2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,360
- 6,069
Nimesoma leo kwenye TV Channel E wanasema Lugha ya kiswahili ni ya pili Africa baada yaLugha ya Kiarabu. Kiarabu ndiye lugha inayoongoza kwa kuzungumzwa na watu wengi Africa. Hii inamaanisha tumesha wapiku wanijeria (Kihausa) na kiingereza . Naimani uchumi wetu ukikuwa tutakuwa wakwaza soon.