Kitabu: C.R. Kothari , Reasearch Methodology: Methods and Techniques (2nd revised edition)

Kitabu: C.R. Kothari , Reasearch Methodology: Methods and Techniques (2nd revised edition)

Tatizo wabongo wamezoea free Lunch, ndo maana piracy haiishi! wanapaswa kuvitafuta na kuvinunua ili waandishi wapate motisha ya kuendelea kuandika vingine vizuri! nafikiri ma GREAT THINKERs wanaelewa haya! wekezeni kwenye kuongeza maarifa jamani..SAWASAWA?? MBONA HAMWUOMBI TUWAMIMINIE BIA ZA BURE HUMU???:ballchain:

Umenena kweli mkuu. Sometimes ukipewa jina la Author unaweza kupata title zake zote. Tatizo wabongo hatutaki kujituma. Tunataka tutafuniwe tumeze!.
 
Ni kitabu kizuri sana. Kinapatika sana hata kwa wauza vitabu wa mitaani. Unaweza kukipata pale Ubungo bus terminal kwa wauzaji wa vitabu, bei si kubwa sana. Kama vipi unaweza fika mlimani city kuna duka linaitwa Scholastica utakipata.
 
U waukweli sana, kwa ku2juza 2 umetisha, 4 real unapenda maendeleo ya wengne na huna ubinafsi. Be blessed.
 
pole, if you are a researcher, your supervisor must be a KILAZA...na wewe ni bonge la Kilaza!:juggle:

una dharau mjomba.
kwan ukiwaeleza vtabu vya kusoma bila kuwakandia itakuwaje?

mmh wala aunog babuwewee....:A S-baby:


msomi unakosoa kwa hoja..unakosoa unaweka suluhisho..sasa i km KARIAKOOO babu walaaaaaa ainogi tena kwa swaga izi unaonekana wewe ndo kilaza tena champion kilaza of millenium:bange:km una nguvu njooo mwone vile dharau nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kichwan hewaaaaaaaaaaaa!!
 
Asante kumbe kuna mambo mazuri sana humu.

ahaha tembea uone usikae mndenyi tu

Idimi, again kama kawaida yako thanks for sharing this

I am discouraged na watu ambao wanaenda shule lakini hawajaelimika, tatizo la hiki kitabu ni nini? mtu afanye review kisha atoe criticism (fair) hapa na sio kuponda tu. Mtu unaponda na huku hujatuambia cha kwako ulichoandika ni kipi?
 
haagh! kitabu hicho ni chaka! kothari ni kama Nyambari Nyangwine wa India, lete vitabu vyenye Mashiko if you realy want wana JF to become real Social Scientists: anyway nafikiri kitawafaa sana watu wa CBE, Social Work, IFM and UDOM!:lol::lol:

jamani hebu tuwe na nidhamu na contribution za watu katika fani husika, the book is nice one kama kweli wajua research, halafu tuache ujivuni wa UDSM kwani hao CBE, Social Work, IFM na UDOM wao wananini kiasi kwamba watumie vitabu visivyo bora. For those who conduct research and have used this book definelty will recomend the book
 
jamani hebu tuwe na nidhamu na contribution za watu katika fani husika, the book is nice one kama kweli wajua research, halafu tuache ujivuni wa UDSM kwani hao CBE, Social Work, IFM na UDOM wao wananini kiasi kwamba watumie vitabu visivyo bora. For those who conduct research and have used this book definelty will recomend the book
Mkui huko UDSM wanakitumia sana hicho kitabu. Nimekitumia undergraduate na post graduate pia pale Mlimani. Ni kitabu cha kiada
 
Back
Top Bottom