USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Mandela aliiba nini /hata NyerereHakuna mwanasiasa asiye mwizi hapa duniani.
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mandela aliiba nini /hata NyerereHakuna mwanasiasa asiye mwizi hapa duniani.
Kinaitwa The power of positive thinking...nenda pdfdrive.com ka download Free
Mwalimu hakuiba kitu; na alikuwa mwanasiasa kwelikweli.Hakuna mwanasiasa asiye mwizi hapa duniani.
Wenye PDF ya kitabu wakuu msaada tafadhal
Wenye PDF ya kitabu wakuu msaada tafadhalii
Ndugu yangu,Aliyempelekea hicho kitabu Mbowe amefanya jambo la heri. Mbowe ana NEGATIVITY sana na utawala wa Samia. Hivyo basi akimaliza kusoma kitamsaidia kuishi kama raia mwema
Sheria ina wapa fair kwa watu wenye miaka 60 pamoja na wagonjwa.Halafu,mbona mheshimiwa Mbowe hana pingu?.
Huyu jamaa Huwa nasikia wakimwita Lumumba buku 7.......Nikajua unataka kijulipua ,huwa magaidi wanasema kiarabu Kisha wanajilipua
USSR
Kesi ya Mbowe ni unfortunate but gaidi Hana Alama
na baadhi ni magaidiHakuna mwanasiasa asiye mwizi hapa duniani.
Ukweli gani na haki anayoisimamia Mbowe, au unafuata #Hashtag za Mbowe siyo gaidi? Mbowe angekuwa mtu wa haki angeruhusu Chacha Wangwe agombee mwaka 2008/09! Mbowe añgekuwa mtu wa haki asingemfukuza Zitto Kabwe alipotaka kugombea Uenyekiti mwaka 2010.Ndugu yangu,
Positive thinking sio tu kuwa mtu wa kufurahisha watu, ni zaidi hapo.
The power of thinking ni uwezo wa kujenga uimara, ujasiri na mitazamo ya ushindi dhidi ya mapito, changamoto na matatizo katika maisha, Ikiwamo kutoogopa kuinuka na kusema ukweli ili kusimamia HAKI. AMEN
Tayari kwa lipi?au yale myawezayo zaidi?Hao askari ni wakakamavu kweli wapo tayari
Ugaidi ni sehemu ya siasa ndio maana Taleban wanaongoza serikali ya Agghanstan!Kesi ya Mbowe ni unfortunate but gaidi Hana Alama
na baadhi ni magaidi
Kwa mbambikiaji yeyote,atataka kuhalalisha ubambikiaji wake kwa kuyasema yasio mazuri dhidi ya anaye mlenga.Ukweli gani na haki anayoisimamia Mbowe, au unafuata #Hashtag za Mbowe siyo gaidi? Mbowe angekuwa mtu wa haki angeruhusu Chacha Wangwe agombee mwaka 2008/09! Mbowe añgekuwa mtu wa haki asingemfukuza Zitto Kabwe alipotaka kugombea Uenyekiti mwaka 2010.
Mbowe añgekuwa mtu wa haki asingemnyang'anya Dr Slaa haki ya kugombea uRais wa Tanzania mwaka 2015 na kumpa Lowassa baada ya Lowassa kumpa Tsh 10 Billion
Poa gaidiUgaidi ni sehemu ya siasa ndio maana Taleban wanaongoza serikali ya Agghanstan!
Agghanistan ni taifa jipya lipo bara gani.Ugaidi ni sehemu ya siasa ndio maana Taleban wanaongoza serikali ya Agghanstan!
Pitia hiyo hapoWenye PDF ya kitabu wakuu msaada tafadhalii
Duniani!Agghanistan ni taifa jipya lipo bara gani.
Hata subuhanau wataalah anajua wallahNinachoweza kusema ni kwamba: Wallah, wabillah Mbowe si gaidi.
Bara la giza ni vita visivyoisha. Huko ni kichapo mwanzo mwisho.Agghanistan ni taifa jipya lipo bara gani.
Huko bila shaka giza limeletwa na uovu wa wajuaji wa huko, hapa kwetu vipi? Mwanga giza.Bara la giza ni vita visivyoisha. Huko ni kichapo mwanzo mwisho.