KiSwaHili ni Lugha ya Pili Afrika

2013

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
11,360
Reaction score
6,069
Nimesoma leo kwenye TV Channel E wanasema Lugha ya kiswahili ni ya pili Africa baada yaLugha ya Kiarabu. Kiarabu ndiye lugha inayoongoza kwa kuzungumzwa na watu wengi Africa. Hii inamaanisha tumesha wapiku wanijeria (Kihausa) na kiingereza . Naimani uchumi wetu ukikuwa tutakuwa wakwaza soon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…