Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Kupitia shira la habari la BBC SWAHILI juzi .. niliona Kiswahili kimekua Lugha ya nne kutumika na wati kutoa maoni yao kwnye mitandao ya kijamii hususani Tweeter .
Ikiwa ya kwanza ni Kiingereza , ya pili Kiarabu, ya tatu Kiispania navya nne ni Kiswahili .
1.Je kwa takwimu hizo yapasa kuturidhisha kua kiswahili kinakua kwa kasi .
2.Je mitandao hiyo inakuza kwa kutupatia misamiati mipya au inaua misamiati ya zamani na kuleta ludha za kihuni .
Ikiwa ya kwanza ni Kiingereza , ya pili Kiarabu, ya tatu Kiispania navya nne ni Kiswahili .
1.Je kwa takwimu hizo yapasa kuturidhisha kua kiswahili kinakua kwa kasi .
2.Je mitandao hiyo inakuza kwa kutupatia misamiati mipya au inaua misamiati ya zamani na kuleta ludha za kihuni .