Kitaalamu ina maana gani?

Hewalaaa ule ule na zile kucha zetu ndefu nzuriiii, ile taswira haijawahi futika kwenye huu ubongo walahiii

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ jamani

Halafu ule uzi nimeuangalia hapa siuoni zaidi ya malalamiko...kumbe ulifutwa
 
mods wakaona wanilete kwenye uzi wa mitiii...!! kuunga kwa mwanaume ukiwa na ugwadu kawaidaa..
 
Kuna kitu nimepata hapaaa!!
 
Nilishawahi aseee
Mie ni lover sana mbona...basi tu humu JF najikuta mgumu πŸ˜ƒ

Majibu ndio kama hayo ya walimwengu...nimepata hayohayo
Inaonekana unapenda sana kuikalia
 
Mwanaume haandaliwi kimwili unatakiwa umuandae kiakili tuu ili chuma ikisimama anatuliza humo na kuvumilia mazingira ya huko ndani, mwanamke anaandaliwa kimwili na kiakili

Kumuandaa mwanaume kunamfanya sexual drive zake zinakuajuu sana kiasi kwamba akiona hata jicho tuu anaweza kumwaga pasi na kuingiza ndani.


Kingine kama hajashiriki mapenzi mara kwa mara lazima pia awahi kumwaga ila kama kashiriki mapenzi mara kwa mara lazima achelewe sana kumwaga na awe mstaimilivu huko ndani.
 
Mkuu na pingana na wewe kwa 75%

Mimi na uwezo wa asili , napiga kipochi manyoya na kojoa huko ndani na bado mtambo unakua wima naunganisha, tena ninapo kojoa ndiyo unazidi kukaza kama unataka kupasuka vile na ninakua na umia kiasi kwamba sitaki mwanamke achomoke, napiga hata lisaa na nusu bao mbili mfululizo na chuma kinakua bado wima ila mwanamke anakataa kuendelea , kingine nilisha wahi mara nyingi sana kugairi katikati ya mchezo kupiga bao tatu maana hakuna mwanamke anaweza kuhimili hayo masaa ninayo chukua.

Pia hivi nilivyo ndiyo kukinifanya niache matumizi ya condom maana nikikojoa huku nimevaa condom kichwa cha mbioo kina uma kichizi .

Mara yangu ya mwisho kumkomoa mwanamke nilipiga bao tao , tatu niliunganisha nikashuka na kwenda kupooza injini ile nimekunywa tuu maji nikaunganisha mengine mawili net.. nilibaki kuambiwa sina UTU..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ jamani

Halafu ule uzi nimeuangalia hapa siuoni zaidi ya malalamiko...kumbe ulifutwa

Nasikia waliufuta Jo...waswahili walileta uswahili kama kawaida yetu

Nilikuwa participant mzuri zile siku za mwanzo tu, then baadaye nikaacha kufuatilia
 
NJOI moja BUKU tu mtoto UPWIRU wote unaisha

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nasikia waliufuta Jo...waswahili walileta uswahili kama kawaida yetu

Nilikuwa participant mzuri zile siku za mwanzo tu, then baadaye nikaacha kufuatilia
Mie pia
Nilikuwa nishausahau ule uzi
 

Noted mkuu
Nimekuelewa
 
Ngoja wajuzi wa mambo waje Cc ephen_
 
Ndiyo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…