Hahaha I know.
I wish ningekuwaga na mavumba...mkwanja...manoti. Anasema he wish he would be rich. Yaani i wish ningekuwanga na pesa....'mavumba'...'mkwanja'....'manoti' (bank notes) hizi ni a.k.a za pesa kwa lugha za mtaani huku Tz.
Au niwe fundi wa kuigiza ka' Kanumba. Anasema "Au angekuwa anajua ku act (maigizo) kama late Steven Kanumba...Kanumba was best actor before his death in 2012. Tafuta movie zake za Bongo Movie hata youtube unaweza ona some clips. Also Masanja and Joti....these two are famous comedians in Tz almost kila mtu anawajua. Just like yule Omondi wa kwenu.
Sent using
Jamii Forums mobile app