Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Hivyo vitabu vina Version nyingi na zote zinapingana, jiulize kama biblia ilikataza kupunguza lolote kwanini hawa majambazi wa kirumi na waandishi wa biblia waliondoa vitabu vingi ambavyo mambo mengi humo hawataki yasemwe?, na ukweli mambo hayo ndio Maelezo ya mwanzo na mwisho wa maisha ya viumbe duniani.
Mfano Biblia na vitabu vya kidini vinaficha ukweli kuhusu chimbulo la Tofauti za Rangi za watu duniani, badala yake wanaleta ngonjera za kitoto kuwa Nuhu mtu mweupe kwa maelezo yao ndio baba wa Race zote dunian, jambo ambalo halimake sense, kiufupi haiwezekani mtu mweupe kumzaa mtu mweusi, hata kimuujiza haiwezekani.
Na kuhusu Malaika walioshuka duniani, hawakuwa 200, bali zaidi ya 200, na hawa ndio Baba wa hivi viumbe mnavyoviita majini,mizimu, Miungu, mapepo na kadharika.
Alafu hao chotara kati ya hao wanawake weusi na Fallen Angeles(malaika) hawakuwa wakubwa kiasi hicho wala hawakutokomezwa wote bali wapo waliopona na Kuingia ktk safina ya Nuhu(hili jambo hutoambiwa na dini zenu)
Na hao nephilims/machotara wa kibinadamu na kimalaika ndio chanzo ama chimbuko la watu wote weupe tofauti na mtu mweusi.
baadhi ya kundi lililofungwa ni hao malaika waliozaa na binadamu na baadhi kuzaa na wanyama hawa ndio waliopewa adhabu ya kifungo lkn wapo ambao hawakufungwa.
Baadhi ya waliozaa na wanyama walileta mseto ama viumbe chotara ambao hivi leo ndio hawa mapepo, majini na majina mengi muwaitavyo, na ndiomaana mapepo maumbo yao huwa ya hovyo, wapo wenye maumbo nusu mtu nusu samaki, nusu mtu nusu mbuzi, nusu mtu nusu farasi, nusu mtu nusu ndege, pia nusu mtu nusu popo hawa uzao wao ulikuwa kati ya malaika na wanyama ndio ukaja uzao huo.
Na kwa wakati huo hawa mapepo wote walikuwa na miili ya kimwili hivyo walikuwa wanaonekana Live tofauti na sasa ambapo hawana miili ya ulimwengu wa kimwili.
Baada ya gharika mapepo wote miili yao ya kimwili iliteketezwa na kubaki miili ya kiroho, na kitendo hiki kilifanywa kwa Mapenzi ya Muumba dhidi ya hawa viumbe ambao kama wangebaki na miili ya ulimwengu huu sidhani kama tungepona.
Agenda kuu ya hao malaika walioshuka dunian ilikuwa kubadiri uumbaji wa viumbe duniani kwa kubadiri kila kiumbe na kuleta mseto/chotara ili machotara hawa waumalize uzao Originala na kuutawala ulimwengu.
Hilo halikuwezekana, lkn kwakuwa baadhi ya nephilims(watu weupe) walipona ktk safina ya nuhu, basi hawa ndio chanzo na chimbuko la rangi zoote za wanadamu weupe, kuanzia wachina, wazungu ambao nao walizaana na kuzidi kuleta machotara wengi kama vile wahindi, waarabu na kadharika.
Hilo jambo/Agenda yao ya kuutawala ulimwengu kwa kuangamiza uzao Original/Asili na kuleta viumbe mseto bado huu mpango upo, ndiomaana wanaendelea kuleta species za viumbe mseto/kisasa kama vile mbegu za G.M.O kama vile mimea ya kisasa, wanyama wa kisasa, kuchochea uzazi kati ya watu weupe na weusi kilazima kupitia muingiliano ya watu Afrika, Ukimbizi, kupandikiza mataifa ya waarabu Afrika lengo kuu ni hilo Kuufanya ulimwengu mzima utawaliwe na viumbe feki.
Wazungu na wanadamu wote rangi nyeupe ni viumbe feki, hawakuwepo ktk Mpango wa Muumba kuishi duniani maana wao ni viumbe feki si viumbe wa asili, kiumbe wa asili ni mtu mweusi ambaye anapigwa vita kila angle asijitambue, kuanzia Kielimu, kiuchumi, kijamii na kubwa kabisa anapigwa ktk Angle ya kiimani kwa kumpandikizia hizo dini za uongo za ukristo na uislamu ili asahau uhalisia wake na historia yake.
Kitabu cha nuhu kweli kipo lakin hakihusiani na hayo matoleo yao ya uongo waliyoyasambaza nchi nyingi kongwe na baadhi mitandaoni, wanawapa Fake doctrines ili mjichanganye mpingane ninyi kwa ninyi.
Nuhu wa kweli alikuwa mtu mweusi, mwenye jina la Asili na lugha ya kitamaduni ya kiafrika, Aliishi hapa hapa Afrika na hakuwai kwenda nje ya Afrika.
Hata hiyo wanayoita safina dini zimedanganya uhalisia wake, ilikuwa mfano wa Nembo/Umbo maridali Afrika la Pyramid ambayo ujenzi wake hakuna mtu mweupe wala mtu mweusi anayeukana Uafrika anaeweza kupata wala kujua sayansi iliyotumika kujenga, maana Sayansi&technolojia hiyo ipo katika DNA halisi za mtu mweusi tu ambaye anafuata asili na sheria za Uungu wa mtu mweusi, tofauti na hapo hakuna awezaye kuja kujua wala kutambua hizi pyramids ziliundwa vipi, watasingizia sijui Aliens na takataka nyingi ili kuficha ukweli, lkn ukweli haufichiki, hao Aliensi kama kweli walijenga mbona hawarudi tena?.
Afrika tunaumia na kuteseka si kwamba hatuna akili, bali tunaishi nje ya mifumo yetu, Afrika ili iendelee nilazima tuActivate uasilia wetu na si kufuata mifumo ya hao demons watu weupe ambao hawana uwezo wala hawana UHALALI/HAKI ya kumfundisha mtu mweusi.
Mtu mweusi ndie Mungu wa rangi zoote, sasa unaanzaje kumfundisha Mungu wako? Unawezaje kumfundisha jambo fulani mtu ambaye aliishi duniani maelfu ya miaka na kuona maelfu ya matukio, then wewe wa juzi ujifanye umjuaji zaidi yake?.
Waafrika tunapotea sababu ya kuushusha Uungu wetu, kujidharau na kuruhusu hawo wajawa laana watu weupe watuoneshe maisha yako vipi wakati ni sisi ndio tulitakiwa kuwafunza wao maisha yako vipi.
Jitahidini mjifunze mambo mapya, msikatalie hizo ngonjera mlizokalilishwa kila siku kuhusu hii mifumo bandia ya maisha, kwa kizazi hiki cha technolojia mambo mengi yaliyofichwa yako wazi kabisa, ni wewe tu kuamua kufungua ufahamu wako uruhusu uyajue ambayo hukuyajua na pengine hutoyajua maana mifumo yetu hii bandia ya kikoloni hairuhusu tuyajue.
Wake up guys
Mfano Biblia na vitabu vya kidini vinaficha ukweli kuhusu chimbulo la Tofauti za Rangi za watu duniani, badala yake wanaleta ngonjera za kitoto kuwa Nuhu mtu mweupe kwa maelezo yao ndio baba wa Race zote dunian, jambo ambalo halimake sense, kiufupi haiwezekani mtu mweupe kumzaa mtu mweusi, hata kimuujiza haiwezekani.
Na kuhusu Malaika walioshuka duniani, hawakuwa 200, bali zaidi ya 200, na hawa ndio Baba wa hivi viumbe mnavyoviita majini,mizimu, Miungu, mapepo na kadharika.
Alafu hao chotara kati ya hao wanawake weusi na Fallen Angeles(malaika) hawakuwa wakubwa kiasi hicho wala hawakutokomezwa wote bali wapo waliopona na Kuingia ktk safina ya Nuhu(hili jambo hutoambiwa na dini zenu)
Na hao nephilims/machotara wa kibinadamu na kimalaika ndio chanzo ama chimbuko la watu wote weupe tofauti na mtu mweusi.
baadhi ya kundi lililofungwa ni hao malaika waliozaa na binadamu na baadhi kuzaa na wanyama hawa ndio waliopewa adhabu ya kifungo lkn wapo ambao hawakufungwa.
Baadhi ya waliozaa na wanyama walileta mseto ama viumbe chotara ambao hivi leo ndio hawa mapepo, majini na majina mengi muwaitavyo, na ndiomaana mapepo maumbo yao huwa ya hovyo, wapo wenye maumbo nusu mtu nusu samaki, nusu mtu nusu mbuzi, nusu mtu nusu farasi, nusu mtu nusu ndege, pia nusu mtu nusu popo hawa uzao wao ulikuwa kati ya malaika na wanyama ndio ukaja uzao huo.
Na kwa wakati huo hawa mapepo wote walikuwa na miili ya kimwili hivyo walikuwa wanaonekana Live tofauti na sasa ambapo hawana miili ya ulimwengu wa kimwili.
Baada ya gharika mapepo wote miili yao ya kimwili iliteketezwa na kubaki miili ya kiroho, na kitendo hiki kilifanywa kwa Mapenzi ya Muumba dhidi ya hawa viumbe ambao kama wangebaki na miili ya ulimwengu huu sidhani kama tungepona.
Agenda kuu ya hao malaika walioshuka dunian ilikuwa kubadiri uumbaji wa viumbe duniani kwa kubadiri kila kiumbe na kuleta mseto/chotara ili machotara hawa waumalize uzao Originala na kuutawala ulimwengu.
Hilo halikuwezekana, lkn kwakuwa baadhi ya nephilims(watu weupe) walipona ktk safina ya nuhu, basi hawa ndio chanzo na chimbuko la rangi zoote za wanadamu weupe, kuanzia wachina, wazungu ambao nao walizaana na kuzidi kuleta machotara wengi kama vile wahindi, waarabu na kadharika.
Hilo jambo/Agenda yao ya kuutawala ulimwengu kwa kuangamiza uzao Original/Asili na kuleta viumbe mseto bado huu mpango upo, ndiomaana wanaendelea kuleta species za viumbe mseto/kisasa kama vile mbegu za G.M.O kama vile mimea ya kisasa, wanyama wa kisasa, kuchochea uzazi kati ya watu weupe na weusi kilazima kupitia muingiliano ya watu Afrika, Ukimbizi, kupandikiza mataifa ya waarabu Afrika lengo kuu ni hilo Kuufanya ulimwengu mzima utawaliwe na viumbe feki.
Wazungu na wanadamu wote rangi nyeupe ni viumbe feki, hawakuwepo ktk Mpango wa Muumba kuishi duniani maana wao ni viumbe feki si viumbe wa asili, kiumbe wa asili ni mtu mweusi ambaye anapigwa vita kila angle asijitambue, kuanzia Kielimu, kiuchumi, kijamii na kubwa kabisa anapigwa ktk Angle ya kiimani kwa kumpandikizia hizo dini za uongo za ukristo na uislamu ili asahau uhalisia wake na historia yake.
Kitabu cha nuhu kweli kipo lakin hakihusiani na hayo matoleo yao ya uongo waliyoyasambaza nchi nyingi kongwe na baadhi mitandaoni, wanawapa Fake doctrines ili mjichanganye mpingane ninyi kwa ninyi.
Nuhu wa kweli alikuwa mtu mweusi, mwenye jina la Asili na lugha ya kitamaduni ya kiafrika, Aliishi hapa hapa Afrika na hakuwai kwenda nje ya Afrika.
Hata hiyo wanayoita safina dini zimedanganya uhalisia wake, ilikuwa mfano wa Nembo/Umbo maridali Afrika la Pyramid ambayo ujenzi wake hakuna mtu mweupe wala mtu mweusi anayeukana Uafrika anaeweza kupata wala kujua sayansi iliyotumika kujenga, maana Sayansi&technolojia hiyo ipo katika DNA halisi za mtu mweusi tu ambaye anafuata asili na sheria za Uungu wa mtu mweusi, tofauti na hapo hakuna awezaye kuja kujua wala kutambua hizi pyramids ziliundwa vipi, watasingizia sijui Aliens na takataka nyingi ili kuficha ukweli, lkn ukweli haufichiki, hao Aliensi kama kweli walijenga mbona hawarudi tena?.
Afrika tunaumia na kuteseka si kwamba hatuna akili, bali tunaishi nje ya mifumo yetu, Afrika ili iendelee nilazima tuActivate uasilia wetu na si kufuata mifumo ya hao demons watu weupe ambao hawana uwezo wala hawana UHALALI/HAKI ya kumfundisha mtu mweusi.
Mtu mweusi ndie Mungu wa rangi zoote, sasa unaanzaje kumfundisha Mungu wako? Unawezaje kumfundisha jambo fulani mtu ambaye aliishi duniani maelfu ya miaka na kuona maelfu ya matukio, then wewe wa juzi ujifanye umjuaji zaidi yake?.
Waafrika tunapotea sababu ya kuushusha Uungu wetu, kujidharau na kuruhusu hawo wajawa laana watu weupe watuoneshe maisha yako vipi wakati ni sisi ndio tulitakiwa kuwafunza wao maisha yako vipi.
Jitahidini mjifunze mambo mapya, msikatalie hizo ngonjera mlizokalilishwa kila siku kuhusu hii mifumo bandia ya maisha, kwa kizazi hiki cha technolojia mambo mengi yaliyofichwa yako wazi kabisa, ni wewe tu kuamua kufungua ufahamu wako uruhusu uyajue ambayo hukuyajua na pengine hutoyajua maana mifumo yetu hii bandia ya kikoloni hairuhusu tuyajue.
Wake up guys