Kitabu cha Eric Kabendera ni Ushahidi wa Umbumbumbu wa Waandishi wa Tanzania. Hiyo story ni ya Jombi jambazi wa Mbeya enzi zetu, Lissu jifunze Kitu!

Kitabu cha Eric Kabendera ni Ushahidi wa Umbumbumbu wa Waandishi wa Tanzania. Hiyo story ni ya Jombi jambazi wa Mbeya enzi zetu, Lissu jifunze Kitu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kitabu cha Eric Kabendera kisizuiwe acha kiuzwe Ili Wananchi wapate ufahamu wa aina ya Waandishi wa Habari wa Tanzania

Hiyo story ya Magufuli kumpiga Risasi ya kichwa Ben ofisini ni story zilizotumiwa Mbeya wakati Ujambazi wa akina Jombi, Luhambati na Kipagati ukitikisa hadi Zambia na Malawi

Nakumbuka RC alikuwa Mramba na RPC alikuwa Mwema

Kitabu cha Eric Kabendera kimejaa story za intelejensia Saikolojia ya udhibiti wa Kundi la Jombi nyakati hizo

Acha watu wakisome na hata Tundu Lisu akisome vizuri sana

Niishie hapo

Happy New Year 😄
 
Kitabu cha Eric Kabendera kisizuiwe acha kiuzwe Ili Wananchi wapate ufahamu wa aina ya Waandishi wa Habari wa Tanzania

Hiyo story ya Magufuli kumpiga Risasi ya kichwa Ben ofisini ni story zilizotumiwa Mbeya wakati Ujambazi wa akina Jombi, Luhambati na Kipagati ukitikisa hadi Zambia na Malawi

Nakumbuka RC alikuwa Mramba na RPC alikuwa Mwema

Kitabu cha Eric Kabendera kimejaa story za intelejensia Saikolojia ya udhibiti wa Kundi la Jombi nyakati hizo

Acha watu wakisome na hata Tundu Lisu akisome vizuri sana

Niishie hapo

Happy New Year 😄
Kwahiyo haiwezi kuja tena tanzania.......... rais akampiga mu risasi


WHY IDI AMIN MURDERED BISHOP JANANI LUWUM​



View: https://youtu.be/80hmeyLyvb0
 
Kitabu cha Eric Kabendera kisizuiwe acha kiuzwe Ili Wananchi wapate ufahamu wa aina ya Waandishi wa Habari wa Tanzania

Hiyo story ya Magufuli kumpiga Risasi ya kichwa Ben ofisini ni story zilizotumiwa Mbeya wakati Ujambazi wa akina Jombi, Luhambati na Kipagati ukitikisa hadi Zambia na Malawi

Nakumbuka RC alikuwa Mramba na RPC alikuwa Mwema

Kitabu cha Eric Kabendera kimejaa story za intelejensia Saikolojia ya udhibiti wa Kundi la Jombi nyakati hizo

Acha watu wakisome na hata Tundu Lisu akisome vizuri sana

Niishie hapo

Happy New Year 😄
Kama sio kweli hofu ya nini? Fahamu kuwa mtu huvuna alichopanda.
 
Kitabu cha Eric Kabendera kisizuiwe acha kiuzwe Ili Wananchi wapate ufahamu wa aina ya Waandishi wa Habari wa Tanzania

Hiyo story ya Magufuli kumpiga Risasi ya kichwa Ben ofisini ni story zilizotumiwa Mbeya wakati Ujambazi wa akina Jombi, Luhambati na Kipagati ukitikisa hadi Zambia na Malawi

Nakumbuka RC alikuwa Mramba na RPC alikuwa Mwema

Kitabu cha Eric Kabendera kimejaa story za intelejensia Saikolojia ya udhibiti wa Kundi la Jombi nyakati hizo

Acha watu wakisome na hata Tundu Lisu akisome vizuri sana

Niishie hapo

Happy New Year 😄
Kisipozuiwa maana yake ni source halali kufanyiwa reference
 
Kitabu cha Eric Kabendera kisizuiwe acha kiuzwe Ili Wananchi wapate ufahamu wa aina ya Waandishi wa Habari wa Tanzania

Hiyo story ya Magufuli kumpiga Risasi ya kichwa Ben ofisini ni story zilizotumiwa Mbeya wakati Ujambazi wa akina Jombi, Luhambati na Kipagati ukitikisa hadi Zambia na Malawi

Nakumbuka RC alikuwa Mramba na RPC alikuwa Mwema

Kitabu cha Eric Kabendera kimejaa story za intelejensia Saikolojia ya udhibiti wa Kundi la Jombi nyakati hizo

Acha watu wakisome na hata Tundu Lisu akisome vizuri sana

Niishie hapo

Happy New Year 😄

Kabendera siyo mjinga aje na story ya kutunga.

Ukitembea au kumiliki silaha kuna siku utaitumia. Sasa utaitumiaje hilo ni swala jingine.
 
Kwahiyo haiwezi kuja tena tanzania.......... rais akampiga mu risasi


WHY IDI AMIN MURDERED BISHOP JANANI LUWUM​



View: https://youtu.be/80hmeyLyvb0

Huijui Mifumo wewe

Katika dunia hii Kuna brain inatafutwa sana pale UK wanarefer kama Unknown Worrier

Watu kama Ben au Soka hata Mdude hawawezi Kuuliwa bali wanaingizwa kundi la Wazalendo Ili walisaidie taifa badala ya kumsaidia Mtu mmoja hapo Machame

Sidhani kama utaelewa 🐼😃

Happy New Year
 
wanasahau kuwa kwenye hao mashushu so called TISS kuna ndugu na watu ambao hawapendezwi na kinachoendelea ie kuua watu...watasema wakati ukifika ambao watakuwa safe kusema johnthebaptist
Unaelewa spirit ya askari lakini?

Yule Mchagga aliyemuua Chacha Wangwe ajalini ilibidi akina Juma wampeleke Libya akajifunze uaskari kabla ya tukio 🐼😂
 
Huijui Mifumo wewe

Katika dunia hii Kuna brain inatafutwa sana pale UK wanarefer kama Unknown Worrier

Watu kama Ben au Soka hata Mdude hawawezi Kuuliwa bali wanaingizwa kundi la Wazalendo Ili walisaidie taifa badala ya kumsaidia Mtu mmoja hapo Machame

Sidhani kama utaelewa 🐼😃

Happy New Year
Hiyo ni Utopia.
 
Back
Top Bottom