipimwi kwa kuongelewa sijui Marekani au Ulaya, hao wanajifunza lugha nyingi sana just for curiosity sababu ni wadadisi, Marekani wanajifunza hadi lugha za karne ya 10 ambazo zimepotea siku hizi na wanazitumia hadi kwenye movie, sembeuse Kiswahili..Wanajifunza vilugha vingi sana vidogo sio kuwa wanavihitaji bali ni katika tafiti zao na udadisi

Kiswahili kama kingekuwa kimekuwa kweli watu wangejifunza kwa kuwa wanakihitaji sio kujifunza for the sake of curiosity,

Waafrika wanaotuzunguka ndio watu wa kwanza wanaotakiwa kujua Kiswahili kama kweli Kiswahili kinapanuka, sio watu wa mbali huko ambao hatuna interaction nao
 
Mbaya zaidi wakati wakingangania kiswahili kifundishwe hadi chuo kikuu, viongozi hao hao wanapeleka watoto wao English Medium school, na International schools,, wakati watoto wa walalahoi wapo Kayumba.


Nahisi huu ni makakati watoto wa walalahoi waendelee kuwa hoi.

Otherwise kwann tusifanye English kuwa ndo media ya kufundishia masomo yote kuanzia primary mpaka chuo kikuu?

Point sana hii mkuu.

Natamani kujua mtoto gani wa mkubwa huko serikalini anasoma kayumba.
 
Takwimu zimeongopa?

Niliangalia BBC kipindi kilichoonesha wazungu huko Marekani wakiwa darasani wanajifunza Kiswahili.

Kiswahili kimeonekana kwenye Muvi inaitwa Vishwatma.

Kimesikika kwenye Nemesis 2 Nebula.

Kimesikika kwenye wimbo wa Michael Jackson.

Kimesikika kwenye American Pie.

Kimesikika kwenye Primeval.

Kimesikika kwenye Get Out.

Last time I checked Kiswahili ni lugha ya pili kuzungumzwa na watu wengi kwa Afrika lugha Ya kwanza ni kiarabu.

Kwanini viongozi wa serikali/upinzani/vigogo hawapeleki watoto wao hizi shule zenye mitaala ya Kiswahili?

maana inaonekana kumbe kiswahili ni big deal sana huko duniani mkuu.
 
Mzee Kiswahili hakipimwi kwa kuongelewa sijui Marekani au Ulaya, hao wanajifunza lugha nyingi sana just for curiosity sababu ni wadadisi, Marekani wanajifunza hadi lugha za karne ya 10 ambazo zimepotea siku hizi na wanazitumia hadi kwenye movie, sembeuse Kiswahili..Wanajifunza vilugha vingi sana vidogo sio kuwa wanavihitaji bali ni katika tafiti zao na udadisi

Kiswahili kama kingekuwa kimekuwa kweli watu wangejifunza kwa kuwa wanakihitaji sio kujifunza for the sake of curiosity,

Waafrika wanaotuzunguka ndio watu wa kwanza wanaotakiwa kujua Kiswahili kama kweli Kiswahili kinapanuka, sio watu wa mbali huko ambao hatuna interaction nao
Nikikuonesha wamalawi wanaojua kiswahili itahalalisha mimi kudai kiswahili kimepanuka Afrika?

Makanisani utakuta mhubiri anaongea kiingereza na mkalimani anatafsiri kwa kiswahili. Ndio kusema umati wote haujui kiingereza?
 
Mkuu naheshimu sana maoni yako. Kiswahili kinazungumzwa katika nchi nyingi ingawa sio kama Kiingereza, Kifaransa na Kiarabu. Kutafsiri lugha moja kwenda nyengine ina maana zaidi ya kwamba lugha hiyo haieleweki, hivyo na Kiswahili ni vivyo hivyo. Lugha ya Taifa Malawi si Kiswahili wala Kiswahili sio lugha nchini humo, hivyo wananchi wanatafsiriwa ama kwa lugha ya taifa au lugha rasmi. Nakipenda Kiswahili. Hongera uncle kwa hili hata kama lugha ya mama inakupiga chenga, hapa umeonesha njia.
sasa mbona hueleweki Mkuu? Kiswahili kinazungumzwa nchi nyingi wakati hata majirani wa karibu tu hapo hawakijui?
Au kwa kuwa unaona wazungu wakizungumza Kiswahili unasema basi kimeenea Duniani? Wazungu wanazungumza hadi kinyarwanda, so utasema kinyarwanda kimeenea Duniani?
 
Mzee Kiswahili hakipimwi kwa kuongelewa sijui Marekani au Ulaya, hao wanajifunza lugha nyingi sana just for curiosity sababu ni wadadisi, Marekani wanajifunza hadi lugha za karne ya 10 ambazo zimepotea siku hizi na wanazitumia hadi kwenye movie, sembeuse Kiswahili..Wanajifunza vilugha vingi sana vidogo sio kuwa wanavihitaji bali ni katika tafiti zao na udadisi

Kiswahili kama kingekuwa kimekuwa kweli watu wangejifunza kwa kuwa wanakihitaji sio kujifunza for the sake of curiosity,

Waafrika wanaotuzunguka ndio watu wa kwanza wanaotakiwa kujua Kiswahili kama kweli Kiswahili kinapanuka, sio watu wa mbali huko ambao hatuna interaction nao
Umejifunza lugha ngapi za makabila? Wao wanazungumza lugha yao mzee, ni kama wewe ambaye unajua lugha ya kabila lako lakini kabila jirani haufahamu.
 
Back
Top Bottom